Jukwaa la Historia

On JF:

Sylvia Kinigi ndie mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu nchini Burundi na kwa Afrika Mashariki. Na 1993-1994 akapata kuwa acting president wa Jamhuri ya Burundi. Mama Samia Suluhu Hassan, anapata...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
DARSA LA TAFSIR YA QUR'AN LA SHEIKH ABDALLAH IDDI CHAREMBO MWEZI WA RAMADHANI MSIKITI WA MTORO MIAKA YA 1970 Hukaa nikaangalia nyuma na ''nostalgia'' yaani simanzi. Naangalia ujana wangu...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
“Mgeni Wa Mvua Hafukuzwi, Mwache Aweke Mzigo Wake” Na; Norbert Mporoto Tanzania. 28042021 Baruapepe: uhurunifikra9406@hotmail.com Ilikuwa siku ya mwaka mpya kijijini Rani, katika mji wa King...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
MUNANKA ROAD BUNJU Nimeuona mtaa huo hapo chini wa Munanka Bunju. Naingia Maktaba kumtafuta Bhoke Munanka. Bhoke Munanka nimekutananae wakati natafiti maisha ya Ali Migeyo. Katika kitabu cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JAPHET KIRILO MTANGANYIKA WA KWANZA KUZUNGUMZA UNO 1952 Katika makala ya nyuma nimemtaja Japhet Kirilo na kuna msomaji kaniandikia na kunieleza kuwa ningemtaja Kirilo kwa sifa ya ushujaa...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Sunanda Kumariratara alikuwa ni malkia wa Thailand alikufa kwa kuzama maji baharini. Wasaidizi aliokuwa nao hawakumuokoa kwasababu kumshika malkia ilikuwa ni kosa na adhabu yake ni kifo! Sent...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
HILI NI JUMA ZIMA LA VITABU DUNIANI 5 ''Rajabu Ibrahim Kirama Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam'' Mwandishi: Mohamed Said Mchapaji: Readit Books Ltd Dar-es-Salaam Ukoo wa Rajabu Ibrahim...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wazee wenzangu tujikumbushe maneno ya wimbo ambayo ndio uliokuwa ukiimbwa hapa Tanganyika GOD SAVE OUR GRACIOUS QUEEN LONG LIVE OUR NOBLE QUEEN, GOD SAVE THE QUEEN. SEND HER VICTORIOUS HAPPY AND...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Moabu , "Mbegu ya baba"; ni jina la kihistoria la eneo la milimani upande wa mashariki wa Bahari ya Chumvi ndani ya nchi ya kisasa ya Yordani. Ilikuwako kati ya Edomu upande wa kusini na Amoni...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuanzia mwaka 1968 mpaka mwanzoni ya miaka ya 70 taifa kubwa la Marekani lilikubwa na mtu mmoja hatari sana,si mwingine bali ni muuaji(serial killer) ambaye yeye kama yeye alipendelea kuitwa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Christopher Cyrilo ameandika haya Kushoto ni Fidel Castro, aliyekuwa Waziri mkuu wa Cuba kutoka mwaka 1959 hadi 1976, Rais wa nchi hiyo kutoka 1976 hadi 2008. Kulia na Ernesto Rafael Guavara...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naomba kufahamu hivi mbali na kisarawe kukaliwa na wazaramo na baadaye kumpokea mgeni wa kijerumani na kumuuguza hadi akapona na baadaye kutaka kutawala wenyeji au bagamoyo iliyokaliwa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
LEO SIKU YA VITABU DUNIANI 1 "The School Trip to Zanzibar" Mwandishi Mohamed Said Mchapaji: Africa Proper Education Network, Dar es Salaam Hiki kitabu kimechapwa mwaka jana 2020 na kinawafaa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
KARUME DAY NA TBC Leo nimetembelewa na TBC ili tufanye kipindi kuhusu Mzee Abeid Amani Karume. Mtangazaji Bakari Msuya kaniuliza maswali mengi. Nimemweleza Mzee Karume nikianza na uhusiano wake...
19 Reactions
50 Replies
6K Views
PICHA ADIMU ZA TANU, JULIUS NYERERE NA WAZALENDO WALIOSAHAULIKA KATIKA HISTORIA YA KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 1954 - 1961 Mohamed Said Historia, Siasa na Maendeleo Tanzania May 02, 2015 1...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Sofia Kawawa alisema Qur'an ibadilishwe kisa ni kuwa inaruhusu mwanamme wa Kiislam kuoa wake wanne na hili linadhalilisha wanawake. Maneno haya Sofia Kawawa aliyazungumza Dodoma kwenye mkutano wa...
5 Reactions
45 Replies
10K Views
THOSE WERE THE DAYS...HAPO ZAMANI ZA KALE Kifo cha Prince Philip. Nimelisoma jalada la siku ya uhuru katika Nyaraza za Sykes. Najuta hii leo. Sikulipa umuhimu mkubwa akili yangu ilitekwa na...
8 Reactions
24 Replies
4K Views
“While Revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill Ideas”, Haya yalikuwa ni maneno ya Thomas Sankara aliyoyatamka wiki moja kabla ya kuuawa. Thomas Sankara alikuwa kiongozi...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Kuna tetesi na pia kuna mambo mengi yanayoonyesha kua siasa za Zanzibar zimekua zikiamriwa dodoma na dar es salaam toka 1972 specifically after the death of karume. Tujulishane ishu ya rais Aboud...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo FB imenirushia kumbukumbu ya mkutano wa Tabora kuhusu Uchaguzi wa Kura Tatu wa mwaka wa 1958. Uchaguzi huu nimeueleza kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes na katika mihadhara kadhaa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom