Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kumekuwa na mtindo kwenye Jamii kugeuza maneno yenye mlengo wa ki matusi kuwa kama sentensi au misemo rasmi na halali kuitumia kwenye maongezi ya kawaida. Na kwa isivyo bahati kwa utitiri huu wa...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Salaam Wakuu, Natumai mnaendelea vyema. Katika kuendelea kujifunza lugha na namna bora ya mawasiliano leo nimeona nilete mtazamo wangu na nisikie kutoka kwenu pia. Matumizi ya lugha yoyote...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwenye Kifaransa ukijua jinsi gani ya kutumia hizi verbs mbili tu kwenye nafasi ya kujua Kifaransa una asilimia 50% hizo zingine jifunze tu spelling Verbe être (verbe etre) verb to be And verbe...
8 Reactions
15 Replies
3K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amezitaka wizara na taasisi za serikali kuendelea kutekeleza maagizo ya serikali ikiwemo kutumia lugha ya kiswahili...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Ndugu zangu wana JF naomba msaada nataka kujua maana ya neno au tafsiri ya neno Mganga Mfawidhi kwa kiingereza. Asante
1 Reactions
8 Replies
9K Views
Mimi kama mtaalamu wa literature naumia sana kuona wachambuzi wasomi wenzangu akina Ally Mayayi na wenzake. Hawajui tofauti ya neno defend na neno defence. Defend ni verb Defence ni noun Verb...
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Habarini wadungu wa JF Huyu Mwanaume asiyejielewa ni yupi, anatabia zipi. Wengi huelezea kijazba na kibinafsi baada ya kukutana na likulumbembe. Kumbe linajielewa. Unakuta mwanamke mwenyewe...
0 Reactions
4 Replies
621 Views
Wakuu, maneno hayo hutumiwa sana na vituo vya TBC na Azam TV mtawalia. Naomba mnielimishe, yana maana gani? Binafsi nakereka kuona yakitumiwa sana na watangazaji wa TV hizo huku maana yake ikiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna maneno mengi yaliyotoholewa kutoka lugha nyingine na kuwa ya Kiswahili, machache ninayoyakumbuka ni boma, waswahili tukaita bomani. Neno hili lilitokana na ofisi za kiutawala za wakoloni wa...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mpendwa, Salamu natuma kwako, naomba uzipokee Nauliza hali yako, nataka nikujulie Barua hii ni yako, ujumbe uusikie Kwa pozi na maumbile, mwenziyo unanikosha! Binti Msemaovyo, mwenziyo...
8 Reactions
29 Replies
9K Views
Mzee Makamba siyo utelezi ni kusudi kabisa kwasababu kama ni utelezi mbona kuna kauli uliirekebisha papo hapo. " Wazuri hawafi mapema, ndiyo maana Kikwete yupo, Kinana yupo" MADA " WAZURI...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Salaam! Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe. Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями? Natanguliza shukran!
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Nimeiingia google kutafuta maana ya neno hili : frustration noun 1. the feeling of being upset or annoyed as a result of being unable to change or achieve something. 2. the prevention of the...
12 Reactions
84 Replies
13K Views
Ukizaa mwana mwari, yani mtoto wa kike, Wazazi muwe tayari, kuzichunga haki zake, Dunia haiko shwari, Kuulinda utu wake, Ni juu yenu wazazi, Kumfunza kwa makini, Nyakati hazifanani, hilo mlijue...
1 Reactions
5 Replies
499 Views
Naomba kujua maana ya maneno yafuatayo kama alivyotumia Dulla Makabilla katika kibao chao na Ngajupa - wanaongea; 1. Kiwaki (maswali ya kiwaki) 2. Churia (unanichuria)
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Ukileta taarifa kidogo tu utasikia hii chai, mara majani ya mpera, mara watakwambia hii ni gahawa, mara majani ya chai mengi, mara tangawizi imezidi! Hivi hili neno asili yake ni ipi na ina maana...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Neno mzigo Lina maana nyingi sana.... Mzigo - pesa ....Utasikia jamaa ana mzigo.. Mzigo - mchepuko...Utasikia Yule dada mzigo wa jamaa... Mzigo- makalio makubwa ...Utasikia Yule dada ana mzigo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Shairi bora kupata kutokea 1. Karudi baba mmoja, toka safari ya mbali, Kavimba yote mapaja, na kutetemeka mwili, Watoto wake wakaja, ili kumtaka hali, Wakataka na kauli iwafae maishani. 2...
3 Reactions
15 Replies
9K Views
Naomba kujuzwa kama ni sahihi kutumia neno tajwa kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili, mfano " Barua ilipotelea ofisini kwako "
0 Reactions
4 Replies
724 Views
Back
Top Bottom