Jukwaa la Historia

On JF:

Bandari Salama ya Dar es Salaam imeonesha utendaji wa kuridhisha siku hadi siku. Katika mwaka 2017/18 Imeweza kupoke mizigo kiasi cha zaidi ya tani milioni 16. #HapaKazi tu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakuu nimeona taarifa za kuuwawa kwa mmoja kati ya maofisa wa polisi Uganda Jambo hili limenipa tafakuri kidogo kutaka kujua historia ya kiutawala ama kiuongozi ya Uganda tangu kupata kwao uhuru...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Habar za leo Samahan Kuna siku mwalimu wa History alikuwa anatufundisha kuhusiana na Nyerere katika harakati za kudai uhuru. Katk mafundisho yake alisema. Kulikuwa na mkutano wa chama cha TANU...
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Wadau na Wabobezi wa Historia ya mapambano ya Ukoloni katika Tanganyika kuna hawa Mashujaa Wawili Waafrika ambao kwa namna tofauti na Wapigania Uhuru wengine wao wali sababisha usumbufu mkubwa kwa...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Katika watu wanaoendana kiutamaduni ni wameru na wamachame Kwa mfano lugha zao zina maingiliano makubwa mno Koo zao zinafanana sana mfano urasa,ndosi, nyari nk Kuchapa kazi n,k Kati ya wameru...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Kama ungepewa nafasi, ungetamani kitabu gani kichapishwe upya? Mimi nakumbuka vifuatavyo’ MIKATO MAKABURINI ALFU LELA ULELA WARIDI KISIWA CHENE HAZINA
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Aliwahi kuwa rais wa Iran 2005 mpaka 2013. Baada ya kuchaguliwa kuwa rais hakutaka kuhama kutoka katika nyumba aliyoishi. Ilibidi ashauriwe kuhamia Ikulu kwasababu za kiusalama. Alipofika ikulu...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
CCM wanafanya hesabu hawapati jawabu hivi sasa na wakiangalia muda unatoweka kwa nguvu huku Jumuiya za kimataifa zikiwakodolea macho. Magufuli anaikimbia Ikulu ya Magogoni. Wengine wakipita Mkoa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Upande wa Kusini wa Afrika inajulikana kwa jina maarufu kama Afrika ya Juu. Ukisoma kwenye maandiko na vitabu mbalimbali vya kihistoria wanasema juu ya Misri ya Juu na Misri ya chini. Niweke wazi...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Hakika inaonekana Watanzania tulio wengi hatukuelimishwa vya kutosha Majukumu ya mfumo wa siasa vya vyama vya upinzani wakati vinaanzishwa.Nadiriki kusema hivyo kutokana na watu wengi wanalaumu...
1 Reactions
0 Replies
748 Views
Svetlana Iosifovna Alliluyeva, Later known as Lana Peters, was the youngest child and only daughter of Soviet Premier Joseph Stalin and Nadezhda Alliluyeva, Stalin's second wife. Wikipedia Born...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Idi Amin Dada alizaliwa 1923 na alifariki mwezi wa nane 2003 alikua raisi wa tatu wa Uganda, alitawala 1971 mpaka 1979. Amin alijiunga na jeshi la kikoloni la Mwingereza likitumikia Kenya na...
31 Reactions
101 Replies
44K Views
Hoja ya nani mwafrika inaonekana inawagonga sana vichwa wasomi kitu ambacho kinapelekea watu wa kawaida tusielewe kabsa juu ya dhana hii tete nikaona acha niwaletee hii hoja ukumbi janvini hapa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo tujikumbushe mada hii inayovutia sana Miaka 62 baada ya yesu kristo mlima mmoja unaoitwa mount Vesuvius ulilipuka volkano na ukafukia kabisa miji minne mikubwa enzi hizo mji maarufu ukiwa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwanajeshi huyu ndie aliyejitokeza peke yake siku ya maadhimisho ya WWII kwenye Gwaride ambalo huandaliwa maalumu kwajili ya kuwaenzi, wenzake wote wameshatangulia mbele za haki, alijikuta akilia...
4 Reactions
36 Replies
9K Views
BTK ni kifupi cha Bind, Torture and Kill. Herufi hizi tatu zilikuwa zinawatia hofu kubwa wakazi wa Wichita, Kansas pale zilipotamkwa sehemu yoyote. Hizi herufi zilikuwa zikiwakilisha jina la mtu...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu! Ulimwenguni kuna viongozi wengi walioongoza mataifa ama falme mbalimbali kwa weledi na ustadi wa hali ya juu hadi kupelekea wakumbukwe daima katika mataifa yao, mabara yao na duniani kwa...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jobs in Uganda, Principal Veterinary Officer Job Title : Principal Veterinary Officer Salary Scale : U2 Reports to : District Production and Marketing Officer Responsible for : Senior Veterinary...
1 Reactions
0 Replies
839 Views
Back
Top Bottom