Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,538
John F Kennedy JFK anafahamika kama miongoni mwa marais wa Marekani waliokaa madarakani muda mchache zaidi
Sasa leo tunawajadili viongozi waliokaa madarakani(walioyatumikia madaraka) kwa muda mchache zaidi
Kati yao hakuna aliyefikisha hata kawiki kaamoja akiyatumikia hayo madaraka aliyoyapata/pewa
Hapa kuna Wafalme,mawaziri wakuu n.k
--------------------------------------------------------------------
10/Sultan Khalid Bin Bargash
Huyu alikuwa Sultani wa Zanzibar mnamo mwaka 1869 baada ya kifo cha binamu yake lakini akaonja madaraka kwa siku mbili tu
Waingereza baada ya kusikia Bargash kawa kiongozi wa Zanzibar walimpa masaa 24 aachie madaraka kwa hiyari yake sababu hakuwa chaguo lao, lakini akawagomea na kupelekea baada ya siku moja kupita Waingereza watume meli zao za kivita na wanajeshi
Hapo ndo ikazaliwa vita iliyojulikana kama Anglo Zanzibar War ambayo ilidumu kwa muda wa dk 38 pekee iliyoisha August 27 1869 na kuwa Vita fupi zaidi kuwahi kutokea duniani
Wakati wa vita hiyo wazanzibar waliokufa na kujeruhiwa ni 500 wakati mwingereza aliyeumia ni mmoja pekee, boti mbili zilizama
Hivyo jamaa huyu sultan alitawala Zanzibar kwa muda wa siku 2 tu
Sasa leo tunawajadili viongozi waliokaa madarakani(walioyatumikia madaraka) kwa muda mchache zaidi
Kati yao hakuna aliyefikisha hata kawiki kaamoja akiyatumikia hayo madaraka aliyoyapata/pewa
Hapa kuna Wafalme,mawaziri wakuu n.k
--------------------------------------------------------------------
10/Sultan Khalid Bin Bargash
Huyu alikuwa Sultani wa Zanzibar mnamo mwaka 1869 baada ya kifo cha binamu yake lakini akaonja madaraka kwa siku mbili tu
Waingereza baada ya kusikia Bargash kawa kiongozi wa Zanzibar walimpa masaa 24 aachie madaraka kwa hiyari yake sababu hakuwa chaguo lao, lakini akawagomea na kupelekea baada ya siku moja kupita Waingereza watume meli zao za kivita na wanajeshi
Hapo ndo ikazaliwa vita iliyojulikana kama Anglo Zanzibar War ambayo ilidumu kwa muda wa dk 38 pekee iliyoisha August 27 1869 na kuwa Vita fupi zaidi kuwahi kutokea duniani
Wakati wa vita hiyo wazanzibar waliokufa na kujeruhiwa ni 500 wakati mwingereza aliyeumia ni mmoja pekee, boti mbili zilizama
Hivyo jamaa huyu sultan alitawala Zanzibar kwa muda wa siku 2 tu