Bei Rahisi Stationary
Member
- Jul 28, 2026
- 28
- 60
Habari wenzangu 🙏
Naomba ushauri wenu.
Nataka nikasome Bachelor of Information Studies na mwezi wa 10 naanza.
Je yupo aliyesoma kozi hii? Experience yake vipi?
1. Mnaajiriwa wapi kwa sasa?
2. Fursa za kazi zikoje soko la ajira?
3. Kozi inasaidiaje kwenye maendeleo ya kazi na biashara?
Asante sana kwa mchango wenu 🙏
Naomba ushauri wenu.
Nataka nikasome Bachelor of Information Studies na mwezi wa 10 naanza.
Je yupo aliyesoma kozi hii? Experience yake vipi?
1. Mnaajiriwa wapi kwa sasa?
2. Fursa za kazi zikoje soko la ajira?
3. Kozi inasaidiaje kwenye maendeleo ya kazi na biashara?
Asante sana kwa mchango wenu 🙏