Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Sipati picha kama JF wangekuwa wameandika jina lao kama "Jamii Folums" ingekuaje. Au jukwaa hili jina lingeandikwa "Habali na Hoja mchanganyiko sijui ingekaaje hiyo. Inaeleweka kwamba kila mmoja...
24 Reactions
90 Replies
5K Views
Hai.. Mtu anaweza kuelezea hoja yake kwa Kiswahili. Akifika pahala fulani anabadili lugha kuashiria kwamba anapunguza ukali wa neno! Je, neno kali, ni kwanini tunaliita "kali" na bado tunaweza...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Guangzhou! Kwa wataalamu wa lugha adhimu ya kiswahil...Nini maana ya neno Mbwiga?? Nilisikia jana jirani anasema ''Mume wangu alirudi yupo mbwiga" Pia naomba msaada wa maneno haya 1.Monde...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wapendwa anaeweza kunisaidia hili ni somo la kiswahili mifano tofauti tofauti ya vitenzi vishirikishi hata mi3 plsss
0 Reactions
1 Replies
638 Views
Mimi nilijua ukijua kuandika vizuri kiswahili kinalipa, sio kila mtu anaweza kuandika vizuri, hata huko Ulaya Kingereza sio wote wanaondika vizuri. Sasa wewe mwenzangu unayekuja kutakebei kwa...
1 Reactions
22 Replies
950 Views
Sina taarifa naye ila huyu jamaa alitamba sana sana kwenye kundi la chuchu sound kwa jina la bwa chuchu. Misemo iliyotumika kwenye nyimbo "Nimekalia bigijiii unataka ni kuband...." Hivi yupo...
0 Reactions
1 Replies
963 Views
Kumekuwa na mtindo kwenye Jamii kugeuza maneno yenye mlengo wa ki matusi kuwa kama sentensi au misemo rasmi na halali kuitumia kwenye maongezi ya kawaida. Na kwa isivyo bahati kwa utitiri huu wa...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Salaam Wakuu, Natumai mnaendelea vyema. Katika kuendelea kujifunza lugha na namna bora ya mawasiliano leo nimeona nilete mtazamo wangu na nisikie kutoka kwenu pia. Matumizi ya lugha yoyote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwenye Kifaransa ukijua jinsi gani ya kutumia hizi verbs mbili tu kwenye nafasi ya kujua Kifaransa una asilimia 50% hizo zingine jifunze tu spelling Verbe être (verbe etre) verb to be And verbe...
8 Reactions
15 Replies
3K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezitaka wizara na taasisi za serikali kuendelea kutekeleza maagizo ya serikali ikiwemo kutumia lugha ya kiswahili...
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Ndugu zangu wana JF naomba msaada nataka kujua maana ya neno au tafsiri ya neno Mganga Mfawidhi kwa kiingereza. Asante
1 Reactions
8 Replies
9K Views
Mimi kama mtaalamu wa literature naumia sana kuona wachambuzi wasomi wenzangu akina Ally Mayayi na wenzake. Hawajui tofauti ya neno defend na neno defence. Defend ni verb Defence ni noun Verb...
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Habarini wadungu wa JF Huyu Mwanaume asiyejielewa ni yupi, anatabia zipi. Wengi huelezea kijazba na kibinafsi baada ya kukutana na likulumbembe. Kumbe linajielewa. Unakuta mwanamke mwenyewe...
0 Reactions
4 Replies
633 Views
Wakuu, maneno hayo hutumiwa sana na vituo vya TBC na Azam TV mtawalia. Naomba mnielimishe, yana maana gani? Binafsi nakereka kuona yakitumiwa sana na watangazaji wa TV hizo huku maana yake ikiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna maneno mengi yaliyotoholewa kutoka lugha nyingine na kuwa ya Kiswahili, machache ninayoyakumbuka ni boma, waswahili tukaita bomani. Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mpendwa, Salamu natuma kwako, naomba uzipokee Nauliza hali yako, nataka nikujulie Barua hii ni yako, ujumbe uusikie Kwa pozi na maumbile, mwenziyo unanikosha! Binti Msemaovyo, mwenziyo...
8 Reactions
29 Replies
9K Views
Mzee Makamba siyo utelezi ni kusudi kabisa kwasababu kama ni utelezi mbona kuna kauli uliirekebisha papo hapo. " Wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete yupo, Kinana yupo" MADA " WAZURI...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Salaam! Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe. Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями? Natanguliza shukran!
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Nimeiingia google kutafuta maana ya neno hili : frustration noun 1. the feeling of being upset or annoyed as a result of being unable to change or achieve something. 2. the prevention of the...
12 Reactions
84 Replies
14K Views
Back
Top Bottom