chizcom JF-Expert Member Jul 31, 2016 7,581 15,722 Dec 29, 2022 #1 Sina taarifa naye ila huyu jamaa alitamba sana sana kwenye kundi la chuchu sound kwa jina la bwa chuchu. Misemo iliyotumika kwenye nyimbo "Nimekalia bigijiii unataka ni kuband...." Hivi yupo kweli huyu?
Sina taarifa naye ila huyu jamaa alitamba sana sana kwenye kundi la chuchu sound kwa jina la bwa chuchu. Misemo iliyotumika kwenye nyimbo "Nimekalia bigijiii unataka ni kuband...." Hivi yupo kweli huyu?
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Sep 25, 2015 9,412 26,895 Dec 29, 2022 #2 Bwa Nchuchu Mizinguo sana. Mbunge wetu wamembandua Mtoto unachezea koki, utalowa