Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
Tangu mahafali ya Chuo Kikuu Mzumbe (ndaki kuu) ifanyike tarehe 24/11/2024 mpaka leo tarehe 17/12/2024 chuo kimeshindwa kuwapatia wahitimu vyeti vyao na kila tunapofuatilia majibu yamekuwa...
2 Reactions
3 Replies
605 Views
Chuo cha CBE kimezuia wanafunzi kufanya mtihani wa mwisho kwa sababu hawana bima. Hii haipo sawa kwani hawajaweka utaratibu sahihi wa kupata hizo BIMA naomba waruhusu wanafunzi tufanye mitihani...
0 Reactions
1 Replies
408 Views
Binafsi naona tunaishi kwenye Nchi ambacho hata ukiulizwa utaje shule zilizoko wilaya uliyotoka huwezi kuzijua; Nashauri; Kuwe na ukurasa (Data base) ukiingia unapata Shule zote kwa kila mkoa na...
2 Reactions
3 Replies
438 Views
Eti wadau huyu ataajiriwa kweli au aendelee na mambo mengne?
3 Reactions
58 Replies
8K Views
Anonymous
SUALA LA VYETI. Utaratibu ambao umewekwa na vyuo vya kati na sera zao unatakiwa kuchunguzwa na kufanyiwa maboresho, hasa VETA. Haiwezekani mtu amalize chuo na matokeo yatoke halafu akae mwaka...
1 Reactions
0 Replies
223 Views
Anonymous
Shida kama haikupati hutaona ukubwa wake. Loan board hawatoi fedha za kujikimu kwa wakati. Wazazi wakishaona tumepata mkopo unakuwa umewatua mzigo na wanajitoa kwenye kukupatia fedha za...
2 Reactions
5 Replies
620 Views
Maisha ya chuo/college yanahitaji kujipanga ili kukabiliana na changamoto, kama wahenga wanavyosema changamoto ni kipimo cha akili. Miongoni mwa changamoto hizo ni chakula na...
6 Reactions
6 Replies
891 Views
Wakuu wasalaam. Mimi ni mwalimu idara msingi mwaka wa 5 huu kazini. Kutokana na changamoto za kazi yetu hii nimewaza kujiendeleza kwani sihitaji kubaki hapa nilipo. Niliwaza kwenda ngazi ya...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Tunawaona wahitimu wengi sana wakibaki majumbani au kwenda kwa dada zao walioolewa baada ya kuhitimu. Speaking from experience vijana wengi baada ya kumaliza chuo huanza kuomba ajira bila...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Habari wanajamiiforum naomba kujua kwa aliye fuatilia alison online couse,faida yake kwa hapa Tanzania niipi? https://alison.com/
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ushauri wa hizi kozi tatu za kusomea wadogo zetu Waliopata DD Tano FORM FOUR ipi ina uwanda mpanda Na vitu gan vya msingi aandae mapema akitaka kuomba Kuanza Kusomea CERTIFICATE 1.HUMAN...
4 Reactions
5 Replies
569 Views
Habari wanaJF. Naomba kujua hivi proposal presentation inakuwaga na marks ngapi kiujumla? au marks huwa zinawekwa kwenye dissertation kwa ujumla na sio proposal peke yake, namaanisha marks...
1 Reactions
9 Replies
713 Views
Kwa yeyote aliye mwalimu au mwenye kujua kuhusu mikopo kwa waalimu naomba kuuliza... Je, inawezekana kukopeshwa pesa ndefu(about 60M-80M) kutoka benki(kwa udhamini wa mwajiri na mshahara ) ikiwa...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Wadau habari za majukumu ya kila siku? samahani napenda sana kusoma online hasa kwenye website mbalimbali lakini sasa nataka nianze kusoma course zinazotolewa na free websites kwa ajili ya kujinoa...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji kurudia mitihani ya kidato cha nne katika michepuo ya sanyansi. Naombeni msaada wapi nitapata walimu wazuri.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu katika kuongeza thamani . Nimefikiria nisome short course ya office management. Sasa wadau nauliza je nitaweza kupat Website gani ambayo nitasoma bure na kupata Cheti naomba ufafanuzi wakuu.
3 Reactions
22 Replies
1K Views
habari zenu wakuu, naomba ufahamu kuhusu hizi diploma, 1. tofauti ya ordinary diploma, advanced diploma na post graduate diploma ni ipi? 2. mtu mwenye ordinary diploma yupo eligible kusoma post...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Hawa watu wanaosoma degree ya Political Science katika vyuo vya hapa Tanzania huwa wanaajiriwa wapi? Ni kazi gani mahususi ambazo zinahataji waliosomea political science tu? Hii degree naona...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu Kwa jinsi nilivyokua baada ya form four na vile nilivyokua baada ya form six ni tofauti mno. Na vile nilivyowakuta diploma wakutoka form four wanavyokariri. Mimi naomba ni washauri kama...
13 Reactions
104 Replies
7K Views
Nimepata division 2 .20 nataka nisome CBG AU EGM NINA CCC KWENYE CBG HALAFU NINA CD KWENYE EGM VIP HAPA NITATOBOA KWELI?
0 Reactions
2 Replies
453 Views
Back
Top Bottom