Kusomesha Watoto English Medium za Walimu wa Kitanzania ni Kupoteza Pesa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,116
49,840
Tanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.

Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku ataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako.

Kama umeamua kusomesha mtoto kwenye hizo shule ambapo wengi wa wazazi wanalenga mtoto ajue lugha basi aende kwenye shule Zenye walimu wa kigeni kama Waganda, Kenya au Zimbabwe au Zambia nk vinginevyo utapata hasara mara mbili.
 
Mbona hiyo inafahamika Kwa familia zilizoenda shule.
Ila wengine wanapeleka Kwa sababu zinaangalau. Lakini hawategemei makubwa kwenye suala la Watoto kuzungumza kingereza kilichonyooka
Sasa Bora tuu wabakie kwenye shule za Serikali za English Medium maana Zina nafuu ya gharama kulingana na Kingereza Cha Mchongo watakachpata 😁😁
 
Watoto wanaongea kiingereza kibovu kama walimu wao. Walimu wenyewe ni hawa hawa wenye diploma flat za hapapa bongo kiingereza kinawapa shida kuongea fluentlly, watawezaje kufundisha watoto? Hizo diploma za kufundishia wanazijua wenyewe tu kwa kufauli mtihani na kupewa cheti ila kichwani ni watupu
 
Sio kweli, nimebahatika kusoma na baadhi waliotoka hizo shule.

Kiukweli wapo vizuri hasa wale walioanza tangu primary.

hawa watoto huwa wanajiamini sana mashuleni na uwezo mzuri wa kuongea mbele ya umati kwa kiingereza kizuri.
Ahahahah..ni kwel sometimes..mimi mwanangu nimepeleka hiz shule za kingereza cha profesa Mruma "the ..the...the...this...that" hata huwaga sitegemei makubwa kama alibyosema hapo juu Robert Heriel Mtibeli , sema huwa naona angalau mtoto akasome kwenye less population..So kuna vitu tuu huwa niko concerned navyo na zaid ile general undestanding .

Ila juzi kat nilishtuka kidogo kanisani kulikua na event ya watoto ambapo hupewa nafasi ya kuhubir ,sasa wa kwangu kumbe akapewa nafasi ya preach na aka preach kwa kiingereza, doooh!!!! Nilishangazwa sana sana...she did wonders. So hiv vishule ni vya hovyo ila mtoto akijengewa utulivu huondoka na kitu
 
Ahahahah..ni kwel sometimes..mimi mwanangu nimepeleka hiz shule za kingereza cha profesa Mruma "the ..the...the...this...that" hata huwaga sitegemei makubwa kama alibyosema hapo juu Robert Heriel Mtibeli , sema huwa naona angalau mtoto akasome kwenye less population..So kuna vitu tuu huwa niko concerned navyo na zaid ile general undestanding .

Ila juzi kat nilishtuka kidogo kanisani kulikua na event ya watoto ambapo hupewa nafasi ya kuhubir ,sasa wa kwangu kumbe akapewa nafasi ya preach na aka preach kwa kiingereza, doooh!!!! Nilishangazwa sana sana...she did wonders. So hiv vishule ni vya hovyo ila mtoto akijengewa utulivu huondoka na kitu
Kama ni WA kike Huwa ni wepesi kwenye Kingereza Kuna namna wanalielewa kuliko wanaume
 
Tanzania Ina shida kubwa ya Walimu mahiri wa Kingereza.

Sasa kusomesha Watoto kwenye shule za English Medium za Kibongo ambazo walimu ndio hao wa 'the' nk ni kupoteza pesa maana mwisho wa siku ataishia kuwa kama kina Mruma au Ndalichako.

Kama umeamua kusomesha mtoto kwenye hizo shule ambapo wengi wa wazazi wanalenga mtoto ajue lugha basi aende kwenye shule Zenye walimu wa kigeni kama Waganda,Kenya au Zimbabwe au Zambia nk vinginevyo utapata hasara mara mbili.

Hivi kina kina Mruma au Ndalichako walisoma English medium gani!?
 
Mleta
Sio kweli, nimebahatika kusoma na baadhi waliotoka hizo shule.

Kiukweli wapo vizuri hasa wale walioanza tangu primary.

hawa watoto huwa wanajiamini sana mashuleni na uwezo mzuri wa kuongea mbele ya umati kwa kiingereza kizuri.
Mleta mada shule English medium za wakimu watanzania moto wa kuotea mbali

Vitoto vidogo vya chekechea vinaongea kingereza kimenyooka hadi basi

Uganda mfano kingereza chao kibovu mno hawajui kufundisha mtoto matamshi vizuri

Kiganda chao kimewaathiri mno hasa kwenye matamshi kwenye kiingereza cha kuongea

Walimu.wa kitanzania huweka mkazo sana kwenye lugha kuongea kwa matamshi sahihi ambayo msikilizaji lazima aelewe asilimia 100
 
Back
Top Bottom