Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Heshima zenu Wasomi wa jukwaa hili. Naomba kuelekezwa hatua kwa hatua za kufuata kwa ajili ya ku apply kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu hapa Tanzania,kwani nina mtoto wangu amemaliza kidato Cha...
0 Reactions
3 Replies
779 Views
Kwa mwalimu mwajiriwa wa serikali, ipi Ni Masters Bora Kati ya tajwa hapo juu? Wadau wa Elimu karibuni kwa mawazo! Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Na kama nitapatiwa na jina la chuo inapopatikana hiyo kozi, itapendeza zaidi. Natanguliza shukurani.
2 Reactions
12 Replies
551 Views
Nimejikuta nakumbuka enzi hizo nikiwa 825 MTABILA, mujibu wa sheria OP KIKWETE (2015) hiyo. Nilikua kombania B (Bravo Coy) chini ya Luteni Lusui (naskia kwa sasa ni Captain), alikua mtu mmoja...
3 Reactions
39 Replies
6K Views
Chuo cha DIT Dar es salaam campus kuna shida kwenye mfumo wa application kuna stage ukifika nadhani ni stage 3 ambapo inabidi uweke index number za muombaji uli kuverify matokeo, ukifanya process...
0 Reactions
1 Replies
453 Views
ICT4TD Learning Centre ni centre ambayo imejikita zaidi katika maswala ya kuelimisha jamii hasa vijana katika maswala yanayohusiana na Technohama kwa ujumla.Centre hii imebase zaidi katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kufahamu vyuo bora ndani ya Africa ya Mashariki kuhusiana na maswala ya uongozi wa umma na maswala ya uchumi.
2 Reactions
9 Replies
655 Views
Kwenye maombi ya mkopo helsb niki login narudi pale pale home yani mfumo hufunguki kwa ajili ya kujaza taarifa nyingine
0 Reactions
3 Replies
369 Views
Ndoto zangu za kuendelea na masomo ya elimu ya juu ziko hatarini kutoweka kutokana na changamoto kubwa za kifamilia na kifedha zinazozikabili juhudi zangu za kutimiza malengo ya kielimu.
3 Reactions
30 Replies
1K Views
Samahani wakubwa Hivi hii Kozi ya Bachelor of Science in Physics pale UDOM mtu akisoma anakuwa nani maana kila nitakayemuuliza ananiambia hapo ni ualimu naomba mnisaidie hapa? 🐒🐒🐒🤔🤔
1 Reactions
36 Replies
8K Views
Nauliza tu maana nipo hapa Ntwara kwa akina THE BIG SHOW nimekuta Chuo cha SAUT Na Imani MMU nao watamheshimisha hayati Nkapa kwa kujenga vyuo vikuu vishiriki nchi nzima Ahsanteni sana 😁
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Ukiondoa priority course(kozi pendwa) Kuna hizi kozi zenye upana wa Ajira, Upande wa Afya na uhandisi. Electronics& communication (Self) Computer &IT Civil Eng, Electrical Eng, Mechanical Eng...
1 Reactions
11 Replies
28K Views
Kwa nn bugando hijawakewa udahili wa radiology ganzi ya shahada kwa guidelines 2025/2026
2 Reactions
16 Replies
938 Views
Wazee, hivi wakili anayejitafuta mtaani, labda amegraduate last year, na mwalimu sekondari bachelor degree holder mwenye miaka 10 kaziñi, Nani ana possibility kubwa ya kuwa na maisha supa miaka 10...
1 Reactions
1 Replies
204 Views
Nyie direct entry kwenye vyuo vikuu kutoka kidato Cha sita, Pitieni vizuri muongozo wa TCU ili muone mapema Kama mnastahili kujiunga na vyuo vikuu au hamstahili. Lengo ni kuwasaidieni ili msije...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Naomba kupata summary ya ufaulu form six 2025 kitaifa, I mean idadi za one za tatu, nne, Tano n.k, two, three n.k. Plzzzzz
0 Reactions
5 Replies
683 Views
Kwani tulio maliza form iv mwaka huu tukapangiwa chuo tunaweza kuanz kuripoti lini
0 Reactions
1 Replies
272 Views
Habari wana JF Kuna mdogo wangu anaingia kidato cha Tano, kapangiwa shule inaitwa ZANZULI SECONDARY ipo SHINYANGA. Cha ajabu ni kwamba Joining instruction form ya shule hii haipatikani kabisa...
0 Reactions
7 Replies
785 Views
Kila mwanafunzi lazma kuna ticha wa twit anaye au aliyemkubali kinoma!..wakati wa analogy kulikuwa na akina mkandawile,kazibure na mama shija! Digitali nayo ina wakali kama muddy physics...
1 Reactions
286 Replies
68K Views
Back
Top Bottom