Jukwaa la Historia

On JF:

Tarehe 17 April 1953 ulifanyika mkutano wa mwaka wa TAA Ukumbi wa Arnautoglo, Dar es Salaam. Mkutano wa mwisho wa TAA ulifanyika mwaka wa 1950 na katika mkutano huu uongozi wa wazee wasomi wa...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari! Mr Wiston Churchill ni moja ya muingereza maarufu kipindi cha karne ya ishirini na aliingoza uingereza wakati wa vita vya pili vya dunia. Wiston Churchill alizaliwa mnamo 1874 na kupata...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jina lake kamili ni Alexander Philip, wazungu wao humuita Alexander the Great (yaani Alexander mwenye nguvu) mtoto wa kwanza wa mfalme Philip II wa Macedonia (Ugiriki) na Malkia Olympias binti wa...
8 Reactions
19 Replies
6K Views
Hili swali anae weza kulijibu atatusaidia pia kutwambia kwanini kue kuna mgawanyiko wa rangi za wanadamu kama asili yetu ni moja? Weupe/wazungu Wekundu/wachina/waarabu/wahindi Weusi/waafrika Pia...
0 Reactions
80 Replies
27K Views
Jini mahaba ni moja kati ya majini waliokuwa na nguvu sana na waliopo karibu sana na ufalme wa Dajjal/Shetani/Ibilisi/Lucifer/ ambaye pia wengine humuita mpinga Christo. Elewa ya kuwa ndugu yangu...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Kashfa kubwa imelikumba shirika la hifadhi la Taifa(Tanapa)na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro(NCAA) baada ya baadhi ya maofisa wake wenye vyeo vya juu kukubali rushwa ya dola 20,000 Kutoka kwa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
RAMADHANI IN DAR ES SALAAM THROUGHOUT THE YEARS By Mohamed Said Observation of the holy month of Ramadhan in actual fact begins when the moon is sighted at the end of Shaaban. Soon after Magrib...
4 Reactions
0 Replies
1K Views
Za jioni waungwana. Katika maisha nmejiwekea kila baada ya miezi mitatu huwa najitahidi kutembelea sehemu mbalimbali za nchi yetu ya Tanzania na kujionea vivutio tulivyonavyo. Basi safari yangu...
7 Reactions
54 Replies
21K Views
Leo hii ni kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania na kipenzi cha watanzania mh Edward Moringe Sokoine kilichotokea 12.04.1984. Marehemu alipata ajali ya gari akiwa njiani kutokea...
4 Reactions
21 Replies
46K Views
We have to learn this Philosopher who make critical thinking to make choice between White colour job at St. Francis and Politics. After he made a critical thinking he come up with a conclusion...
4 Reactions
18 Replies
8K Views
Nyelwa Kisenge alikuwa DC huko Mbulu miaka ya 1980s, alikuwa DC mkali na mchapakazi sana. Alikuwa pia mfuatiliaji sana na aliibadilisha sana Mbulu. Miaka hiyo kulitokea ugonjwa wa Tauni na...
11 Reactions
56 Replies
19K Views
William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841. Mfahamu kidogo William Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja...
10 Reactions
51 Replies
8K Views
UANDISHI WA HISTORIA YA UZALENDO TANZANIA Somo la historia ya Tanzania litaanza kufundishwa katika shule za msingi kuanzia Machi, 2021 baada ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kukamilisha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwanamfalme Philip, Mtawala wa Edinburgh, aliheshimiwa na wengi kwa sababu ya kujitolea kwake kikamilifu kumuunga mkono Malkia wa Uingereza katika shughuli zake nyingi. Huo ulikuwa wajibu mgumu...
5 Reactions
7 Replies
2K Views
JOHN INNISS MSWAHILI WA NEW YORK Nimemfahamu John Inniss miaka ya 1980 mwishoni kwa kutambulishwa na Bi. Riziki Shahari miaka hiyo yeye mwanafunzi Columbia University, New York ambako ndiko...
6 Reactions
29 Replies
5K Views
Nawauliza wazee wangu mliokuwa na ufahamu wakati nchi inaingia kwenye vita vya Kagera. Je, kulikuwepo na ulazima wa kuingiza nchi kwenye vita ya Uganda ambayo tangu wakati huo mpaka sasa madhara...
10 Reactions
81 Replies
10K Views
Chagos ni visiwa visivyojulikana sana ambavyo vipo katikati ya Bahari ya Hindi. Kwa miaka 150, vilikuwa sehemu ya nchi ya Mauritius iliyotawaliwa na Uingereza. Hata hivyo, miaka kadhaa kabla ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Likiwa na maana ya chumvi
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Malcolm X alizaliwa kama Malcolm Little Mei 19, 1925 huko Omaha, Nebraska. Baba yake, Earl Little alikuwa mchungaji asiyeogopa kusema ukweli, na pia alikuwa msaada mkubwa sana wa kiongozi wa...
5 Reactions
6 Replies
9K Views
Back
Top Bottom