NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 May 2, 2012 #1 wana jf naomba kujua jumla kuna one za tatu ngapi???
VUTA-NKUVUTE JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,135 17,802 May 2, 2012 #2 Tatu-moja Marian na mbili Feza Boys...
Vodka JF-Expert Member Jan 5, 2012 906 96 May 2, 2012 #3 Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki
VUTA-NKUVUTE JF-Expert Member Nov 25, 2010 6,135 17,802 May 2, 2012 #4 Vodka said: Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki Click to expand... Noted Mkuu...
NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 May 2, 2012 Thread starter #5 KWELI MWAKA HUU MAUMIVU 13 nne tu
Songoro JF-Expert Member May 27, 2009 4,122 1,017 May 2, 2012 #6 Mbona shule za Seminary zimeanza kupungua kwenye kumi bora baada ya Dr.Ndalichako kudhibiti njia shirikishi kwenye mitihani!
Mbona shule za Seminary zimeanza kupungua kwenye kumi bora baada ya Dr.Ndalichako kudhibiti njia shirikishi kwenye mitihani!
rmashauri JF-Expert Member Jan 29, 2009 3,011 454 May 2, 2012 #7 Vodka said: Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki Click to expand... Na majina yao ni haya:- 1. Faith Assenga - Marian 2. Zawadi Mdoe - Feza 3. Belnadino Mgimba - Minaki 4. Jamal Juma - Feza
Vodka said: Ziko nne,..Mbili feza,moja marian,moja minaki Click to expand... Na majina yao ni haya:- 1. Faith Assenga - Marian 2. Zawadi Mdoe - Feza 3. Belnadino Mgimba - Minaki 4. Jamal Juma - Feza
NingaR JF-Expert Member Apr 15, 2012 2,759 590 May 2, 2012 Thread starter #8 naeza pata wapi full report ya tokeo nijue 1,2,3,4 na 0 ni ngapi.