Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kama kichwa cha mada kisemavyo, upi ni uandishi sanifu: Muenendo au Mwenendo, Mwongozo au Muongozo? Kwa wataalamu msaada tafadhali.
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Jina Ali ni maarufu sana lenye asili ya Kiarabu likiwa na maana ya mtu mwenye hadhi ya juu sana kwenye jamii. Kuna ndugu wa mtume Muhammad aliyekuwa anaitwa Ali ibn Abi Talib. Watu maarufu miaka...
1 Reactions
0 Replies
132 Views
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Prof. Lughano Kusiluka, amesema wameanza maandalizi ya kuanzisha mafunzo ya lugha ya Kirusi, hatua inayolenga kuunga mkono juhudi za Serikali za...
0 Reactions
1 Replies
165 Views
Lugha ya kiswahili imepata nguvu sana nchini kongo hadi kunamaeneo hawazungumzi kabisa Lingala , ukienda mashariki mwa kongo kiswahili ndio lugha inayozungumzwa sana.
14 Reactions
66 Replies
858 Views
1 Reactions
3 Replies
174 Views
Naomba kujua matumizi ya hayo maneno kuoneshe "signature" lipi ni rasimi?
1 Reactions
43 Replies
26K Views
Utasikia naomba radhi, Mara amekosa radhi ya wazazi wake, Mara nitake radhi, mara nitakuachia radhi. Nilichokuwa najua mimi radhi ni msamaha lakini hizo sentensi kadhaa hapo juu zimeshanivuruga...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Peni yangu Andanenga, uwino unapotona, Mantiki huzilenga, na balagha na bayana, Hufaidika malenga, huvurugika akina, Nyege ni kunyegezana, msemo wa Kiswahili. Msemo wa Kiswahili, nyege ni...
1 Reactions
140 Replies
42K Views
KISWAHILI KITMU SANAHUKU NA KULE...- Peni yangu Andanenga, uwino unapotona, Mantiki huzilenga, na balagha na bayana ,Hufaidika malenga, huvurugika akina ,Nyege ni kunyegezana, msemo wa...
4 Reactions
14 Replies
19K Views
bha'aabhoooo...karibuni, zya nsiko...habari za siku, mwee wapanga...hamjambo?, mwangaloka...habari za asubuhi, wa kukaya...wa nyumbani, kalibhu halugo...karibu nyumbani, kalibhu hakaaya...karibu...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Lugha yetu ya kiswahili ina methali nyingi sana ambazo si watu wote wanazijua au kuzitumia. Nitaanza kwa kuweka methali rahisi na maarufu sana, kisha ukinipa jibu toa yako au zako unazojua...
1 Reactions
5 Replies
306 Views
Asili ya neno punyeto Neno punyeto katika Kiswahili linamaanisha kujichua / kujichezea sehemu za siri. Asili yake Punyeto limetokana na Kireno (Portuguese) Neno la asili ni punheta, ambalo pia...
10 Reactions
27 Replies
1K Views
Tanzania y Zanzíbar representan una de las combinaciones de viaje más completas y espectaculares de África. Cada año, miles de viajeros internacionales visitan Tanzania para descubrir la increíble...
0 Reactions
0 Replies
119 Views
Nimeshuhudia hii "h" ikiongezeka kwa kasi mahali isipohitajika. Kwanza ilianzia kwa wanamuziki wa bongofleva na sasa inaunguruma kote mitaani haswa kwenye kuandika ujumbe wa maneno kwa kutumia...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Kuna tofauti iliyopo kati ya neno Niko na nipo japokuwa hatuizingatii sana tunapoandia au kuongea. Niko Inarejelea sehemu kwa mfano sasa hivi niko chumbani najamiiana na mke wangu. Nipo...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kiswahili: nifahamishemi kwa lugha nyepesi sana maana ya neno "Mtambuka" Nimeskiliza jamaa huyun hapa chini, bado sikuweza kumwelewa sawasawa. Kuna rafiki yangu mzuri sana hapa...
1 Reactions
10 Replies
415 Views
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kukuza ubora wa elimu kwa kuandaa mashindano ya umahiri wa lugha ya Kichina, “Chinese Proficiency for Foreign College Students...
1 Reactions
4 Replies
237 Views
In Samia Suluhu’s authoritarian dictionary 👉🏽Criticism of her = wananitukana 👉🏽Protests/ Maandamano = kufanya fujo 👉🏽To kill, abduct and torture = kuchapa mikwaju 👉🏽 Freedom of expression =...
5 Reactions
2 Replies
211 Views
Bagalu bichane, aliyoneyo, nandje kwa kubagisha pye! Salaam kwa wote. Samahani wakuu, inaniwia vigumu kuandika kwa kutumia lugha moja kuwasilisha hoja na maswali yangu. Ningelipenda sana lakini...
1 Reactions
71 Replies
63K Views
Niweze kujua tu hata kifaransa cha kunywea maji 1. Habari yako? 2. Safi/nzuri hujambo 3. Uko wapi, unafanya nini 5. Naomba maji 6. Njoo 7. Fanya haraka Na maneno mengine ya msingi.
0 Reactions
4 Replies
332 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…