wastani kwa idadi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 503
- 1,429
Wazazi wamestuka, Vijana wametuka, zama zimebadilika,
Kwa upepo ulivyo Advance inaenda kupoteza thamani yake, yaweza kugeuka kuwa kapu la taka kwa wanafunzi wanaokosa vyuo.
watu wamepima mzani wa kwenda advance na kwenda chuoni kwa mazingira ya Tanzania ya sasa wamena kwenda advance kuna advantage zaidi hasa kwenye kupanua wigo wa ajira, hivyo wazazi wanahakikisha wanafanya kila namba kuongeza chances kwa watoto.
Kuna wanafunzi na wazazi wa wanafunzi waliomaliza form 4 wenye 1 na 2 zao wamekuwa wakiniomba ushauri wa kozi za kusomea na vyuo vya kusomea, hali hii imenistua maana vyuo havijaanza hata kudahili, ni mapema sana,
Vyuo vipo vichache sana na kuna demand kubwa sana, imegeuka kuwa gombania goli, kuna harufu kali ya rushwa
Kwa upepo ulivyo Advance inaenda kupoteza thamani yake, yaweza kugeuka kuwa kapu la taka kwa wanafunzi wanaokosa vyuo.
watu wamepima mzani wa kwenda advance na kwenda chuoni kwa mazingira ya Tanzania ya sasa wamena kwenda advance kuna advantage zaidi hasa kwenye kupanua wigo wa ajira, hivyo wazazi wanahakikisha wanafanya kila namba kuongeza chances kwa watoto.
Kuna wanafunzi na wazazi wa wanafunzi waliomaliza form 4 wenye 1 na 2 zao wamekuwa wakiniomba ushauri wa kozi za kusomea na vyuo vya kusomea, hali hii imenistua maana vyuo havijaanza hata kudahili, ni mapema sana,
Vyuo vipo vichache sana na kuna demand kubwa sana, imegeuka kuwa gombania goli, kuna harufu kali ya rushwa