Kijana anataka kuwa vet (daktari wa wanyama) anataka kusoma bachelor of agriculture science halafu mwaka wa tatu achague livestock production, je baada ya hapo anaweza kutambuliwa kama daktari wa...
Niliposikia D.I.T wamefungua tawi la Mwanza nikaona kile kilio cha watu wa kanda ya ziwa kukosa chuo cha sayansi kwa muda mrefu kimejibiwa.
Nilitegemea kuzikuta zile kozi kuu kama Telecoms, Civi...
Mnasoma kutumia magroup study. Mnatafuta material kupitia Ai. Huu ninuzembe na na hakuna mtakacho kipata uelewa wenu bado unakuwa ni mdogo sana.
Fuateni uashauri wa Prof wa kujisomea kwanza na...
Habari wenzangu 🙏
Naomba ushauri wenu.
Nataka nikasome Bachelor of Information Studies na mwezi wa 10 naanza.
Je yupo aliyesoma kozi hii? Experience yake vipi?
1. Mnaajiriwa wapi kwa sasa?
2...
Wakuu,
Kuna ndugu yangu wangu la 7 ndo anarudi shule leo karudi saa 1 usiku. Muda wa kutoka shule ni saa 10 lakini hawa la 7 wanakalishwa hadi saa 1 usiku
Nilivyouliza kwanini wanabaki hadi...
Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo amesema Mtaala ulioboreshwa ulioanza kutekelezwa Januari 2024 una ulinganifu wa viwango vya kimataifa, hivyo kuwataka walimu...
Shule ya Sekondari Morogoro (Kidato cha Tano na Sita) inakabiliwa na changamoto ya uhaba wa mabweni kutokana na ongezeko la idadi ya wanafunzi.
Baadhi ya wanafunzi wanalazimika kulala chini...
nasikiasikia tu mkemia ila sijajua ni mtu wa aina gani na inatakiwa usome masomo gani ili uwe mkemia..
tafadhali mwenye kujua anijuze zaidi au kama kuna mkemia humu aseme sehemu alizopitia hadi...
1. Bachelor of Cyber Security (IAA)
2. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (ARU)
3. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (MUCE)
4. Bachelor...
1. Bachelor of Cyber Security (IAA)
2. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (ARU)
3. Bachelor of Science in Data Science and Artificial Intelligence (MUCE)
4. Bachelor...
Habari.
Tuwasaidie wadogo zetu waliomaliza form six mwaka huu wanaotarajia kwenda vyuoni mwaka 2025/26
Karibu Kwa kutaka degree useless ambazo zitampotezea muda na Wala hasizisogelee kusoma...
Ukisoma bachelor of science in chemisty au in biology ni lazima ujekua mwalimu wa hayo masomo husika au unaweza piga ishu nyingine kutokana na hizo course?
Kuna kozi ya moja kwa moja kusomea uanakemia? Vipi kuhusu vigezo vya kusoma kozi hio? Ni vyuo gani vinahusika? Na vipi kuhusu ajira zake? Na kwa nini siisikii kozi hii na hali wanakemia wapo...
Habari wakuu.....mim ni mkemia nipo hapa kwa ajili ya kuitumia taaluma yangu ya ukemia na uwezo wangu wa kufundisha mim ni mwanafunz wa chuo mwaka wa 2 naenda course ya b.chem lakini pia niko na...
Tanzania inajiandaa kuzindua mabadiliko makubwa zaidi katika sekta ya elimu katika kipindi cha miongo kadhaa, kwa kuanzisha mafunzo ya vitendo (internship) ya mwaka mmoja chini ya usimamizi kwa...
Mimi ni Mkazi wa Kijiji cha Makurunge kilichopo Kata ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, kero yangu ni uendeshaji mbaya wa Shule ya Sekondari Makurunge.
Shule inaendeshwa kikatili sana...
Mara oh mwehu wew unapost pumba tu na Hauna mchango wowote jeiefu folamu..haya sasa mzigo hua wa statistics na wale wa data analysis!!.
Bureeeee kabisaaaaa bureeeeeeee!!!!!
Wakuu kwems?
mimi ni mwl kwa 10 years now, (accounts and Business) nawaza ipi itanipa faida, kusoma CPA au kuongeza masters + PhD? ipi inaweza kunipa faida kwa sasa.
niko government schools...