Naomba msaada wa taratibu za kuomba kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu hapa Tanzania

Naomba msaada wa taratibu za kuomba kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu hapa Tanzania

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
2,417
Reaction score
7,568
Heshima zenu Wasomi wa jukwaa hili.
Naomba kuelekezwa hatua kwa hatua za kufuata kwa ajili ya ku apply kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu hapa Tanzania,kwani nina mtoto wangu amemaliza kidato Cha sita mwaka huu wa 2025.
Naileta kwenu hoja hii ili mnipe maelekezo na njia zinazotumika ku apply kujiunga na masomo kwa vyuo vya Elimu ya juu.
Ninachoomba kwenu ni njia zipi zinazotumika kwa mwanafunzi anaetaka kujiunga na vyuo ili niweze kuzifuata mtoto wangu aweze kujiunga na chuo.
Naomba kuwasilisha
 
Heshima zenu Wasomi wa jukwaa hili.
Naomba kuelekezwa hatua kwa hatua za kufuata kwa ajili ya ku apply kujiunga na vyuo vya Elimu ya juu hapa Tanzania,kwani nina mtoto wangu amemaliza kidato Cha sita mwaka huu wa 2025.
Naileta kwenu hoja hii ili mnipe maelekezo na njia zinazotumika ku apply kujiunga na masomo kwa vyuo vya Elimu ya juu.
Ninachoomba kwenu ni njia zipi zinazotumika kwa mwanafunzi anaetaka kujiunga na vyuo ili niweze kuzifuata mtoto wangu aweze kujiunga na chuo.
Naomba kuwasilisha
Kuna vile vitabu vya muongozo wa TCU search mtandaoni
 
Back
Top Bottom