Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kumekuwa na kasumba kwa baadhi ya wa Tanzania wa kada mbali mbali pale wanapo elezea jambo sasa inapokuja kuli tafsiri ilo neno au msamiati kutoka English kuja kiswahili, au kiswa kwenda Eng...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
1. Idara (department) mfano idara ya usalama wa taifa 2. Kurugenzi mfano kurugenzi ya mawasiliano ikulu 3. Mamlaka (authority) mfano mamlaka ya bandari 5. Taasisi mfano taasisi ya elimu ya watu...
15 Reactions
50 Replies
6K Views
Maswali yangu mengine ni haya: Peke peke ni nini? Kumtoa mtu ndani ina maana gani? Maana ya methali kwa jumla ni ipi? Asanteni waheshimiwa.
2 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Kisado -- Bidhaa ni rangi ya nyumba, ya kampuni ya Sadolin. Walikuwa wakiweka kwenye makopo ya ukubwa fulani yaliyopachikwa jina la "visadolini" au "visado". 2. Kimbweta - Kiti na meza cha...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Au ndo msamiati mpya kwangu, je una maana gani? Au tunajiongezea msamiati mpya katika lugha ya Kiswahili? Ila kweli kuna wazanzibari na wazanzibara.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeona katika jukwaa la lugha kuna “English learning thread” yaani uzi unaohusiana na kujifunza lugha ya English. Nahisi itakuwa vyema wahusika wakaanzisha uzi mwengine wa kujifunza lugha ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Je Usahihi ni United Republic of Tanzania au Ni ""The United Republic of Tanzania.?"" Kwa Maana ""Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ""na Siyo ""Jamhuri ya Muungano Ya Tanzania.""? .... Karibuni
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, naomba kujua maana halisi ya "Majuto ni mjukuu..."
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimevisoma kwa yakini kubwa sana vitabu hivi viwili baada ya kuvipata kwenye moja ya maduka ya vitabu hapa mjini. Vyote viwili vinaelezeya madhila ya Ujamaa; Kaptula la Marx linaelezea zaidi kwa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello everyone Mkaguzi daraja la || kwa Kiingereza ni nani? Barua ya maombi tunaandika kwa Kingereza au Kiswahili
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Mtanzania aliyeasisi hili jina je alikuwa na maana gani? Linapotajwa jina hili je ni kwa nia iliyo njema au vinginevyo? Kama aliyelianzisha jina hili yupo humu hebu atueleze alikuwa na maana gani?
2 Reactions
41 Replies
4K Views
FIKIRI 1. Fikiri zako fikira, ufikiri kila tendo, Fikiri lilo na dhara...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanangu hamjamboni? Sijui niuite usomi, ujinga, ukoloni wala sijui. Wakati akisoma utangulizi wa Kitabu cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, Profesa Rwekaza Mukandala alishindwa mara mbili kutamka neno...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
SWAHILI IN CHINA Writer: Tumaini First, I would like to explain how I...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, poleni na majukumu. Naomba kuuliza nini maana ya maneno haya kama yanavyotumika hapa JF: 1. Chai ya moto 2. Chai ya tangawizi 3. Chai kavu Nimeyaona yakitumiwa na wachangiaji wa nyuzi...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Hili neno “kufunda” huwa nalisikia kutoka tv za kibongo sio zetu za hapa Ungujani, au pia kwenye magazeti. Maana ya neno hili kwa hapa kwetu kufunda ni kupiga kwa nguvu au kwa hasira lakini hii...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
SISI NYUKI TUNASEMA, TUPO NA MALKIA WETU 1. Sisi ni nyuki wakali, Imara tumesimama Kwa dhati pia ukweli, Tutamsaidia mama Tuko ngangari kamili, Kuipa nchi heshima Sisi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi mwandishi ama mchangiaji wa mada anaweza kutumia 'inbuild feature" iliyopo hapa jukwani kuandika maandishi yake kwa ""bold text eg. 𝗣𝗹𝗲𝗮𝘀𝗲 𝗻𝗼𝘁𝗲 𝘁𝗵𝗮𝘁" ama "italic text eg. 𝑷𝒍𝒆𝒂𝒔𝒆 𝒏𝒐𝒕𝒆 𝒕𝒉𝒂𝒕"...
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Nimefuatilia mara kadhaa kuona uwezo wa Paulo kujibu hoja kwa kutumia lugha yake ya darasani , mara kadhaa anaponyemelea vyombo vya habari ujificha kwenye kiswahili. Niombe kujua kiingereza kipo...
5 Reactions
59 Replies
5K Views
Je, nini maana ya "kilichomfanya kuku kukosa maziwa"?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom