mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 15,989
- 35,668
Mimi kama mtaalamu wa literature naumia sana kuona wachambuzi wasomi wenzangu akina Ally Mayayi na wenzake.
Hawajui tofauti ya neno defend na neno defence.
Defend ni verb
Defence ni noun
Verb ni kitendo
Noun ni nomino au jina
Hivyo basi defend ni kulinda
Defence ni ulinzi
Msikie huyu mchambuzi "wachezaji wa timu hii wameamua kudefence'
This is not correct
Usahihi ni kusema timu fulani imeamua kudefend
Ongeeni tu kiswahili sio dhambi
Hawajui tofauti ya neno defend na neno defence.
Defend ni verb
Defence ni noun
Verb ni kitendo
Noun ni nomino au jina
Hivyo basi defend ni kulinda
Defence ni ulinzi
Msikie huyu mchambuzi "wachezaji wa timu hii wameamua kudefence'
This is not correct
Usahihi ni kusema timu fulani imeamua kudefend
Ongeeni tu kiswahili sio dhambi