Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ninaelewa kuwa Kodi ni malipo yasiyo ya hiari ambayo raia analipa serikalini kutokana ama na mapato au kutokana na mali anayomiliki. Kuna Kodi ya Ardhi, Kodi ya Mapato, Kodi ya Gari na kadhali...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Ukitaka kuandika hongera baadhi ya keyboard zinakupakazia eti kongole! Kongole wich, who are you kongole? are you normal?🤷‍♂️ Je ni kutohoa congratulations au ni nini? Kwani kiswahili lini...
1 Reactions
11 Replies
8K Views
Naomba kuuliza ,TEI wamechambua NGELI Kwa MSINGi WA kisintakisia NGELI 12.!! Vitabu vingine wamechambua Tisa!! Sasa sahihi?
0 Reactions
1 Replies
400 Views
Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye. Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya...
29 Reactions
166 Replies
10K Views
Naomba kuuliza ,TEI wamechambua NGELI Kwa MSINGi WA kisintakisia NGELI 12.!! Vitabu vingine wamechambua Tisa!! Sasa sahihi?
0 Reactions
0 Replies
394 Views
Kiswahili kina ugumu wake. Nashindwa kutofautisha kati ya "Ona", "tazama" na "angalia". Je, ni wakati gani natakiwa nitumie neno lipi katika matumizi sahihi ya kiswahili? Naomba kujua matumizi...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
7 OF THE EASIEST FOREIGN LANGUAGES TO LEARN 1. Spanish Speaking: Very Easy Grammar: Very Easy Writing: Easy Overall: Very Easy As English speakers, we can be thankful that Spanish...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Kikawaida hakuna mtu anayependa kujifunza lugha ya maskini au utamaduni wake isipokuwa tu labda kwa sababu za kiutafiti na kiakademia. Hata masIkini mwenyewe huionea aibu lugha yake na utamaduni...
0 Reactions
3 Replies
548 Views
Na: SHAABAN ROBERT (1909-1962) 1.Ujana kitu kitamu, tena ni azizi sana, Maungoni mwangu humu, nilikuwa nao jana, Kwa wingi katika damu, tahamaki leo sina, Nasikitika hadumu, rafiki yangu ujana...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania wengi wa elimu katika ngazi tofauti tofauti si watumiaji wa nukta au kituo katika uandishi. Habari inaandikwa paragraph nzima mistari kumi no mkato no nukta. Je, changamoto ni wazazi...
0 Reactions
13 Replies
664 Views
Je, ni jopo la watu hukaa kama mitihani ya NECTA? Au ni mtu anajifungia geto anaanza kuasembo maneno alfabetikali na kuanza kuyadifaini.
0 Reactions
1 Replies
353 Views
ENGLISH TUTORIAL Mate, tatizo la kuelewa kuandika na kuongea na lugha ya kingereza ni suala mtumbuka. Wengi wetu hasa tuliopita shule za uswahilini bado lugha yetu haipo sawa. Hivyo basi...
12 Reactions
48 Replies
19K Views
Mitihani ya Lugha inayotolewa na British council huwa ni shi ngapi ? Naitaji ufafanuzi
0 Reactions
1 Replies
461 Views
Mimi nikiwa mmojawapo niliyekuwa na shauku ya kutaka kujifunza hii lugha ya kichina. Niliwandikia UDSM mail, nashukuru wamenijibu mapema jana. Soma zaidi kwa ufafanuzi. Pamoja na Salamu kutoka CI...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau naomba mnisaidie eti embe ng'ong'o kwa kiingereza linaitwaje? Wakuu Jibu Nimelipata linaitwa Ambarella
2 Reactions
64 Replies
26K Views
Naomba msaada wa tafsiri ya haya maneno katika lugha adhimu ya kiswahili. "If you have financial obligations, how will you manage it."
0 Reactions
6 Replies
644 Views
Habari wapendwa anaeweza kunipa methali yenye maana sawa Ukiona zinduna, na ambari iko nyuma anisaidie tafadhali
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu Hili neno maana yake nini? Waislamu hulitumia kuwaita wale wasio waislamu, kama kusema mpagani. Lakini pia huko South Africa wazungu wabaguzi wa rangi huwaita weusi Kafirs, kama vile...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Wapwa, habari za muda huu? Kuna neno 'Onyesha' naona linatumika vibaya na mara nyingi limekuwa likitumika mahali ambapo si mahali pake. Kuna maneno mawili watu tumekuwa tukiyachanganya 'Onesha'...
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Waswahili tuna kawaida ya kukazia maneno, hasa kwenye rangi kama ikiwa rangi moja Mfano Nyeupe... Pee!! Nyeusi... Tii!! Sasa je rangi kama Nyekundu???? Njano??? Blue nk. Tunakaziaje?
0 Reactions
15 Replies
981 Views
Back
Top Bottom