mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 799
nitoe kwanz pongez kwa wote waliochaguliwa uclas home of construction its a nice chuo aisee kikikuandaa thabiti n ushindani wa ajira lakini kikumbwa ni kwamba chuo kinatoa kozi ambazo ni rahisi kujiajiri eti mfano kozi kama builging economics, archecture environmental engeneering,geomatics na civil engeneering . pili kwa wale waliochaguliwa building economics niseme tu mmebahatika sana kuchaguliwa kozi nzuri sana kwani kwa tanzania inapatikana hapo uclas tu n kwa afrika mashariki na kati inapatikana chuo cha nairobi tu hvyo swala la ajira sio tatizo kabisa kwenu mfano makampuni yot ya ujenzi iwe barabara iwe majengo iwe madaraja iwe migodi ndugu zangu mtahusika aiseeee pia serikali pia hata baki nyuma kuwaajiri ikiwa ni wizara ya ujenzi n ile ya ardhi na makazi kwa ujumla kozi zote ni nzuri na kikubwa ni rahisi kujiajiri kuliko kozi nyinge hapa sitaki maneno wa political science n sociology