Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Muondoke vs Ondokeni
Mje vs mjeni vs njooni
Mwende vs nendeni
Kiswahili sanifu ni hiki chenye "m" mwanzoni kama mofimu inayotaja dhana ya wingi au safu ya pili yenye mofimu "ni" mwishoni?
Tukibaki hapo kwenye mofimu "ni" je ni sahihi kuitumia kurejelea wingi kwenye maneno kama;
" Shikamooni, hamjamboni, na usiku mwemeni" Japo hii ya "usiku mwemeni" inatumiwa na mabinti wa chuo.
Hutaki vs hautaki
Huji vs hauji
Huandiki vs hauandiki
Safu ipi ni sahihi kwenye ukanushi?
Mofimu "si" imekuwa ikitumika kukanusha kama kwenye maneno; sitaki, siendi na mengineyo lakini kwenye neno "sijambo" inatumika kuyakinisha. Kanuni gani ilitumika kuliumba neno hili?
"Mbona" na "kumbe" ni aina gani za maneno?
Mje vs mjeni vs njooni
Mwende vs nendeni
Kiswahili sanifu ni hiki chenye "m" mwanzoni kama mofimu inayotaja dhana ya wingi au safu ya pili yenye mofimu "ni" mwishoni?
Tukibaki hapo kwenye mofimu "ni" je ni sahihi kuitumia kurejelea wingi kwenye maneno kama;
" Shikamooni, hamjamboni, na usiku mwemeni" Japo hii ya "usiku mwemeni" inatumiwa na mabinti wa chuo.
Hutaki vs hautaki
Huji vs hauji
Huandiki vs hauandiki
Safu ipi ni sahihi kwenye ukanushi?
Mofimu "si" imekuwa ikitumika kukanusha kama kwenye maneno; sitaki, siendi na mengineyo lakini kwenye neno "sijambo" inatumika kuyakinisha. Kanuni gani ilitumika kuliumba neno hili?
"Mbona" na "kumbe" ni aina gani za maneno?