Hello guys wa jf tumekua tukishauriana vingi na nilitamani tena mnipe mawazo.
Nipo chuo diploma ya kwanza IT chuo Fulani Nina umri wa miaka 20 ila kadri siku zinavozidi kwenda sio siri napoteza...
Lets write "I love you" in as many languages as we can.
Kiswahili: Nakupenda
Kiarabu: Ana Ahibbak
Kwa Kichaga....., Kihaya.....,Kinyakyusa...., Kisukuma.....,Kikwere...., Kinyamwezi...
Nina swali kuhusu program tajwa hapo juu hususani kwa mtu aliyepitia Doctor of Medicine (MD) kama undergraduate.
Requirements ni zipi?
Je inampasa graduate wa MD kutimiza mwaka mmoja wa...
Wasalaam wana jamvi!
Mimi ni kijana ambaye baada ya kumaliza degree yangu mwaka juzi nikaunganisha kusoma master. Kwa sasa nasoma master of public health (MPH) hapa Muhimbili nategemea kumaliza...
Habari zenu wana JF
Ebwana nilikuwa mada moja muhimu kuhusu Universities za Tanzania. Wanafunzi wengi wamekuwa wakicopy ( plagiarism) kutoka kwenye vitabu au article mbalimbali wakati...
Tanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.
Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku...
Kwema wana JF,
Nataka kujua hivi waliomaliza form 6 kama private candidate kuna uwezekano wa kuchaguliwa kwenda JKT,au wanachukua wa shule za serikali tu?
Naomba msaada wa kujua kiwango cha mshahara wa mkufunzi wa chuo cha ualimu kwa mtu wa kiwango cha shahada jamani hasa waalimu wapya waliopangiwa kazi mwaka huu
Nimeambiwa ni kozi nzuri na inapatikana mzumbe.
Napenda kufahamu juu ya upatikanaji wa ajira na mishahara kama unafahamu.
Nb:[emoji120] naomba tu mnijibu kistaarabu najua tuna hasira na mambo mengi.
Je, Hili jina la scholarship ni sahihi?
Je, Marais wengine walipewa majina kwenye mkopo ambao fedha ni za walipa kodi?
Je, nani alaumiwe, kama kuna lawama, kwa kila kitu kukiita ch aRais hata kama...
Wakuu Naomba kuuliza kama Kwenye account yako ya sipa kuna allocation ya meals and accommodation pamoja na tuition fee!
Ila hakuna disbursement wala check number.
Na hujapata message ya boom...
NDUGU Mwana CHUO* Usomapo Usisahau kutafuta connection kutoka nje. Ili ujue Baada ya kumaliza chuo utafanya kazi gani.
Chuo kuna TIMETABLE LAKINI Haijasema uwe Unaenda chuo kila Dakika. Au Haina...
Utangulizi
Katika ulimwengu wa elimu ya juu, umuhimu wa kuwasilisha kazi za kitaaluma zisizo na plagiarism hauwezi kupuuzwa. Plagiarism si tu kosa la kimaadili bali pia linaweza kuathiri vibaya...
Utangulizi
Wanafunzi wa postgraduate mara nyingi wanakabiliwa na kazi nyingi za kitaaluma, ikiwa ni pamoja na assignments ngumu zinazohitaji utafiti wa kina na uwasilishaji wa maudhui ya kipekee...
Habari zenu wakuu?
Nina mwanangu amemalz o-level na amepangwa Mining Engeneering na TAMISEMI lakini yeye hataki anataka asome Computer Engeneering.
Je, nimuache asome anachoktaka ama aend 2 huko...
Mnamo tarehe 28 Septemba bodi ya mikopo HESLB ilianza kutangaza waliopangiwa mkopo awamu ya kwanza yenye wanafunzi 21,509 wa mwaka wa kwanza kwa mwaka wa masomo 2024/2025.
Kadhalika Bodi ya...
Serikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu.
Mdogo wangu form four...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.