Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kiswahili kina ugumu wake. Nashindwa kutofautisha kati ya "Ona", "tazama" na "angalia". Je, ni wakati gani natakiwa nitumie neno lipi katika matumizi sahihi ya kiswahili? Naomba kujua matumizi...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
7 OF THE EASIEST FOREIGN LANGUAGES TO LEARN 1. Spanish Speaking: Very Easy Grammar: Very Easy Writing: Easy Overall: Very Easy As English speakers, we can be thankful that Spanish...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Kikawaida hakuna mtu anayependa kujifunza lugha ya maskini au utamaduni wake isipokuwa tu labda kwa sababu za kiutafiti na kiakademia. Hata masIkini mwenyewe huionea aibu lugha yake na utamaduni...
0 Reactions
3 Replies
538 Views
Na: SHAABAN ROBERT (1909-1962) 1.Ujana kitu kitamu, tena ni azizi sana, Maungoni mwangu humu, nilikuwa nao jana, Kwa wingi katika damu, tahamaki leo sina, Nasikitika hadumu, rafiki yangu ujana...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Watanzania wengi wa elimu katika ngazi tofauti tofauti si watumiaji wa nukta au kituo katika uandishi. Habari inaandikwa paragraph nzima mistari kumi no mkato no nukta. Je, changamoto ni wazazi...
0 Reactions
13 Replies
643 Views
Je, ni jopo la watu hukaa kama mitihani ya NECTA? Au ni mtu anajifungia geto anaanza kuasembo maneno alfabetikali na kuanza kuyadifaini.
0 Reactions
1 Replies
346 Views
ENGLISH TUTORIAL Mate, tatizo la kuelewa kuandika na kuongea na lugha ya kingereza ni suala mtumbuka. Wengi wetu hasa tuliopita shule za uswahilini bado lugha yetu haipo sawa. Hivyo basi...
12 Reactions
48 Replies
19K Views
Mitihani ya Lugha inayotolewa na British council huwa ni shi ngapi ? Naitaji ufafanuzi
0 Reactions
1 Replies
447 Views
Mimi nikiwa mmojawapo niliyekuwa na shauku ya kutaka kujifunza hii lugha ya kichina. Niliwandikia UDSM mail, nashukuru wamenijibu mapema jana. Soma zaidi kwa ufafanuzi. Pamoja na Salamu kutoka CI...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
wadau naomba mnisaidie eti embe ng'ong'o kwa kiingereza linaitwaje? Wakuu Jibu Nimelipata linaitwa Ambarella
2 Reactions
64 Replies
26K Views
Naomba msaada wa tafsiri ya haya maneno katika lugha adhimu ya kiswahili. "If you have financial obligations, how will you manage it."
0 Reactions
6 Replies
631 Views
Habari wapendwa anaeweza kunipa methali yenye maana sawa Ukiona zinduna, na ambari iko nyuma anisaidie tafadhali
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu Hili neno maana yake nini? Waislamu hulitumia kuwaita wale wasio waislamu, kama kusema mpagani. Lakini pia huko South Africa wazungu wabaguzi wa rangi huwaita weusi Kafirs, kama vile...
2 Reactions
20 Replies
5K Views
Wapwa, habari za muda huu? Kuna neno 'Onyesha' naona linatumika vibaya na mara nyingi limekuwa likitumika mahali ambapo si mahali pake. Kuna maneno mawili watu tumekuwa tukiyachanganya 'Onesha'...
7 Reactions
39 Replies
3K Views
Waswahili tuna kawaida ya kukazia maneno, hasa kwenye rangi kama ikiwa rangi moja Mfano Nyeupe... Pee!! Nyeusi... Tii!! Sasa je rangi kama Nyekundu???? Njano??? Blue nk. Tunakaziaje?
0 Reactions
15 Replies
949 Views
Sipati picha kama JF wangekuwa wameandika jina lao kama "Jamii Folums" ingekuaje. Au jukwaa hili jina lingeandikwa "Habali na Hoja mchanganyiko sijui ingekaaje hiyo. Inaeleweka kwamba kila mmoja...
24 Reactions
90 Replies
5K Views
Hai.. Mtu anaweza kuelezea hoja yake kwa Kiswahili. Akifika pahala fulani anabadili lugha kuashiria kwamba anapunguza ukali wa neno! Je, neno kali, ni kwanini tunaliita "kali" na bado tunaweza...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Guangzhou! Kwa wataalamu wa lugha adhimu ya kiswahil...Nini maana ya neno Mbwiga?? Nilisikia jana jirani anasema ''Mume wangu alirudi yupo mbwiga" Pia naomba msaada wa maneno haya 1.Monde...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wapendwa anaeweza kunisaidia hili ni somo la kiswahili mifano tofauti tofauti ya vitenzi vishirikishi hata mi3 plsss
0 Reactions
1 Replies
621 Views
Mimi nilijua ukijua kuandika vizuri kiswahili kinalipa, sio kila mtu anaweza kuandika vizuri, hata huko Ulaya Kingereza sio wote wanaondika vizuri. Sasa wewe mwenzangu unayekuja kutakebei kwa...
1 Reactions
22 Replies
931 Views
Back
Top Bottom