Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ukizaa mwana mwari, yani mtoto wa kike, Wazazi muwe tayari, kuzichunga haki zake, Dunia haiko shwari, Kuulinda utu wake, Ni juu yenu wazazi, Kumfunza kwa makini, Nyakati hazifanani, hilo mlijue...
1 Reactions
5 Replies
503 Views
Naomba kujua maana ya maneno yafuatayo kama alivyotumia Dulla Makabilla katika kibao chao na Ngajupa - wanaongea; 1. Kiwaki (maswali ya kiwaki) 2. Churia (unanichuria)
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Ukileta taarifa kidogo tu utasikia hii chai, mara majani ya mpera, mara watakwambia hii ni gahawa, mara majani ya chai mengi, mara tangawizi imezidi! Hivi hili neno asili yake ni ipi na ina maana...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Neno mzigo Lina maana nyingi sana.... Mzigo - pesa ....Utasikia jamaa ana mzigo.. Mzigo - mchepuko...Utasikia Yule dada mzigo wa jamaa... Mzigo- makalio makubwa ...Utasikia Yule dada ana mzigo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shairi bora kupata kutokea 1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani. 2...
3 Reactions
15 Replies
9K Views
Naomba kujuzwa kama ni sahihi kutumia neno tajwa kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili, mfano " Barua ilipotelea ofisini kwako "
0 Reactions
4 Replies
736 Views
Mgeni siku ya kwanza mpe mchele na panza; mtilie kifuani, mkaribishe mgeni. Mgeni siku ya pili mpe ziwa na samli; mahaba yakizidia, mzidishie mgeni. Mgeni siku ya tatu jumbani hamuna kitu. mna...
6 Reactions
11 Replies
8K Views
Whap'am? - Hello? The official national language of Jamaica is English although Jamaicans speak an English dialect called ''Jamaican Patois''. The communication accent can be difficult for other...
4 Reactions
22 Replies
120K Views
As I promised last time, today we want to see the difference btn BRING/GIVE a) BRING: This is used when something is not in hand of a person talking to. Eg. When you need drinking water you...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi karibuni, rais Xi Jinping wa China alifanya ziara ya ukaguzi katika magofu ya Yinxu mjini Anyang, katikati ya China na kusema “Maandishi ya lugha ya Kichina yameshangaza sana, na kufanya kazi...
0 Reactions
5 Replies
794 Views
Mzuka Wanajamvi! Leo nimecheka Karibu nife. Yani hawa majirani zetu bana. Eti chupi wanaita nghodha nimebaki kushangaa tu WTF! Cheka balaa.
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Azam media imebamba hapa Tanzania! Watanzania wanatazama na kuvutiwa na tamthilia zinazorushwa kwenye Chanel hii! Bahati mbaya waswahili wanaonakilisha sauti kwenye tamthilia Wana shida kubwa...
1 Reactions
0 Replies
593 Views
Kila anapomaliza kumkaribisha Oni Sigala (Mhariri Mtendaji wa BAKITA) humalizia kwa kujiita eti "Mfalme wa Lugha". HAPANA Abel USIFANYE HIVYO. Sioni chochote cha wewe kujiita jina hilo KUBWA...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Fasihi Simulizi ni fasihi inayotungwa au kubuniwa kichwani na kuwasilishwa kwa hadhira kwa njia ya mdomo na vitendo bila kutumia maandishi. TUKI (2004) Fasihi Simulizi ni kazi ya fasihi...
1 Reactions
1 Replies
749 Views
Naliandika kwa wino, tozi linanidondoka Ni vipi hiki kibano, kwako nilichokikuta Tozi linanidondoka. Nilihisi nimefika, kwako nikajiburuta Kiu yangu kadhalika, kubwa ilonikamata Tozi...
0 Reactions
0 Replies
560 Views
MATUMIZI YA NENO MHESHIMIWA (HONORABLE) Yahusu kuheshimisha nyadhifa na majukumu kwa majina ya nyadhifa na kazi zao. Waliosoma vyuo vikuu na kuchukia kozi ya rhetorical language watakuwa...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari Wanandugu, Katika kitu ambacho huwa kinanishangaza katika nyakati hizi ni maandishi na matamshi ya baadhi ya herufi na silabi. Huwa najiuliza kuwa Watanzania tunakwama wapi kwenye herufi...
8 Reactions
249 Replies
26K Views
Ndugu wanabodi nilikuwa naomba msaada mwenye kujua wapi naweza kujifunza kijerumani kwa ufasaha kuongea na kuandika hata kama ni kwa njia ya mtandaoni nipo tiyari
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Kwa anayefahamu Equivalent Qualifications Certificates ni nini? Je, inautofauti gani na Transcript NB Kwa aliyemaliza diploma
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom