Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Habari, Msaada jamani juu ya hii kozi ya bachelor degree in project planning and management hivi inahusiana na Nini? Pili soko lake la ajira likoje hapa Tanzania? Ajira zake serikalini zipo au...
0 Reactions
54 Replies
10K Views
Wale mliopotia pugu sec myanielewa Wengine waliitea pond boys Wengine fungus boys Yaani baadaeee BAADA ya mateso ya kujikuna SEHEMU za Siri kunywaa madawaaa kibaokoo Badoo wengine...
0 Reactions
0 Replies
331 Views
Habari zenu wadau wa jukwaa la Elimu Siku ya leo nimeona niwaletee Shule 3 bora za serikali katika mkoa wa Dar es salaam. Kama ndugu au mtoto wako ikitokea amepangiwa shule ya kata na unataka...
11 Reactions
63 Replies
12K Views
Wakuu habarini. Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana, amepata div four 29 Naombeni ushauri anaweza kwenda vyuo vya kati vinavyotoa certificate? Au ni chuo gani kitaendana na ufaulu...
4 Reactions
55 Replies
3K Views
Katika kasi ya mabadiliko ya mtaala niliona shule binafsi kama chachu kwa sababu ya uwezo wa kuweka miundo mbinu kwa ajili ya kuisaidia serikali ila kwa mazingira haya naona giza. Siandike kuweka...
0 Reactions
8 Replies
784 Views
Diploma in operation theatre technology naomba kujua nkitaka kusoma kwa tanzania naenda chuo gani
0 Reactions
1 Replies
446 Views
kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono. kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Mungu ni mwema licha ya ugumu wa mtihani kati wa watahiniwa 23426 basi kwenye 775 waliopita kwa alama kwenda oral interview nipo😭 Naona tunamepata ofa ya siku mbili kujianda kutokana na ugeni...
12 Reactions
35 Replies
2K Views
MASTERING INTERVIEW RESPONSES NATURALLY: A GUIDE FOR SECRETARIATE JOB INTERVIEWS OR ANY PROFFESSIONAL. +255656480968 👉In a professional interview, questions should be clear, measurable, and able...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuuliza Dokta wa mifugo anachukua BVM (BSc in veterinary medicine) Au BSc in animal science????!!! [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]...
0 Reactions
54 Replies
11K Views
Jamani nisaidieni kwa hili ambalo linanitatiza kidogo. Eti wanaosomea udokta mifugo wanapata ajira za haraka na mishahara yao ni mikubwa?
0 Reactions
51 Replies
62K Views
Naomba msaada namna ya kujitoa chama cha waalim Tanzania.
4 Reactions
96 Replies
19K Views
Kuna mdogo wangu ambaye amemaliza form four ana ufaulu wa 1.14. ana penda kusoma nursing, radiology au MD. Je ni bora aende advc au chuo mojakwa moja? Naombeni maoni yenu wakubwa🙏🙏
2 Reactions
13 Replies
1K Views
mimi ni mwanafunzi niliye maliza kidato cha nne mwaka jana nimesoma masomo ya art lakini nahitaji kusomea information technology,je naweza nikasomea ikiwa mimi ni mwana arts
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Wazazi wamestuka, Vijana wametuka, zama zimebadilika, Kwa upepo ulivyo Advance inaenda kupoteza thamani yake, yaweza kugeuka kuwa kapu la taka kwa wanafunzi wanaokosa vyuo. watu wamepima mzani...
1 Reactions
3 Replies
687 Views
Anonymous
Naomba mamlaka zinazoshughulika na elimu kuanzia Afisa elimu jiji LA Dar es salaam, Afisa elimu mkoa wa Dar es salaam na Waziri wa elimu, mtupatie majibu sahihi ya hiki kinachofanyika Dar es...
0 Reactions
2 Replies
479 Views
Wadau naomba msaada wenu wa kujua tofauti kati ya higher diploma na advance diploma maana hapo awali sikuwahi kusikia kitu kinaitwa higher diploma hapa Tanzania bali advance diploma. Natanguliza...
0 Reactions
19 Replies
51K Views
Dunia imeamia kwenye Technology na digital transformation. Hata kwa upande wa Afya tujiandae. Sehemu ambayo tulikuwa tunahitaji 10 doctors tutahitaji only two, 15 nurses tutahitaji only 5 , 10...
28 Reactions
119 Replies
5K Views
Naombeni msaada wa kupewa ushauri Binti yangu kamaliza mwaka jana form four; matokeo yake yametoka mwaka huu, kapata Divion one ya point 9 Matokeo ya masomo yake MATH A, BIOLOGY A ENGLISH A...
3 Reactions
16 Replies
828 Views
Back
Top Bottom