Jukwaa la Historia

On JF:

BURIANI SHEIKH ALI BIN MUSSA MAARUFU SHEIKH ROCKET Naamini hakuna Muislam aliyezaliwa Dar es Salaam au kuishi tu ambae hakupata kumfahamu Sheikh Rocket au kumuona angalau kwa mara moja. Mimi...
8 Reactions
5 Replies
358 Views
PICHA YA ABDALLAH KASSIM HANGA AKIBARIZI MSASANI BEACH KWENYE NYUMBA YA OSCAR KAMBONA Hakuna kitabu kilichoeleza historia ya Hanga na Oscar Kambona kwa siku chache Hanga lipokuwa anakaa nyumbani...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Kitabu Uamuzi wa busara kinazungumzia maamuzi mbalimbali magumu yaliyofanywa na Mwalimu JK Nyerere na TANU. Kuanzia Mwalimi kujiuzulu kazi ya ualimu, TANU kuamua kutosusia uchaguzi, Mwalimu...
2 Reactions
4 Replies
486 Views
Watoto wa Chief Mohosh Plantan (Afande Plantan) katika historia ya Tanganyika https://youtu.be/fPdA-pfDcnw?si=c-i7GRJomRUDrOYQ
4 Reactions
16 Replies
514 Views
KUMBUKUMBU ZANGU ZA MAPINDUZI NA WATU WA MAPINDUZI YA ZANZIBAR YA 1964 SEHEMU YA KWANZA Nakumbuka kuangalia gazeti nikasoma na kuona picha za vurugu zilizotokea Zanzibar. Gazeti hili bila shaka...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Tuendelee na sehemu ya pili na ya mwisho. Kupanda kwa Prince Fumimaro Konoe kuelekea kilele cha mamlaka hakukuwa matokeo ya mapinduzi, bali mwendelezo wa urithi wa kifalme uliovaa suti ya siasa...
2 Reactions
6 Replies
378 Views
KWA NINI HISTORIA YA ZANZIBAR YA KWELI HAISOMESHWI? Mohamed Said Salum Bin Rawahy...kiasi cha mwaka mmoja hadi kufika leo tuliweka hadharani fikra za Prof. Ibrahim Noor kupitia kitabu chake...
16 Reactions
227 Replies
33K Views
Wanabodi, Tunapojiandaa kusherehekea kumbukumbu ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, kuna baadhi ya vibaraka wa Sultan mpinduliwa wanafanya juhudi kubwa kuuchokoa Muungano ili uvunjike...
2 Reactions
53 Replies
9K Views
Leo asubuhi nilifanyiwa mahojiano na mtangazaji Faraja wa Azam TV kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar. Mtangazaji alifungua kipindi kwa utangulizi kuhusu historia ya mapinduzi na umuhimu wa kuyaenzi...
3 Reactions
32 Replies
9K Views
MIAKA 20 BAADA YA KUFIKA PWANI YA KIPUMBWI: HISTORIA YA KAMBI YA KIPUMBWI KATIKA MAPINDUZI YA ZANZIBAR Miaka 20 iliyopita tarehe kama ya leo 9 December, 2003 ndiyo siku Mohamed Omari Mkwawa...
12 Reactions
71 Replies
4K Views
Ni nani makomredi walioshiriki Mapinduzi ya Zanzibar 1964 Picha: Baraza la Kwanza la Mapinduzi Zanzibar WIKI iliyopita mwandishi Salma Said alichangia katika mazungumzo ya humu mtandaoni...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
https://youtu.be/Vb7IeyvxrtE
1 Reactions
1 Replies
166 Views
Abeid Karume aliuawa kwa kipigwa Risasi Tarehe 7/4/1972 Risasi nane zilitolewa mwilini kwake mwili wake ulipofikishwa kwenye Hospitali ya V. I. Lemin, mjini Unguja kwa uchunguzi, Sawa na idadi ya...
16 Reactions
63 Replies
18K Views
John F Kennedy JFK anafahamika kama miongoni mwa marais wa Marekani waliokaa madarakani muda mchache zaidi Sasa leo tunawajadili viongozi waliokaa madarakani(walioyatumikia madaraka) kwa muda...
14 Reactions
91 Replies
16K Views
Wakuu, Nimekutana na picha hii na nimepata maswali sana. Hawa ni wajumbe wa tawi la wanawake la TANU wakiagana na Mwalimu Nyerere usiku wa kuamkia safari yake ya Umoja wa Mataifa mwaka 1955...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Nawapongeza sana Taifa Stars walionyimwa haki lakini wakashikilia amani. Pamoja na kuchezewa rafu na refa ambaye kawanyima haki wazi wazi, kwa sababu wanatoka kwenye kisiwa cha amani...
2 Reactions
1 Replies
118 Views
Historia ni kama albamu ya zamani; hakuna kitu kipya, ni picha zinazojirudia. Hata kukamatwa kwa Nicolás Maduro na Marekani wala si suala geni kihivyo. Kurasa zote za habari hivi sasa...
2 Reactions
1 Replies
381 Views
Wakutu ni Kabila linalopatikana mpakani mwa mkoa wa Morogoro na Pwani. Kwa mkoa wa Morogoro wanapatilana katika wilaya ya morogoro ( Morogoro vijijini ) katika vijiji vya Dutumi, Mvua, kisaki...
12 Reactions
41 Replies
4K Views
Hili ni moja ya kabila ambalo linapatikana hapa hapa Tanzania hasa upande wa mashariki. Japo habari na historia la kabila hili zilishaandikwa, hasa juu ya asili ya neno Uzaramo au Wazaramo. Kwa...
8 Reactions
25 Replies
56K Views
Kwenye kituo kimoja cha treni ndani mji wa Rotterdam, alionekana mwanaume mmoja akiwa amevalia miwani nyeusi ya jua huku amekamata begi aina ya briefcase mikononi mwake. Bwana huyu kama...
15 Reactions
47 Replies
2K Views
Back
Top Bottom