Tarehe 17 April 1953 ulifanyika mkutano wa mwaka wa TAA Ukumbi wa Arnautoglo, Dar es Salaam.
Mkutano wa mwisho wa TAA ulifanyika mwaka wa 1950 na katika mkutano huu uongozi wa wazee wasomi wa...
Habari!
Mr Wiston Churchill ni moja ya muingereza maarufu kipindi cha karne ya ishirini na aliingoza uingereza wakati wa vita vya pili vya dunia.
Wiston Churchill alizaliwa mnamo 1874 na kupata...
Jina lake kamili ni Alexander Philip, wazungu wao humuita Alexander the Great (yaani Alexander mwenye nguvu) mtoto wa kwanza wa mfalme Philip II wa Macedonia (Ugiriki) na Malkia Olympias binti wa...
Hili swali anae weza kulijibu atatusaidia pia kutwambia kwanini kue kuna mgawanyiko wa rangi za wanadamu kama asili yetu ni moja?
Weupe/wazungu
Wekundu/wachina/waarabu/wahindi
Weusi/waafrika
Pia...
Jini mahaba ni moja kati ya majini waliokuwa na nguvu sana na waliopo karibu sana na ufalme wa Dajjal/Shetani/Ibilisi/Lucifer/ ambaye pia wengine humuita mpinga Christo.
Elewa ya kuwa ndugu yangu...
Kashfa kubwa imelikumba shirika la hifadhi la Taifa(Tanapa)na mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro(NCAA) baada ya baadhi ya maofisa wake wenye vyeo vya juu kukubali rushwa ya dola 20,000 Kutoka kwa...
RAMADHANI IN DAR ES SALAAM THROUGHOUT THE YEARS
By Mohamed Said
Observation of the holy month of Ramadhan in actual fact begins when the moon is sighted at the end of Shaaban.
Soon after Magrib...
Za jioni waungwana. Katika maisha nmejiwekea kila baada ya miezi mitatu huwa najitahidi kutembelea sehemu mbalimbali za nchi yetu ya Tanzania na kujionea vivutio tulivyonavyo.
Basi safari yangu...
Leo hii ni kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania na kipenzi cha watanzania mh Edward Moringe Sokoine kilichotokea 12.04.1984.
Marehemu alipata ajali ya gari akiwa njiani kutokea...
We have to learn this Philosopher who make critical thinking to make choice between White colour job at St. Francis and Politics.
After he made a critical thinking he come up with a conclusion...
Nyelwa Kisenge alikuwa DC huko Mbulu miaka ya 1980s, alikuwa DC mkali na mchapakazi sana. Alikuwa pia mfuatiliaji sana na aliibadilisha sana Mbulu. Miaka hiyo kulitokea ugonjwa wa Tauni na...
William Henry Harrison alihudumu kwa muda wa siku 31 pekee, mwaka 1841.
Mfahamu kidogo
William Henry Harrison (9 Februari 1773 – 4 Aprili 1841) alikuwa Rais wa tisa wa Marekani kwa mwezi mmoja...
UANDISHI WA HISTORIA YA UZALENDO TANZANIA
Somo la historia ya Tanzania litaanza kufundishwa katika shule za msingi kuanzia Machi, 2021 baada ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kukamilisha...
Mwanamfalme Philip, Mtawala wa Edinburgh, aliheshimiwa na wengi kwa sababu ya kujitolea kwake kikamilifu kumuunga mkono Malkia wa Uingereza katika shughuli zake nyingi.
Huo ulikuwa wajibu mgumu...
JOHN INNISS MSWAHILI WA NEW YORK
Nimemfahamu John Inniss miaka ya 1980 mwishoni kwa kutambulishwa na Bi. Riziki Shahari miaka hiyo yeye mwanafunzi Columbia University, New York ambako ndiko...
Nawauliza wazee wangu mliokuwa na ufahamu wakati nchi inaingia kwenye vita vya Kagera. Je, kulikuwepo na ulazima wa kuingiza nchi kwenye vita ya Uganda ambayo tangu wakati huo mpaka sasa madhara...
Chagos ni visiwa visivyojulikana sana ambavyo vipo katikati ya Bahari ya Hindi. Kwa miaka 150, vilikuwa sehemu ya nchi ya Mauritius iliyotawaliwa na Uingereza. Hata hivyo, miaka kadhaa kabla ya...
Malcolm X alizaliwa kama Malcolm Little Mei 19, 1925 huko Omaha, Nebraska. Baba yake, Earl Little alikuwa mchungaji asiyeogopa kusema ukweli, na pia alikuwa msaada mkubwa sana wa kiongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.