Jukwaa la Historia

On JF:

Wenye viwanda walitangaza kazi na watu kutoka vijijini walihamia katika miji yenye viwanda. Nyumba zilikua na umeme lakini vyoo na bomba la maji vilikua nje. Kulikua na mabafu ya kulipia na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kauli ya kuwa Julius Nyerere aliwaambia, "Wavunje chama chao," Mzee Msekwa kamkusudia Abdul Sykes lakini kukosa ujasiri wa kulitaja jina la Abdul kwani jina hili kutajwa na kuhusishwa na TANU...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natumai wote ni wazima wa afya. Kama title inavyojieleza hapo, katika anga za kimataifa kwasasa habari zinazovuma ni huu mzozo uliopo kati ya Ethiopia na Tigray. Basi kwa anae jua naomba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WASIFU WA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE Ndugu Mohamed, Salaam kutoka Dar es Salaam. Tunatumai uko mzima. Tuna furaha kukujulisha kuwa kile kitabu cha wasifu wa Mwalimu Nyerere...
5 Reactions
0 Replies
2K Views
Habarini za Jumatatu wakuu, natumaini mpo wazma wa afya na mnaendelea na majukumu yenu ya kila siku; Naomba niwatakie afya njema wote hasa wale wagonjwa mpate nafuu. Kama ilivyo Kawaida yangu ya...
7 Reactions
23 Replies
5K Views
Ilikuwa ni Oktoba 28, 1958 mjini North Carolina US ambapo watoto wa kiume wawili wenye asili ya Afrika David Simpson (na Hanover Thompson (9) raia wa Monroe walipewa kesi kwa kumtazama tuu binti...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jina lake kamili anaitwa 'Shaka kaSenzangakhona' alikua maarufu kwa jina la 'Shaka Zulu'. Alizaliwa mwaka 1787 huko Kwazulu-Natal Afrika Kusini na kufariki mwaka 1828 akiwa na miaka 41. Alikuwa...
2 Reactions
65 Replies
16K Views
Unamjua mtu anaitwa Kanali Seif Bakari? Huyu ndie alikuwa kitendea kazi mhimu cha Mzee Karume katika utawala wake. Mathalani, Kiburi cha madaraka kilipokolea, Karume alianza kuwa mwiba kwa Mwl...
14 Reactions
39 Replies
9K Views
''Nashukuru nimemwona Abdul Sykes vizuri katika picha hizi. Sikubahatika kumuona akiwa hai alikuwa na ukaribu sana na baba yetu mdogo Mzee Mrisho kuliko ndugu zake. Wao walizoeana sana kila...
13 Reactions
23 Replies
5K Views
Rais wa zamani wa Marekani, George Herbert Walker Bush Alifariki nyumbani kwake huko Houston, katika jimbo la Texas. Alikuwa na umri wa miaka 94. Alikuwa rais wa 41 wa Marekani, Mrepublican...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
TAA HAKIKUWA CHAMA CHA KUSHUGHULIKA NA MASLAHI YA WAFANYAKAZI WAAFRIKA WA TANGANYIKA Abdul Sykes alikuwa na fikra ya kuunda chama cha siasa toka yuko Burma wakati wa Vita Vya Pili Vya Dunia (1939...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
THE MAN WHO USED TO URINATE ON MY HEAD WHEN I WAS IN THE PRISON Nelson Mandela: "After I became president, I asked some members of my close protection to stroll with me in the city and have lunch...
9 Reactions
22 Replies
4K Views
Lugha ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki. Neno Swahili lina asili ya Kiarabu: Sahil ina maana ya pwani; sawahil ’’ a-sawāhilī’’ ni wingi wake...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
PAUL KAGAME WA RWANDA Kagame alikulia mafichoni nchini Uganda , ambapo wazazi wake walikuwa wamemchukua akiwa mdogo wakati wa ghasia za watu wa kabila la Hutu na Tutsi ziliposambaa kabla ya taifa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Alifanya sherehe, aligharamia chakula na kununua zawadi. Wajakazi wake wote walipata zawadi. Mama aliyeleta mpira wenye marashi alipewa £488 na aliyeimba shairi alipewa £2,400. Pesa aliyotumia...
8 Reactions
10 Replies
2K Views
Camilo akiwa na Che Guevara Hapa akiwa na Castro Jina lake kamili ni Camilo Cienfuegos Gorriaran alizaliwa February 6, 1932 huko Havana, Cuba. Alikuwa ni Mwanamapinduzi aliyepambana mstari...
21 Reactions
57 Replies
16K Views
Hiki kitabu ninakisoma hivi sasa. Bado sijakimaliza lakini nimejifunza mengi katika historia ya Makomredi wa Zanzibar na ushawishi wa Abdulrahman Babu katika fikra za siasa za mrengo wa kushoto...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Historia ya TAA kama ilivyoelezwa na CCM hapo juu inahitaji kusahihishwa. Naweka hapo chini kipande kutoka makala niliyoandika mwaka wa 2019 kusahihisha makala ya Mzee Pius Msekwa kuhusu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa waliowengi wanalijua hili neno la “Buffalo Solders” kutokana na Wimbo wa Bob Marley. Ukweli ni kwamba neno hili lina historia kubwa sana katka kuelezea histori ya Waafrika- Waamerika. kwa...
5 Reactions
8 Replies
6K Views
Back
Top Bottom