Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,267
HISTORIA IMEMSAHAU MZALENDO HUYU
MAULID HASSAN
Imeandikwa na Kizito Mpangala
Anapatikana Wilaya ya Namtumbo, Mkoa wa Ruvuma.
Ni kamanda mwenye umri wa miaka 90 sasa.
Maulid Hassan ni anayestahili kutunzwa vema.
Maulid Hassan anatajwa kuwa alimficha Mwalimu Julius Nyerere kwa muda wa saa 10 kwenye kijumba maalumu.
Alimficha humo alikuwa akitafutwa na wanajeshi wa kikoloni Novemba 1955.
Maulid Hassan bado yuko hai.
Eneo alipomficha Mwalimu Julius Nyerere panajulikana kama Kihenge.
Kuna mnara mdogo umejengwa hapo kwa ajili ya kumbukumbu hii kwake na kwa taifa kwa ujumla.
Pongezi kwake, bado ana kumbukumbu za kutosha.
📸 Albano Midelo
____________________
Kizito Mpangala,
September 2023.
NB
Itapendeza kama tutapata taarifa zaidi kutoka Namtumbo za mzalendo Maulid Hassan aliyemsaidia Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Itapendeza kupata picha ya mnara.
MAULID HASSAN
Imeandikwa na Kizito Mpangala
Anapatikana Wilaya ya Namtumbo, Mkoa wa Ruvuma.
Ni kamanda mwenye umri wa miaka 90 sasa.
Maulid Hassan ni anayestahili kutunzwa vema.
Maulid Hassan anatajwa kuwa alimficha Mwalimu Julius Nyerere kwa muda wa saa 10 kwenye kijumba maalumu.
Alimficha humo alikuwa akitafutwa na wanajeshi wa kikoloni Novemba 1955.
Maulid Hassan bado yuko hai.
Eneo alipomficha Mwalimu Julius Nyerere panajulikana kama Kihenge.
Kuna mnara mdogo umejengwa hapo kwa ajili ya kumbukumbu hii kwake na kwa taifa kwa ujumla.
Pongezi kwake, bado ana kumbukumbu za kutosha.
📸 Albano Midelo
____________________
Kizito Mpangala,
September 2023.
NB
Itapendeza kama tutapata taarifa zaidi kutoka Namtumbo za mzalendo Maulid Hassan aliyemsaidia Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Itapendeza kupata picha ya mnara.