Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Jumatatu yangu leo nikasema nisettle nifanye coding ya data za research kwa kutumia SPSS...sasa ile wakati najaza nikafika kwenye kipengele cha Measure kama unavyoona kwenye picha hapo aisee!"...
2 Reactions
8 Replies
573 Views
All I know is that " Huwezi kujua kama hujui kitu mpaka utakapokutana na watu wengine waliopo kwenye field yako wakashare some tips ambazo wewe unajikuta huzijui ndio utajua kuwa aah! kumbe hiki...
10 Reactions
34 Replies
2K Views
Huu ni ujumbe mahsusi kwa form six na diploma wanaotegemea kutuma maombi chuo cha SUA. Natoa rai tu,kama unataka kusoma SUA basi omba kozi zote upendazo ila achana na kozi hizi hapa chini. 1...
13 Reactions
29 Replies
5K Views
Mimi kama mdau wa elimu, nimependezwa na kufurahishwa na haya matokeo ya juu kabisa na ya ajabu iliyopata shule hii. Walikuwa na wanafunzi 70 Wanafunzi wote 70 wamepata div. One Kupata one...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari wakuu, Wazazi mmefikiwa, matokeo ya upimaji wa mitihani kitaifa kwa darasa la nne na kidato cha pili kwa mwaka 2024 yatatangazwa leo kuanzia majira ya saa 5:00 asubuhi na Baraza la...
2 Reactions
29 Replies
9K Views
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi 29, 2024 huku matokeo ya wanafunzi 67 wakiwemo watano walioandika matusi...
2 Reactions
4 Replies
4K Views
Anonymous
Niko hapa nimechanganykiwa kwanini hiki chuo hawataki kutuwekea matokeo yetu. Utaratibu ni kwamba matokeo yalitakiwa kuwa yamewekwa tokea mwezi wa 4 mwanzoni, ila mpaka sasa hatujui kwanini...
0 Reactions
0 Replies
352 Views
Five IST Students have been earned places at top US universities after completing their International Baccalaureate Diploma in May this year.The students Alex Serikali, Charles Mbatia, Evelyn...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
In this article we are going to discuss about autocratic leadership style. We will cover different angles including the meaning (definition), characteristics, advantages and disadvantages of...
1 Reactions
0 Replies
599 Views
Wakuu nimepata supplementary masomo matatu nifanyeje nitoboe najisikia vibaya
12 Reactions
94 Replies
4K Views
Baada na kuhitimu na kuitumikia ipasavyo Bachelor of Education Special Needs. Nahitaji kua mbobezi Zaid katika maswala ya ukalimani na lugha ya alama, naomba kufahamishwa ni chuo gani hapa nchini...
1 Reactions
3 Replies
459 Views
Wizara ya Elimu, Sayansi, na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu ilizindua Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu mwaka 2022. Tuzo hiyo imekuwa na mafanikio makubwa. Mwaka 2023 na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kama wewe ni mwanafunzi wa elimu ya juu, au unajiandaa kuandika research proposal, dissertation au thesis, kuna swali moja ambalo wengi huwa wanajiuliza lakini majibu yake...
6 Reactions
9 Replies
624 Views
In this article we are going to discuss about one of effective leadership styles used by managers and leaders to lead their teams known as laissez-faire leadership style. Whereby, we will look on...
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Ukihudhuria mahafali yao vyuo tajwa hapo juu; UDSM, IFM, SUA, MZUMBE si rahisi kusikia wanatangaza wanafunzi wenye first class wengi, utakuta wanne au watano hawazidi kumi mara nyingi. Lakini...
16 Reactions
226 Replies
46K Views
Wakuu Mimi Nina mtoto wangu anakaribia kuanza Shule...Nilikuwa napendelea asome Shule ya binafsi ya msingi yenye matumizi ya lugha ya kiswahili, maana naona Shule nyingi ni lugha ya kingeleza..je...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Habari za asubuhi wakuu I hope mnaendelea vyema na Ujenzi wa Taifa letu Kuna jambo moja naliwasilisha kwenu ili kupata mawazo yenu na ushauri wenu wakubwa zangu kuhusiana na suala hili...
3 Reactions
18 Replies
983 Views
Wasalaam.Mimi kama mdau wa Elimu najiuliza na nina kiu kujua kwamba ni chuo kipi bora hapo. Najua vipo vyuo vikuu bora vingi katika nchi hizi na barani Africa Ila kwa leo tuangalie ubora wa...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Dirisha la maombi ya vyuo vikuu linafunguliwa tarehe 15 mwezi huu. Kwa tunaotarajia kuomba INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT(IFM) tukutane hapa tujadili mawili matatu, pia wenye uzoefu na Chuo hiki...
2 Reactions
4 Replies
918 Views
Mtu akichelewa kufata barua ya Ajira, Dodoma. Ndani ya mwezi je akifata atapewa
0 Reactions
1 Replies
218 Views
Back
Top Bottom