Je, kwa sasa ni kitu gani kipya cha maana wanasoma pale UDSM?

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Declaration of interest, Sijasoma undergraduate Udsm, Nimeishi pale kwa miaka kadhaa miaka ya mwishoni mwa 1987 mpaka Mwanzoni mwa miaka ya 1997 sio permanent bali kwa kuingia na kutoka tu, Mara nyingi tuliingia kuhitaji Data na study za wazungu fulani pale walikuwa walimu toka nje

Off Topic kidogo:

Enzi hizo kulikuwa na faculties tu yaani vitivo, Watu wote waliokuwa wanajihusisha na masomo ya sanaa iwe Profesa au Wanafunzi waliitwa Penguin au Mangwini na walidharaulika sana

Nilijisemea moyoni wakati ule mwanangu hata soma mambo ya sanaa na hata soma Udsm

Yaliyokuwa mazuri wakati huo na chuo kiliitwa chuo kweli, Hakukuwa na mambo ya sasa ya semister uchwara

1.Midaharo ilikuwa inawaka moto pale Nkurumah Hall kuanzia ya Multi party system inavyoingia, Hoja kwa hoja, Ilikuwa ni mnyukano na mapambano makali sana ya hoja kwa wakati huo, Kwa sasa midahalo yao naona wanasifia tu kupitia Tv

Yasiofaa na ambayo yanaendelezwa
1.Watoto wanasoma nadharia tu, Hakuna tofauti ya Mwanafunzi wa sociolojia au Political science akimaliza chuo na Form four au Darasa la saba

2.Engineering ni kama pambo tu pale udsm kama mapambio mengine, Sikuwahi ona Practical yeyote ya maana zaidi ya zile project wakati wa kumaliza chuo nazo ni copy and Paste

3.Madarasa mengi walijaa wachaga na wahaya na wanyakyusa pia, Cha kushangaza na kujiuliza walimu wengi enzi hizo walikuwa wahaya, Makabila mengine watu walihesabika

Je kwa sasa ni kitu gani kipya cha maana wanasoma pale udsm?
 
Naungana nawe unaposema elimu ya sasa ipo kinadharia zaidi, na bahati mbaya hiyo nadharia iko limited, haipo kwenye wide range itakayomfanya mwanafunzi apekue material tofauti toka kwenye vitabu tofauti ili aongeze ujuzi.

Nadharia ya siku hizi ni kusoma kwa kukariri madesa ili kufaulu mitihani, hii ndio inawafanya wengi wasiwe na uwezo wa kuchambua mada tofauti kwenye jamii iliyowazunguka. Hawa nao ni wasomi waliojaa kwenye hili taifa kwa wakati huu.

Mfano wake ndio utauona hata huku jf, pale mtu anapokuja na tuhuma bila uthibitisho wowote, kwake anaamini kwa kuandika tuhuma pekee kutamfanya aaminiwe na jamii kuhusu yule anayemtuhumu, kumbe hali haipo hivyo. au hoja kujibiwa kwa matusi.
 
Declaration of interest, Sijasoma undergraduate Udsm, Nimeishi pale kwa miaka kadhaa miaka ya mwishoni mwa 1987 mpaka Mwanzoni mwa miaka ya 1997 sio permanent bali kwa kuingia na kutoka tu, Mara nyingi tuliingia kuhitaji Data na study za wazungu fulani pale walikuwa walimu toka nje

Off Topic kidogo:

Enzi hizo kulikuwa na faculties tu yaani vitivo, Watu wote waliokuwa wanajihusisha na masomo ya sanaa iwe Profesa au Wanafunzi waliitwa Penguin au Mangwini na walidharaulika sana

Nilijisemea moyoni wakati ule mwanangu hata soma mambo ya sanaa na hata soma Udsm

Yaliyokuwa mazuri wakati huo na chuo kiliitwa chuo kweli, Hakukuwa na mambo ya sasa ya semister uchwara

1.Midaharo ilikuwa inawaka moto pale Nkurumah Hall kuanzia ya Multi party system inavyoingia, Hoja kwa hoja, Ilikuwa ni mnyukano na mapambano makali sana ya hoja kwa wakati huo, Kwa sasa midahalo yao naona wanasifia tu kupitia Tv

Yasiofaa na ambayo yanaendelezwa
1.Watoto wanasoma nadharia tu, Hakuna tofauti ya Mwanafunzi wa sociolojia au Political science akimaliza chuo na Form four au Darasa la saba

2.Engineering ni kama pambo tu pale udsm kama mapambio mengine, Sikuwahi ona Practical yeyote ya maana zaidi ya zile project wakati wa kumaliza chuo nazo ni copy and Paste

3.Madarasa mengi walijaa wachaga na wahaya na wanyakyusa pia, Cha kushangaza na kujiuliza walimu wengi enzi hizo walikuwa wahaya, Makabila mengine watu walihesabika

Je kwa sasa ni kitu gani kipya cha maana wanasoma pale udsm?
Ulikuwa unapita tu..halafu unataka kujadili ubora wa elimu,
 
Declaration of interest, Sijasoma undergraduate Udsm, Nimeishi pale kwa miaka kadhaa miaka ya mwishoni mwa 1987 mpaka Mwanzoni mwa miaka ya 1997 sio permanent bali kwa kuingia na kutoka tu, Mara nyingi tuliingia kuhitaji Data na study za wazungu fulani pale walikuwa walimu toka nje

Off Topic kidogo:

Enzi hizo kulikuwa na faculties tu yaani vitivo, Watu wote waliokuwa wanajihusisha na masomo ya sanaa iwe Profesa au Wanafunzi waliitwa Penguin au Mangwini na walidharaulika sana

Nilijisemea moyoni wakati ule mwanangu hata soma mambo ya sanaa na hata soma Udsm

Yaliyokuwa mazuri wakati huo na chuo kiliitwa chuo kweli, Hakukuwa na mambo ya sasa ya semister uchwara

1.Midaharo ilikuwa inawaka moto pale Nkurumah Hall kuanzia ya Multi party system inavyoingia, Hoja kwa hoja, Ilikuwa ni mnyukano na mapambano makali sana ya hoja kwa wakati huo, Kwa sasa midahalo yao naona wanasifia tu kupitia Tv

Yasiofaa na ambayo yanaendelezwa
1.Watoto wanasoma nadharia tu, Hakuna tofauti ya Mwanafunzi wa sociolojia au Political science akimaliza chuo na Form four au Darasa la saba

2.Engineering ni kama pambo tu pale udsm kama mapambio mengine, Sikuwahi ona Practical yeyote ya maana zaidi ya zile project wakati wa kumaliza chuo nazo ni copy and Paste

3.Madarasa mengi walijaa wachaga na wahaya na wanyakyusa pia, Cha kushangaza na kujiuliza walimu wengi enzi hizo walikuwa wahaya, Makabila mengine watu walihesabika

Je kwa sasa ni kitu gani kipya cha maana wanasoma pale udsm?
Uliyozungungumza UDSM ya mwaka 1987 hadi 1997 nadhani ni ya kwako ya kufikirika tu na sijui ulikuwa unatafuta data gani halafu ukaona kuwa Engineering inafundisha nadharia tu wakati kipindi unachozungumzia ndicho Engineering ilipokuwa juu sana ikiwa inafundishwa na nusu expatriates (waswisi, wajerumani na wa mataifa mengine) na ile nusu ya pili ni waalimu wa kitanzania waliopikwa na hao expatriates wa kijerumani au waliopikika nje kama akina Mwandosya, Mneney, Luhanga, Mkolela, Masuha, Lwakabamba,Mawenya na wengine wakali wa namna hiyo. Wakati huo chuo kilikiwa kirun kwa mfumo wa term mbili za wiki kumi kumi, na ile ya tatu ikiwa na wiki 12 kwa sababu ya University exams, baada ya hapo wanafunzi wote wa engineering walikuwa wanakwenda kwenye practical training ya miezi miwili. Ulitembelea UDSM gani ya muongo unaosema ambapo engineering ilikuwa haina practical training. Makampuni mengi ya Consultancy yaliyokuwa Tanzania yalikuwa yanaitumia sana FoE halafu wewe unakuja na hadithi za alinacha hapa.

Declaration of Interest: Mimi nilisoma UDSM kuanzia 1983 hadi 1987 na baadaye kufundisha pale kama Tutorial Assistant, Assistant Lecturer na kuondoka mwanazoni mwa miaka ya tisini nikiwa Lecturer. Ninaijua Engineering ya UDSM hiyo kutoka pande zote mbili za mwalimu na mwanafunzi, na najivunia elimu niliyopata UDSM kwani ndiyo iliyoniweka hapa nilipo. Kama unazungumza UDSM ya leo, usijaribu ku-prorate na UDSM asilia na kutoa hitimisho la jumla ambalo siyo correct. Ninajua kuwa miaka ya Mkapa au ya Kikwete serikali ilipunguza bajeti ya chuo na hivyo kufanya elimu ya practical training ipunguzwe kwani lile Boom ambalo wanafunzi walikuwa wanapewa kujikimu wanapokuwa kwenye practical training likawa halipo tena.

Halafu utani wa vyuoni kati ya taaluma moja na nyingine siyo kudharauliana. Neno Nguin lilitokana na Penguin ambayo ilikuwa kampuni maarufu iliyopublish vitabu vingi vilivyokuwa vinatumiwa sana na watu wa Literature, siyo kuwa ilikuwa ni dharau dhidi ya fani ya Sanaa. Kulikuwa na wanafunzi wanaitwa Vets, na wengine wakiitwa Chua Kachara; siyo kuwa kulikuwa na kudharauliana bali ni lugha za kichuo tu , na wanafunzi wenyewe walikuwa wanaelewana kwa lugha hizo.
 
Uliyozungungumza UDSM ya mwaka 1987 hadi 1997 nadhani ni ya kwako ya kufikirika tu na sijui ulikuwa unatafuta data gani halafu ukaona kuwa Engineering inafundisha nadharia tu wakati kipindi unachozungumzia ndicho Engineering ilipokuwa juua sana ikiwa inafundishwa na nusu expartriates (waswsi, wajerumani na wa mataifa mengine) na ile nusu ya pili ni waalimu wa kitanzania waliopikwa na hao expartriates wa kijerumani. Wakati chuo kikiwa kirun kwa mfumo wa term mbili za wiki kumikumi, na ile ya tatu ikiwa na wiki 12 kwa sababu ya University exams, baada ya hapo wanafunzi wote wa engineering walikuwa wanakwenda kwenye practical training ya miezi miwili. Ulitembelea UDSM gani ya muongo unaosema ambapo engineering ilikuwa haina practical training. Makampuni mengi ya Consultancy yaliyokuwa Tanzania yalikuwa yanaitumia sana FoE halafu wewe unakuja na za alinacha hapa.

Declaration of Interest: Mimi nilisoma UDSM kuanzia 1983 hadi 1987 na baadaye kufundisha pale kama Tutorial Assistant, Assistant Lecturer na kuondoka mwanazoni mwa miaka ya tisini nikiwa Lecturer. Ninaijua Engineering ya UDSM hiyo kutoka pande zote mbili za mwalimu na mwanafunzi, na najivunia elimu niliypata UDSM kwani ndiyo iliyoniweka hapa nilipo. Kama unazungumza UDSM ya leo, usijaribu ku-prorate na UDSM asilia na kutoa hitimisho la jumla ambalo siyo correct. Ninajua kuwa miaka ya Mkapa au ya Kikwete serikali ilipunguza bajeti ya chuo na hivyo kufanya elimu ya practical training ipunguzwe kwani lile Boom ambalo wanafunzi walikuwa wanapewa kujikimu wanapokuwa kwenye practical training likawa halipo tena.

Halafu utani wa vyuoni kati ya taaluma moja na nyingine siyo kudharauliana. Neno Nguin lilitokana na Penguin ambayo ilikuwa kampuni maarufu iliyopublish vitabu vingi vilivyokuwa vinatumiwa sana na watu wa Literature, siyo kuwa ilikuwa ni dharau dhidi ya fani ya Sanaa. Kulikuwa na wanafunzi wanaitwa Vets, na wengine wakiitwa Chua Kachara; siyo kuwa kulikuwa na kudharauliana bali ni lugha za kichuo tu , na wanafunzi wenyewe walikuwa wanaelewna kwa lugha hizo.
Nimekuelewa sana mkuu
 
Kuna vitu ukisoma unaelewa

To make the story shot, udsm hakuna practical nowadays!!
 
Uliyozungungumza UDSM ya mwaka 1987 hadi 1997 nadhani ni ya kwako ya kufikirika tu na sijui ulikuwa unatafuta data gani halafu ukaona kuwa Engineering inafundisha nadharia tu wakati kipindi unachozungumzia ndicho Engineering ilipokuwa juu sana ikiwa inafundishwa na nusu expatriates (waswisi, wajerumani na wa mataifa mengine) na ile nusu ya pili ni waalimu wa kitanzania waliopikwa na hao expatriates wa kijerumani au waliopikika nje kama akina Mwandosya, Mneney, Luhanga, Mkolela, Masuha, Lwakabamba,Mawenya na wengine wakali wa namna hiyo. Wakati huo chuo kilikiwa kirun kwa mfumo wa term mbili za wiki kumi kumi, na ile ya tatu ikiwa na wiki 12 kwa sababu ya University exams, baada ya hapo wanafunzi wote wa engineering walikuwa wanakwenda kwenye practical training ya miezi miwili. Ulitembelea UDSM gani ya muongo unaosema ambapo engineering ilikuwa haina practical training. Makampuni mengi ya Consultancy yaliyokuwa Tanzania yalikuwa yanaitumia sana FoE halafu wewe unakuja na hadithi za alinacha hapa.

Declaration of Interest: Mimi nilisoma UDSM kuanzia 1983 hadi 1987 na baadaye kufundisha pale kama Tutorial Assistant, Assistant Lecturer na kuondoka mwanazoni mwa miaka ya tisini nikiwa Lecturer. Ninaijua Engineering ya UDSM hiyo kutoka pande zote mbili za mwalimu na mwanafunzi, na najivunia elimu niliyopata UDSM kwani ndiyo iliyoniweka hapa nilipo. Kama unazungumza UDSM ya leo, usijaribu ku-prorate na UDSM asilia na kutoa hitimisho la jumla ambalo siyo correct. Ninajua kuwa miaka ya Mkapa au ya Kikwete serikali ilipunguza bajeti ya chuo na hivyo kufanya elimu ya practical training ipunguzwe kwani lile Boom ambalo wanafunzi walikuwa wanapewa kujikimu wanapokuwa kwenye practical training likawa halipo tena.

Halafu utani wa vyuoni kati ya taaluma moja na nyingine siyo kudharauliana. Neno Nguin lilitokana na Penguin ambayo ilikuwa kampuni maarufu iliyopublish vitabu vingi vilivyokuwa vinatumiwa sana na watu wa Literature, siyo kuwa ilikuwa ni dharau dhidi ya fani ya Sanaa. Kulikuwa na wanafunzi wanaitwa Vets, na wengine wakiitwa Chua Kachara; siyo kuwa kulikuwa na kudharauliana bali ni lugha za kichuo tu , na wanafunzi wenyewe walikuwa wanaelewana kwa lugha hizo.
Kwi kwi
Unaongelea ule upuuzi wa pale BICo
Kuna kifaa gani cha maana pale FOE mkuu ambayo sasa ni COeT

Acha utani kiongozi

Mtu wa Mbeya Tech ni bora mara laki moja kuliko wa udsm
 
Kwi kwi
Unaongelea ule upuuzi wa pale BICo
Kuna kifaa gani cha maana pale FOE mkuu ambayo sasa ni COeT

Acha utani kiongozi

Mtu wa Mbeya Tech ni bora mara laki moja kuliko wa udsm
Nimewahi kuishi na kufanya kazi ya kufundisha engineering sehemu mbalimbali duniani kutokana na engineering niliyofundishwa UDSM. Sijakutana na mtanzania yeyote anayefundisha nje ya nchi ambaye si gradute wa UDSM, au ambaye ni graduate wa chuo kingine chochote cha Tanzania. Inawezekana wewe ni kati ya wale wasiojua maana ya fani ya engineering wanadhani kuwa huo ni ufundi kama mafundi mchundo. Ni wale wanaosema: Eti huyo jamaa anaijiita injinia wa UDSM lakini gari ikiharibika hawezi kuitengeneza.
 
Declaration of interest, Sijasoma undergraduate Udsm, Nimeishi pale kwa miaka kadhaa miaka ya mwishoni mwa 1987 mpaka Mwanzoni mwa miaka ya 1997 sio permanent bali kwa kuingia na kutoka tu, Mara nyingi tuliingia kuhitaji Data na study za wazungu fulani pale walikuwa walimu toka nje

Off Topic kidogo:

Enzi hizo kulikuwa na faculties tu yaani vitivo, Watu wote waliokuwa wanajihusisha na masomo ya sanaa iwe Profesa au Wanafunzi waliitwa Penguin au Mangwini na walidharaulika sana

Nilijisemea moyoni wakati ule mwanangu hata soma mambo ya sanaa na hata soma Udsm

Yaliyokuwa mazuri wakati huo na chuo kiliitwa chuo kweli, Hakukuwa na mambo ya sasa ya semister uchwara

1.Midaharo ilikuwa inawaka moto pale Nkurumah Hall kuanzia ya Multi party system inavyoingia, Hoja kwa hoja, Ilikuwa ni mnyukano na mapambano makali sana ya hoja kwa wakati huo, Kwa sasa midahalo yao naona wanasifia tu kupitia Tv

Yasiofaa na ambayo yanaendelezwa
1.Watoto wanasoma nadharia tu, Hakuna tofauti ya Mwanafunzi wa sociolojia au Political science akimaliza chuo na Form four au Darasa la saba

2.Engineering ni kama pambo tu pale udsm kama mapambio mengine, Sikuwahi ona Practical yeyote ya maana zaidi ya zile project wakati wa kumaliza chuo nazo ni copy and Paste

3.Madarasa mengi walijaa wachaga na wahaya na wanyakyusa pia, Cha kushangaza na kujiuliza walimu wengi enzi hizo walikuwa wahaya, Makabila mengine watu walihesabika

Je kwa sasa ni kitu gani kipya cha maana wanasoma pale udsm?
Midaharo mnadharau wasomi huku na nyie kusoma na kuandika hamuwezi???
 
Mleta madaatakuwa katona misomo ya kukariri ya arts

Engineer hawezi soma kwa kukariri ni lazima alelewe

Anaposema Hanoi output za engineers hivi Tanesco lote limejaa mainjinia toka Vyuo vyetu haioni kazi ya Tanesco?

Maghorofa kibao yanajengwa na mainjinia wetu haoni? Kujenga ghorofa sio sawa na msomi wa historia aliyekariri mwaka.wa kuzaliwa Nyerere

Mainjinia wa UDSM wako kila kona ya nchi ni vichwa hasa
 
Acheni umbea. Mliposoma popote inabidi kuongeza na za kwako ili kuleta impact.
Wapo waliosoma vyuo vyenye majina lakini hawana impact. Wapo pia waliosoma kusiko na majina na wana impact kubwa sana kwa jamii.
 
Mleta madaatakuwa katona misomo ya kukariri ya arts

Engineer hawezi soma kwa kukariri ni lazima alelewe

Anaposema Hanoi output za engineers hivi Tanesco lote limejaa mainjinia toka Vyuo vyetu haioni kazi ya Tanesco?

Maghorofa kibao yanajengwa na mainjinia wetu haoni? Kujenga ghorofa sio sawa na msomi wa historia aliyekariri mwaka.wa kuzaliwa Nyerere

Mainjinia wa UDSM wako kila kona ya nchi ni vichwa hasa
Unaongelea wale mafundi wa VETA au?

Uliza Tanesco Wanaofanya kazi na idadi ya walioajiliwa kama wana degree?

Kati ya wafanyakazi 1000 wa Tanesco utakuta engineer ni mmoja tu anakaa ofisini na hajui kitu,
 
Nimewahi kuishi na kufanya kazi ya kufundisha engineering sehemu mbalimbali duniani kutokana na engineering niliyofundishwa UDSM. Sijakutana na mtanzania yeyote anayefundisha nje ya nchi ambaye si gradute wa UDSM, au ambaye ni graduate wa chuo kingine chochote cha Tanzania. Inawezekana wewe ni kati ya wale wasiojua maana ya fani ya engineering wanadhani kuwa huo ni ufundi kama mafundi mchundo. Ni wale wanaosema: Eti huyo jamaa anaijiita injinia wa UDSM lakini gari ikiharibika hawezi kuitengeneza.
Engineer gani? Tangu chuo kianzishwe kuna kitu gani kipya mme innovate hapa Tanzania

Kila kitu tunaagiza
 
Unaongelea wale mafundi wa VETA au?

Uliza Tanesco Wanaofanya kazi na idadi ya walioajiliwa kama wana degree?

Kati ya wafanyakazi 1000 wa Tanesco utakuta engineer ni mmoja tu anakaa ofisini na hajui kitu,
Wasimamizi wao ni engineers huwezi kuachia Veta afanye kazi peke yake wakati hajawa na leseni ya uingineer
 
Poleni mnaoendelea kusoma udsm.

Waswahili husema "lisemwalo lipo kama halipo basi laja".
Huyu si wa kwanza kuibeza elimu ya hiko chuo kwa sasa.
 
Back
Top Bottom