Jina Ali ni maarufu sana lenye asili ya Kiarabu likiwa na maana ya mtu mwenye hadhi ya juu sana kwenye jamii. Kuna ndugu wa mtume Muhammad aliyekuwa anaitwa Ali ibn Abi Talib. Watu maarufu miaka...
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka, amesema wameanza maandalizi ya kuanzisha mafunzo ya lugha ya Kirusi, hatua inayolenga kuunga mkono juhudi za Serikali za...
Lugha ya kiswahili imepata nguvu sana nchini kongo hadi kunamaeneo hawazungumzi kabisa Lingala , ukienda mashariki mwa kongo kiswahili ndio lugha inayozungumzwa sana.
Utasikia naomba radhi, Mara amekosa radhi ya wazazi wake, Mara nitake radhi, mara nitakuachia radhi.
Nilichokuwa najua mimi radhi ni msamaha lakini hizo sentensi kadhaa hapo juu zimeshanivuruga...
Lugha yetu ya kiswahili ina methali nyingi sana ambazo si watu wote wanazijua au kuzitumia.
Nitaanza kwa kuweka methali rahisi na maarufu sana, kisha ukinipa jibu toa yako au zako unazojua...
Asili ya neno punyeto
Neno punyeto katika Kiswahili linamaanisha kujichua / kujichezea sehemu za siri.
Asili yake
Punyeto limetokana na Kireno (Portuguese)
Neno la asili ni punheta, ambalo pia...
Tanzania y Zanzíbar representan una de las combinaciones de viaje más completas y espectaculares de África. Cada año, miles de viajeros internacionales visitan Tanzania para descubrir la increíble...
Nimeshuhudia hii "h" ikiongezeka kwa kasi mahali isipohitajika.
Kwanza ilianzia kwa wanamuziki wa bongofleva na sasa inaunguruma kote mitaani haswa kwenye kuandika ujumbe wa maneno kwa kutumia...
Kuna tofauti iliyopo kati ya neno Niko na nipo japokuwa hatuizingatii sana tunapoandia au kuongea.
Niko Inarejelea sehemu kwa mfano sasa hivi niko chumbani najamiiana na mke wangu.
Nipo...
Naomba msaada wa kiswahili: nifahamishemi kwa lugha nyepesi sana maana ya neno "Mtambuka"
Nimeskiliza jamaa huyun hapa chini, bado sikuweza kumwelewa sawasawa. Kuna rafiki yangu mzuri sana hapa...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kukuza ubora wa elimu kwa kuandaa mashindano ya umahiri wa lugha ya Kichina, “Chinese Proficiency for Foreign College Students...
In Samia Suluhu’s authoritarian dictionary
👉🏽Criticism of her = wananitukana
👉🏽Protests/ Maandamano = kufanya fujo
👉🏽To kill, abduct and torture = kuchapa mikwaju
👉🏽 Freedom of expression =...
Bagalu bichane, aliyoneyo, nandje kwa kubagisha pye!
Salaam kwa wote. Samahani wakuu, inaniwia vigumu kuandika kwa kutumia lugha moja kuwasilisha hoja na maswali yangu. Ningelipenda sana lakini...
Niweze kujua tu hata kifaransa cha kunywea maji
1. Habari yako?
2. Safi/nzuri hujambo
3. Uko wapi, unafanya nini
5. Naomba maji
6. Njoo
7. Fanya haraka
Na maneno mengine ya msingi.