Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Ni mwaka wa tatu nmeomba mkopo helsb lakini sijapata. Je njia Gani niweze kutumia ili mwaka huu nipate? Au ni vizuri niende diploma niachane na bachelor degree?
1 Reactions
5 Replies
472 Views
Wakuu ule msemo wa usikosee kozi ya kusoma unanitesa nipo njia panda je kozi ipi nzuri ya afya ya kusoma kati ya hizi :-radiology, pharmacy au medical lab
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Natamani kusoma HGE advance. Nimemaliza form four mwaka jana, ila sijasoma Economic o_level. Hivi itawezekana kuchaguliwa hii combination natamani?
4 Reactions
16 Replies
1K Views
1 Programs in Cluster One Students in cluster one must be admitted in the following programs:- i. Health and Allied Sciences Clinical Dentistry, Diagnostic Radiotherapy, Occupational...
1 Reactions
2 Replies
8K Views
Okay ,, nimejaribu kufuatilia ajira za walimu zilizotoka hivi karibuni na nimegundua kuna uwitaji mkubwa sana wa walimu wa commerce kwa ajili ya kufundisha kidato cha kwanza hadi cha nne Ndiyo...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za kazi wanajamvi. Samahani, miongoni mwa kozi nne alizopata bwana mdogo katika maombi ya vyuo vikuu kwa msimu wa masomo wa 2022/2023 ni pamoja na kozi tajwa hapo juu (Bachelor in Security...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Serikali ilitangaza ujio wa ajira mpya za ualimu, moja ya ajira hizo ni somo la (business studies)na linaonekana lina uhaba wa walimu ilihali kuna kuna lundo kubwa la walimu wa economics wapo...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Top 5 Degree programs kwa Mchanganuo ufuatao wa masomo Waliosoma Physics na Mathematics(PCM,PGM) 1.Electrical Engineering 2.Civil and Irrigation Engineering 3.Mechanical Engineering 4.Chemical...
28 Reactions
146 Replies
35K Views
Habari wakuu Ningependa kufahamu juu ya hili jambo nina Higher Diploma nataka nikasome Masters inawezekana?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mimi nimemaliza chuo kikuu cha iringa mwaka 2024 mwezi wa 7 na nishamaliza clearance lakini hela sijarudushiwa nimeandika mbaka barua lakini wapi na ho hela nataka nifanye mtaji ajira hakuna...
2 Reactions
1 Replies
260 Views
wana jf naomba kujua jumla kuna one za tatu ngapi???
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habarini wana jamii Matumizi ya mtandao wa intaneti hivi sasa ni makubwa sana hapa nchini, si kwa watu wazima tu bali hata kwa wanafunzi. Hata hivyo wanafunzi wengi kwa maoni yangu huwa wanatumia...
1 Reactions
4 Replies
600 Views
Niliomba nafasi ya masomo chuo kikuu huria mwaka uliopita kwa nafasi ya masters na Mungu alivyo mwema nimepata nafasi. Tatizo nimekosa orientation nimekosa pia uwezo wa kujiunga kwa Sasa kutokana...
2 Reactions
3 Replies
528 Views
Anonymous
Tokea mwaka jana wanafunzi wote ambao niko level nao moja wamekuwa wakihangaika juu ya swala la research. Masupervisor tuliopewa watusimamie hakuna lolote wamekuwa wakifanya, tumekuwa tunapoteza...
1 Reactions
8 Replies
657 Views
Habari wana jamiiforums, poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Hili bandiko sijagusa Maisha ya mtu/watu. Lakini Kwa njia hii, vyeti vya wanachuo vitoe picha kamili na sahihi kuhusu sababu za muda...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Tafadhali rejea kichwa Cha habari tajwa hapo juu. Nina mdogo wangu amemaliza form four anataka aende kusoma diploma ya C.O, je chuo gani ni kizuri nimsaidie kuapply? Namaanisha uzuri wa...
2 Reactions
30 Replies
9K Views
Tanzania ina vyuo vikuu vichache mfano Udsm, Must , SAUT, KAMPALA, UDOM n. K College ziko ndani ya chuo mfano udsm ina CONAS ,CoECIT , COET,Vyuo vinaweza kuwa na campas udsm ina campus ya DUCE...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
SHULE ya awali ni kituo cha kuwalelea au kuwasomesha watoto wadogo ambao hawajaanza elimu ya msingi (darasa la kwanza)na kwa sasa serikali imeagiza kwa shule zote za msingi zinazomilikiwa na...
0 Reactions
1 Replies
349 Views
nitoe kwanz pongez kwa wote waliochaguliwa uclas home of construction its a nice chuo aisee kikikuandaa thabiti n ushindani wa ajira lakini kikumbwa ni kwamba chuo kinatoa kozi ambazo ni rahisi...
0 Reactions
66 Replies
13K Views
Kichwa cha habari chahusika. -Naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu wa kufunga mahesabu kitaalam,anayejua kutumia accounting packages na kila kinachohusiana na uhasibu kimatendo ( practically) -Awe...
2 Reactions
3 Replies
336 Views
Back
Top Bottom