Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Nimechaguliwa kusoma chuo nchini China kiitwacho Tianjin University na course niliyochaguliwa ni Mechanical Engineering and Automation ila wameniambia inafundishwa kwa Kichina na inabidi nisome...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Lengo la Mkutano huu ni Waafrika Millioni 300 wakiwemo Watanzania Millioni 8.3 kupata umeme ifikapo mwaka 2030. Tazama Live Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy...
0 Reactions
2 Replies
428 Views
Mimi mdogo wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni kama ifuatavyo Phy D math D chemia C Biology C. Huo ndio ufaul wang na Nia yangu ilikuwa ni kwenda chuo nikasomee...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Amani ya Mungu iwe nawe. Naomba kufahamishwa sifa ya kujiunga na chuo kinachofundisha Plant Mechanics pia vinapatikana mikoa gani kwa hapa Tanzania. Asante.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naombeni mnitajie masomo wanayosoma wanafunzi wa mechanical engineering diploma.
0 Reactions
44 Replies
12K Views
Naomba kuwasilisha kero yangu hii kwa viongozi wa sekta ya elimu Tanzania. Kwa miaka kadhaa kumekuwa na tabia ya watungaji wa mitihani ya Kidato cha Nne hasa kwa masomo ya sanaa, kutumia lugha...
2 Reactions
9 Replies
687 Views
Anonymous
Serikali ina haja ya kutazama mpya juu ya suala la mtaala ulioboreshwa wa kidato cha kwanza 2025, kwa hakika mtaala huo haukidhi vigezo kwa mtoto wa kidato husika kwa sababu baadhi ya mada mfano...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
"Mwalimu, nadhani ni muhimu sana elimu ya maadili kufundishwa kwa wanafunzi mara tu wanaporipoti vyuoni. Hii ni kwa sababu inawasaidia kujenga msingi bora wa tabia, kufanya maamuzi ya kimaadili...
1 Reactions
0 Replies
290 Views
Deleted member 486990
Mimi ni mhitimu wa BACHELOR OF SCIENCE IN ECONOMICS AND FINANCE, SINA MPANGO WA KUAJIRIWA NATAKA KUENDELEA KUFANYA MAMBO YANGU (INVESTING) HUKU NASOMA. Mambo yangu niliyaanza tokea nipo form 4...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Musaada kwa mwenye ufahamu au kasoma chuo Cha Cavendish university Uganda. Nataka kuanza masomo hapo jan2025
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Tunatafuta mwalimu wa awali - Chekechea - salasala area 0717457679
0 Reactions
0 Replies
261 Views
Chuo Cha Duce ( Dar es salaam University College of Education) Department ya fedha inawasumbua wanafunzi wanaodai refund. Refund hyo ni pesa ambazo wanafunzi wanapaswa kurudishiwa baada ya wao...
0 Reactions
4 Replies
780 Views
Habari zenu wana jamii forums? Hususani jukwaaa hili la stories of change Nitumaini langu nyote ni wazima. Andiko hili litaangazia maisha ya vijana wahitimu vyuo waliotegemea kuajiriwa na hali...
6 Reactions
7 Replies
4K Views
Mimi ni mmoja wa wahanga waliohudhuria usaili wa somo fulani mkoa wa Kilimanjaro ambapo watahiniwa walikuwa zaidi ya 500 Usimamizi ni imara na mkali sana dhahiri jambo hili lipo makini. Ila cha...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Wizara ya elimu imekua inasisitiza kuwa mitihani ya siku hizi inapima uelewa zaidi kuliko kukariri. Na necta nao wakitoa matokeo watoto wamefaulu na division 1 za hatari kuliko zamani. Sasa kama...
1 Reactions
6 Replies
614 Views
Wakuu degree bongo hii degree zinatumika Kwa ufasaha ni mbili tu. Ya udokta na uwalimu hizo nyingine ni kanyaga twende tu yaani Zinakuwa kama useless.
26 Reactions
215 Replies
10K Views
Huu Mtaala mpya unaohusu Watoto kuishia Darasa la Sita hakuna vitabu hata kimoja mpaka leo tangu Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda alipotangaza juu ya mabadiliko hayo. Kila tukiuliza wanasema...
1 Reactions
1 Replies
648 Views
Habari waungwana. Samahani wapendwa naomba mnisaidie binti yangu amepata Division IV ya point 27. Kwa ufaulu huu Civics D, His F, Eng D, Chem D Biol C Kisw C Marh F Mtoto anapenda kusomea...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Kijana wangu wa kike amepata ufaulu ufuatao wa kidatu cha nne, CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'D' Dv 3 ya 23 je anaweza kuchaguliwa...
3 Reactions
17 Replies
931 Views
Back
Top Bottom