GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Declaration of interest, Sijasoma undergraduate Udsm, Nimeishi pale kwa miaka kadhaa miaka ya mwishoni mwa 1987 mpaka Mwanzoni mwa miaka ya 1997 sio permanent bali kwa kuingia na kutoka tu, Mara nyingi tuliingia kuhitaji Data na study za wazungu fulani pale walikuwa walimu toka nje
Off Topic kidogo:
Enzi hizo kulikuwa na faculties tu yaani vitivo, Watu wote waliokuwa wanajihusisha na masomo ya sanaa iwe Profesa au Wanafunzi waliitwa Penguin au Mangwini na walidharaulika sana
Nilijisemea moyoni wakati ule mwanangu hata soma mambo ya sanaa na hata soma Udsm
Yaliyokuwa mazuri wakati huo na chuo kiliitwa chuo kweli, Hakukuwa na mambo ya sasa ya semister uchwara
1.Midaharo ilikuwa inawaka moto pale Nkurumah Hall kuanzia ya Multi party system inavyoingia, Hoja kwa hoja, Ilikuwa ni mnyukano na mapambano makali sana ya hoja kwa wakati huo, Kwa sasa midahalo yao naona wanasifia tu kupitia Tv
Yasiofaa na ambayo yanaendelezwa
1.Watoto wanasoma nadharia tu, Hakuna tofauti ya Mwanafunzi wa sociolojia au Political science akimaliza chuo na Form four au Darasa la saba
2.Engineering ni kama pambo tu pale udsm kama mapambio mengine, Sikuwahi ona Practical yeyote ya maana zaidi ya zile project wakati wa kumaliza chuo nazo ni copy and Paste
3.Madarasa mengi walijaa wachaga na wahaya na wanyakyusa pia, Cha kushangaza na kujiuliza walimu wengi enzi hizo walikuwa wahaya, Makabila mengine watu walihesabika
Je kwa sasa ni kitu gani kipya cha maana wanasoma pale udsm?
Off Topic kidogo:
Enzi hizo kulikuwa na faculties tu yaani vitivo, Watu wote waliokuwa wanajihusisha na masomo ya sanaa iwe Profesa au Wanafunzi waliitwa Penguin au Mangwini na walidharaulika sana
Nilijisemea moyoni wakati ule mwanangu hata soma mambo ya sanaa na hata soma Udsm
Yaliyokuwa mazuri wakati huo na chuo kiliitwa chuo kweli, Hakukuwa na mambo ya sasa ya semister uchwara
1.Midaharo ilikuwa inawaka moto pale Nkurumah Hall kuanzia ya Multi party system inavyoingia, Hoja kwa hoja, Ilikuwa ni mnyukano na mapambano makali sana ya hoja kwa wakati huo, Kwa sasa midahalo yao naona wanasifia tu kupitia Tv
Yasiofaa na ambayo yanaendelezwa
1.Watoto wanasoma nadharia tu, Hakuna tofauti ya Mwanafunzi wa sociolojia au Political science akimaliza chuo na Form four au Darasa la saba
2.Engineering ni kama pambo tu pale udsm kama mapambio mengine, Sikuwahi ona Practical yeyote ya maana zaidi ya zile project wakati wa kumaliza chuo nazo ni copy and Paste
3.Madarasa mengi walijaa wachaga na wahaya na wanyakyusa pia, Cha kushangaza na kujiuliza walimu wengi enzi hizo walikuwa wahaya, Makabila mengine watu walihesabika
Je kwa sasa ni kitu gani kipya cha maana wanasoma pale udsm?