Unajua maana ya mjukuu, yaani mtoto aliyezaliwa na mtoto wako uliyemzaa.
Majuto (mjukuu/uzao wa mwanao) ni matokeo ya matendo uliyofanya kwa kujua ama kutojua (uzao wako).
Haimaanishi kuwa kuzaa ulifanya kosa na mtoto wako kuzaa nako ni kosa, ni ulinganishi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.