Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,688
- 4,947
Sijawahi kuona mifumo mibovu kama ya hawa NACTVET wameweka almanac lakini hio almanac hawaifati kabisa tunahitaji mabadiliko makubwa kwa uongozi wa NACTVET tumechoshwa na kona kona.
Hadi sasa hakuna taarifa yeyote kuhusu watu walioomba kujiunga diploma vyuoni. Kulingana na almanac yao ilitakiwa toka jana wawe wamechapisha list ya wanafunzi hao lakini wapi ukijaribu kuingia kwenye mifumo yao inakutema yaani haipo.
Hadi sasa hakuna taarifa yeyote kuhusu watu walioomba kujiunga diploma vyuoni. Kulingana na almanac yao ilitakiwa toka jana wawe wamechapisha list ya wanafunzi hao lakini wapi ukijaribu kuingia kwenye mifumo yao inakutema yaani haipo.