MWANAMAPINDUZI JOHN OKELLO
John Okello ambaye aliongoza Mapinduzi ya Zanzibar alizaliwa mwaka 1937 huko Uganda katika kabila la Lang'o ambalo pia ni la Rais wa Zamani wa Uganda Milton Obotte...
Mwalimu Nyerere, Baba wa Taifa aliifukuza Israel hapa Tanzania mwaka 1973. Kwa muda wa miaka zaidi ya 20, Tanzania ilikata kabisa mawasiliano na mahusiano yote na hii nchi ya Israel.
Ni kitu...
Nimekuwa na Abdilatif Abdulla London, Berlin, Humburg, Mombasa na Dar-es-Salaam lakini Dar-es-Salaam mara nyingi kuliko huko kote kwengine.
Nimekaa nyumbani kwake Humburg.
Kote tunapokuwa pamoja...
Mapango ya Longyou ni mojawapo ya kazi za usanifu zilizo kimya zaidi katika historia ya kale. Zikiwa zimefichwa chini ya shamba huko Zhejiang, Uchina, ziligunduliwa tu katika miaka ya 1990-kwa...
NANI ANAHUSIKA NA KUTUNZA KUMBUKUMBU NA HISTORIA YA BABA WA TAIFA?
JIWE LA KUMBUKUMBU YA NYUMBA YA MTUMWA SULEIMAN ALIYOFIKIA MWALIMU NYERERE 1954
Mmoja kati ya wafuatiliaji wa Maktaba kanitumia...
Picha tunayoitumia kwenye vitabu haionyeshi uhalisia wa hali ya waafrika miaka hiyo ya 1905. Yaani hii picha haikufaa kabisa kuendelea kutumika. Hiyo ni picha ya kuchorwa na mkono. Picha...
Februari 26, 1982 Tanzania ilitikisika baada ya kutokea taarifa kuwa ndege ya Shirika la Ndege Tanzania (ATC) imetekwa. Lilikuwa ni tukio la kwanza la aina yake kuwahi kutokea katika nchi hii na...
Ilipokuwa inapita Barabara ya Swahili makutano na Mtaa wa Tandamti nimekuta pamejengwa na ni sehemu ya Soko la Kariakoo.
Mtaa wa Swahili unakatika hapo na unakuja kuendelea kuanzia Mkunguni...
Kulikuwa na mwendawazimu jina lake Boimanda na watoto tukimuogopa sana.
Matembezi ya Boimanda siku zote yalikuwa pale sokoni na watu wakimtisha Boimanda kwa kumwambia kuwa askari wa kodi wanakuja...
Mnamo April 1986, Walimu takriban 20 waliandamana nje ya mkutano wa mwaka wa Baraza la Kitaifa la Walimu wa Hisabati (NCTM) mjini Washington, D.C., wakipinga sera mpya iliyoruhusu matumizi ya...
BINADAMU WALIO ACHA ATHARI KUBWA ULIMWENGUNI: DUNIA IKAWA YAO, KISHA WAO WAKAWA DUNIA MPAKA LEO.
Na. Comred Mbwana Allyamtu. (CMCA)
Saturday-03/12/2022
Marangu Kilimanjaro Tanzania
Hii list hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.