Sylvia Kinigi ndie mwanamke wa kwanza kuwa Waziri Mkuu nchini Burundi na kwa Afrika Mashariki. Na 1993-1994 akapata kuwa acting president wa Jamhuri ya Burundi.
Mama Samia Suluhu Hassan, anapata...
DARSA LA TAFSIR YA QUR'AN LA SHEIKH ABDALLAH IDDI CHAREMBO MWEZI WA RAMADHANI MSIKITI WA MTORO MIAKA YA 1970
Hukaa nikaangalia nyuma na ''nostalgia'' yaani simanzi.
Naangalia ujana wangu...
“Mgeni Wa Mvua Hafukuzwi, Mwache Aweke Mzigo Wake”
Na; Norbert Mporoto
Tanzania.
28042021
Baruapepe: uhurunifikra9406@hotmail.com
Ilikuwa siku ya mwaka mpya kijijini Rani, katika mji wa King...
MUNANKA ROAD BUNJU
Nimeuona mtaa huo hapo chini wa Munanka Bunju.
Naingia Maktaba kumtafuta Bhoke Munanka.
Bhoke Munanka nimekutananae wakati natafiti maisha ya Ali Migeyo.
Katika kitabu cha...
JAPHET KIRILO MTANGANYIKA WA KWANZA KUZUNGUMZA UNO 1952
Katika makala ya nyuma nimemtaja Japhet Kirilo na kuna msomaji kaniandikia na kunieleza kuwa ningemtaja Kirilo kwa sifa ya ushujaa...
Sunanda Kumariratara alikuwa ni malkia wa Thailand alikufa kwa kuzama maji baharini. Wasaidizi aliokuwa nao hawakumuokoa kwasababu kumshika malkia ilikuwa ni kosa na adhabu yake ni kifo!
Sent...
HILI NI JUMA ZIMA LA VITABU DUNIANI 5
''Rajabu Ibrahim Kirama Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam''
Mwandishi: Mohamed Said
Mchapaji: Readit Books Ltd Dar-es-Salaam
Ukoo wa Rajabu Ibrahim...
Wazee wenzangu tujikumbushe maneno ya wimbo ambayo ndio uliokuwa ukiimbwa hapa Tanganyika
GOD SAVE OUR GRACIOUS QUEEN
LONG LIVE OUR NOBLE QUEEN,
GOD SAVE THE QUEEN.
SEND HER VICTORIOUS HAPPY AND...
Moabu , "Mbegu ya baba"; ni jina la kihistoria la eneo la milimani upande wa mashariki wa Bahari ya Chumvi ndani ya nchi ya kisasa ya Yordani. Ilikuwako kati ya Edomu upande wa kusini na Amoni...
Kuanzia mwaka 1968 mpaka mwanzoni ya miaka ya 70 taifa kubwa la Marekani lilikubwa na mtu mmoja hatari sana,si mwingine bali ni muuaji(serial killer) ambaye yeye kama yeye alipendelea kuitwa...
Christopher Cyrilo ameandika haya
Kushoto ni Fidel Castro, aliyekuwa Waziri mkuu wa Cuba kutoka mwaka 1959 hadi 1976, Rais wa nchi hiyo kutoka 1976 hadi 2008.
Kulia na Ernesto Rafael Guavara...
Wadau naomba kufahamu hivi mbali na kisarawe kukaliwa na wazaramo na baadaye kumpokea mgeni wa kijerumani na kumuuguza hadi akapona na baadaye kutaka kutawala wenyeji au bagamoyo iliyokaliwa na...
LEO SIKU YA VITABU DUNIANI 1
"The School Trip to Zanzibar"
Mwandishi Mohamed Said
Mchapaji: Africa Proper Education Network, Dar es Salaam
Hiki kitabu kimechapwa mwaka jana 2020 na kinawafaa...
KARUME DAY NA TBC
Leo nimetembelewa na TBC ili tufanye kipindi kuhusu Mzee Abeid Amani Karume.
Mtangazaji Bakari Msuya kaniuliza maswali mengi.
Nimemweleza Mzee Karume nikianza na uhusiano wake...
PICHA ADIMU ZA TANU, JULIUS NYERERE NA WAZALENDO WALIOSAHAULIKA KATIKA HISTORIA YA KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 1954 - 1961
Mohamed Said Historia, Siasa na Maendeleo Tanzania May 02, 2015 1...
Sofia Kawawa alisema Qur'an ibadilishwe kisa ni kuwa inaruhusu mwanamme wa Kiislam kuoa wake wanne na hili linadhalilisha wanawake.
Maneno haya Sofia Kawawa aliyazungumza Dodoma kwenye mkutano wa...
THOSE WERE THE DAYS...HAPO ZAMANI ZA KALE
Kifo cha Prince Philip.
Nimelisoma jalada la siku ya uhuru katika Nyaraza za Sykes.
Najuta hii leo.
Sikulipa umuhimu mkubwa akili yangu ilitekwa na...
“While Revolutionaries as individuals can be murdered, you cannot kill Ideas”, Haya yalikuwa ni maneno ya Thomas Sankara aliyoyatamka wiki moja kabla ya kuuawa.
Thomas Sankara alikuwa kiongozi...
Kuna tetesi na pia kuna mambo mengi yanayoonyesha kua siasa za Zanzibar zimekua zikiamriwa dodoma na dar es salaam toka 1972 specifically after the death of karume.
Tujulishane ishu ya rais Aboud...
Leo FB imenirushia kumbukumbu ya mkutano wa Tabora kuhusu Uchaguzi wa Kura Tatu wa mwaka wa 1958.
Uchaguzi huu nimeueleza kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes na katika mihadhara kadhaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.