Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan ambapo wamejadili namna bora ya Tanzania na Urusi...
0 Reactions
0 Replies
523 Views
One day I saw someone I thought I’d never see He was sagging with smell of marijuana coming from his mouth And the way he talked you could tell he was from the south Just standing there staring...
1 Reactions
4 Replies
946 Views
Kipini Cha Pua 1 Silifanyi siri tena, ninasema hadharani Vyuma vinafumuana, nionapo manjiani Shufu sinayo maana, urembo wenu ficheni Avaae hupendeza, nami chanipa uchizi 2 Kiwe cha rangi ya...
3 Reactions
3 Replies
994 Views
Msiba msibani 1 Utaona ni rahisi, kama haijakupata Na vingi utavihisi, hadi utapojipata Utalia na kamasi, msaada hutapata Ukiupata msiba, ni msiba msibani 2 Maumivu ni makali, na kufa...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Eti wakuu kipaza sauti ni nini? Hivi vinaitwaje kwa kiswahili? Kipi ni kipaza sauti?
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekwama Tunasema Girl's School au Girls' school?
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Ni kitabu gani nitumie kujifunza lugha ya Kiingereza?
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Nakumbuka Mara ya Mwisho Kuzitia Kinywani Ilikuwa ni Zaidi ya Miongo Mitatu na Nusu Iliyopita Tukiwa Mandarini. Porojo na Ndarire bila Ndaro za Fikra Nasaha Njugumawe zile zilivuta tamaa na...
0 Reactions
1 Replies
736 Views
Kuna Wendawazimu nchi fulani Jumamosi walikuwa na Furaha ya Kazi bure iliyopelekea Kupokea Hirizi za Kuvaa Shingoni kutoka Uarabuni huku Wenzao wakibeba Ndoo yenye Madini na walivyorudi Makwao...
4 Reactions
10 Replies
4K Views
Africa's Most Spoken Local Languages 1. KiSwahili (200 million speakers) 2. Hausa (120 million speakers) 3. Amharic (57 million speakers) 4. Yoruba (50 million speakers) 5. Igbo (45 million...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, Nilikuwa naomba mnisaidie wa jina la mdudu chavichavi kwa kiingereza
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Wakuu hivi ukiambiwa eating gluten fee inakua inamaana gani?
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Ingekuwa nafuu hata tukisema 'Boni maro'. Yaani ndo UBOHO?! hivi aliyepitisha hili neno alikuwa mswahili kweli? Jamani Uboho inatia ukakasi kutamka. Ni nani mwenye mamlaka atuangalizie jina mbadala?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Lakini kiswahili cha Tanzania hua vipi? Kuna maneno hutumiwa pale hata ujaribu kutafuta maana kwenye internet huwezi pata. Kama mnabuni maneno basi pia muweka maana pale kwa internet tujue maana...
1 Reactions
7 Replies
703 Views
"Kuna haja kubwa..." Hicho Kirai (phrase) hakifai kwenye mawasiliano rasmi na ya staha. Ebu ona hii:- "Kuna haja kubwa" Tafsiri zake mchanganyiko:- 1. Kuna uhitaji mkubwa. 2. Kuna choo (stool)...
0 Reactions
4 Replies
617 Views
Salaam Ndugu zangu? Kuna baadhi ya maneno yanasaidia kutukumbusha sehem au matukio fulani katika maisha yetu. Je maneno haya umeshawahi kuyasikia Ngawira Ndarama Fagilia Shangingi Chekibobu...
0 Reactions
0 Replies
500 Views
[emoji120]
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Habari za wakati huu wana JF. Samahani sana naombeni msaada wenu, nahitaji kuwa mtaalamu wa lugha za kigeni(kusoma, kuandika na kuongea kwa ufasaha) na nipo tayari kuanza kujifunza mwezi huu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ukiwa Chugga, utasikia misamiati tofauti sana na maeneo mengine, kama kwenye wingi wa maneno, mfano: Maji - Mamaji Ulaya - Maulaya Watu - Mawatu Zipu - Mazipu Kikombe - mavikombe Sahani ya pilau...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom