Maanake ameondokaMtanzania aliyeasisi hili jina je alikuwa na maana gani? Linapotajwa jina hili je ni kwa nia iliyo njema au vinginevyo? Kama aliyelianzisha jina hili yupo humu hebu atueleze alikuwa na maana gani?
Aseee!Zanzibar na Kenya, hawana jina "marehemu" bali wanaita "mwendazake"
Hakuna cha ajabu mbona
Ok ok.Wakenya ndiyo waasisi wa neno hili
Wao hulitumia kumaanisha marehemu
Sisi tumelikopi kwao ndiyo maana ni kama geni hivi
Na walilitumia zaidi katika msiba wa Moi
Du!Aliyetunga alimaanisha mwendakuzimu moto wa milele ukamuunguze.
Hapana nilipigwa ban permanent nikaja kiupya.Ni kweli kabisa
Nadhani mleta uzi atakuwa amaliza Division 5 mwaka huu
Maana kameingia JF 22 March mwaka huu.
Na huku kweli limepata umaarufu kwakuwa stesheni nyingi za Kenya, zilikuwa zinafuatilia na kutangaza sana msiba wa Hayati Magufuli na walikuwa hawasemi Hayati ila Mwendazake.Hilo Jina hutumika nchini Kenya wao badala ya Marehemu au Hayati wanatumia Mwendazake
ID ya mwanzo pleaseHapana nilipigwa ban permanent nikaja kiupya.
VotesRiggerPhaseID ya mwanzo please
Duh, ulikuwa unashinda jukwaa gani mbona kama sijawahi kutanna nayoVotesRiggerPhase