maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,317
- 1,790
Kuna maneno mengi yaliyotoholewa kutoka lugha nyingine na kuwa ya Kiswahili, machache ninayoyakumbuka ni boma, waswahili tukaita bomani.
Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa kiingereza katika maeneo waliokuwa wanayatawala "British Overseas Military Administration" kifupi BOMA.
Eneo liliko Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tanga wakati wa ukoloni kulikuwa na ghala la silaha yakiwemo mabomu, wenyewe wakaita "Bomb Area", waswahili wakaita Bombo Eria.
Carrier Cop waswahili wakaita Kariakoo.
Ongeza mengine.
Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa kiingereza katika maeneo waliokuwa wanayatawala "British Overseas Military Administration" kifupi BOMA.
Eneo liliko Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tanga wakati wa ukoloni kulikuwa na ghala la silaha yakiwemo mabomu, wenyewe wakaita "Bomb Area", waswahili wakaita Bombo Eria.
Carrier Cop waswahili wakaita Kariakoo.
Ongeza mengine.