Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Serikali inawapangia wanaomaliza form four kwenda kusoma diploma either ya nursing, clinical officer, pharmaceutical science, tena wanahitaji Mwanafunzi awe na D 4 tu. Mdogo wangu form four...
10 Reactions
94 Replies
6K Views
Habari zenu wana JF mimi ni mgeni humu, na nilikua naomba mnisaidie japo ushauri. Nina mjomba wangu .amemaliza kidato cha nne mwaka huu na nikimuuliza kuhusu ndoto zake na kitu anachopenda...
1 Reactions
9 Replies
857 Views
Wanafunzi wa shahada mwaka wa kwanza 30,311 Wanufaika 2,157 mikopo ya ‘Diploma’ Wanafunzi 588 kunufaika na ‘Samia Scholarship’ TZS 99.7 bilioni kutumika kuwagharimia mikopo, ruzuku TZS 2.9...
2 Reactions
102 Replies
12K Views
Wakuu, Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu. Naomba kuuliza Kwa anaefahamu majina ya waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya veta January 2021 lini yatatoka? Maana tuliambiwa tarehe 1/12/2020...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bila elimu kuna sehemu huwezi ukafika, hii kauli huwa ina maana gani?
1 Reactions
2 Replies
410 Views
Kuna chuo kinaitwa Ebonite cha Kimara Bucha kinatoa Diploma ya Ualimu kwa Kiswahili. Hii diploma ni halali na nikitaka kuthibitisha uhalali wake nafanyaje!?
1 Reactions
2 Replies
622 Views
Anonymous
Mimi ni Mwanafunzi nimehitimu katika Chuo cha Mipango Dodoma Mwaka 2024, changamoto tuliyoipata ni kwamba baada ya Serikali kutuongezea hela ya ada Wanafunzi tuliyokuwa tumeshalipa hatujarudishiwa...
0 Reactions
6 Replies
622 Views
Wizara ya Elimu imelitataja somo la Hisabati kama ni Janga la Taifa Tuanzie hapa, najua kuna wakali wa hesabu humu Jamii Forum Tuanzie hapa kutoa msaada wa bure(Tuisheni) ya Hisabati kwa...
4 Reactions
47 Replies
6K Views
Hallow wana jamvi kwa wale ambao wamechaguliwa kuja kuwa student teachers kama mimi na wale wote wanahtaji kufahamu kuhusu chuo hiki cha Dar Es Salaam University College Of Education(DUCE)...
1 Reactions
79 Replies
13K Views
Ndugu yangu anatakiwa kuverify cheti TCU alisoma nje miaka kadhaa nyuma, nchi na chuo vinajuliakana na wamesoma wengi tu huko. Amewasilisha vitu vyote vinavyohitajika anasubiri wampe majibu. Sasa...
0 Reactions
6 Replies
973 Views
Anonymous
Sisi Wanafunzi wa St. John's University of Tanzania cha Dodoma tunakidai chuo hela ambazo tulilipa kabla hatujalipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), tumeandika barua nyingi sana kuomba...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani naomba kuuliza! wanafunzi waliomaliza kidato cha nne 2023, lini majina ya kujiunga kidato cha tano yatatoka? Necta au wawakilishi wao watuambie lini?
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Samahan wadau naomben kwa yoyote aliosoma physics a level aniorodheshe subtopic zinasotakiwa kusomwa katika topic ya mechanics kutokana na. Syllabus ya tanzania. Na pia anaejua wapi naweza patia...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kitabu nilichotumia A level Physics ni hiki hapa, na tulikimaliza chote ndani ya miaka miwili. Ninatafuta kitabu cha Physics A level kinachotumiwa leo sijafanikiwa kukipata; mwenye kopi yake...
2 Reactions
3 Replies
918 Views
Niende moja kwa moja kwenye mada kutokana na uwepo wa degree nyingi mtaani bora kuwe na mfumo mpya wa elimu kutokana na kanda husika kutoka primary hadi high level. Kwa mfano watu wa Mwanza...
0 Reactions
0 Replies
331 Views
Wadau habari zenu, Leo nimeona bodi ya mikopo wametoa taarifa lakini ghafla wakaifuta katika mitandao yao ya kijamii, je bado majibu ya appeal hayajatoka rasmi? Naomba tutumie uzi huu kupeana...
0 Reactions
9 Replies
571 Views
Eti waungwana mtu ambaye amesoma course ya community development ni wizara gani anaweza pata kazi.
1 Reactions
17 Replies
8K Views
TAARIFA YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WALIOKATA RUFAA WANAFUNZI 4,676 WAPANGIWA MIKOPO YENYE THAMANI YA TZS 15.5 BILIONI Mfuko wa Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) umetangaza kukamilika kwa upangaji wa...
3 Reactions
1 Replies
582 Views
Hamza Salum ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya amebuni mfumo wa kulinda mitihani ambao unatajwa kuleta tija katika kukabiliana na wizi na...
4 Reactions
12 Replies
778 Views
Mbona kama selection ya form one 2025 imechelewa kiasi hiki? Tatizo nini? Leo tarehe 3 December bado kimya na mwezi ujao ndo January!
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Back
Top Bottom