Mimi ni mzaliwa wa Mkoa wa Kigoma, Wilaya ya Uvinza, Kitongoji cha Lagosa, Kijiji cha Kanyase, huku kwetu kuna kero ambayo bora niilete Duniani waione.
Kutokana na uchache wa idadi ya walimu wa...
Huku kwetu Mtwara, kuna changamoto inayowakuta Wanafunzi wa Chuo cha St. Augustine University of Tanzania (SAUT) Tawi la Mtwara linalojulikana kwa jina la Stella Maris Mtwara University College...
Katika dunia ya kisasa na inayoakisi utandawazi wa kipekee hatuitaji tena wanafunzi wetu wa msingi na sekondari kuvaa uniform kwani zinawanyima uhuru wao kuonyesha ubunifu wao katika mavazi na...
Heri ya Mapinduzi kwa wazanzibari wotee.
Necta hivi karibuni wameamua kutokuweka majina ya wanafunzi katika matokeo.
Pamoja na mambo ya kulinda taarifa binafsi kwa hili hapana.
Kujua ufaulu wa...
Katibu mtendaji mkuu wa baraza hilo Dr Joyce Ndalichako amesema mmoja kati ya wanafunzi waliofanya mtihani huo alifikia hatua ya kuandika mashairi ya bongo fleva baada ya kukosa cha kujibu...
Habarini wana JF,
Mimi ni mwanafunzi kutoka chuo kikuu kimojawapo jijini Mbeya. Chuo hiki kimekuwa kikibadili sera zake Kila unapobadilika mwaka wa masomo,,, ni hatua nzuri lakini Kuna sera...
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ilifanya maboresho ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 na kupata Toleo la Mwaka 2023 na mitaala iliyoboreshwa. Utekelezaji wa mitaala ulioboreshwa kwa...
Wakuu kwema!.. ushauri unahitajika tafadhali degree ipi Bora kati ya
1. Bachelor of education in special Education (BED SB)
2. Bachelor of Law (LLB)
NB
Msomaji tayari ni muajiliwa idara ya...
Niaje? wadau wa mtandao huu wa Jf salaam ndugu zangu Poleni na mishe mishe za kila siku muhimu afya na uzima ndugu zangu, Sina maneno mengi sana ndugu zangu
Shida yangu ni hii kama Kuna mwanajf...
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) tumelipia gharama za hostel lakini cha ajabu tunaambiwa vyumba / hostels zimejaa ilihali Mwanafunzi umeshalipia gharama za hostel.
Kibaya zaidi mfumo wa...
Kumbe hizi shule zipo
Job Ndugai High school
Janeth Magufuli Secondary School
Jenister Mhagama Secondary School
Joel Bendera High school
Janeth Magufuli Girls Secondary School
Juma Zuberi...
Nina mdogo wangu wa kiume ali graduate kidato cha 4 mwaka 2023 alipata division 3.
Alipangiwa college kile chuo kipo pale temeke cha utalii ( course ya kuongoza watalii)
Niliwaeleza wazazi wangu...
Nimeomba nafasi mwanafunzi ahamie shule ya Sekondari Mkundi Mlimani, Morogoro Manispaa ila nje ya michango mingine nimeambiwa nitoe laki moja kama "Mchango wa meza na kiti" kwakuwa Mkuu hapokei...
🕌 Namna ya Kuomba Toba kwa Ufupi (kwa Muislamu):
1. Tambua kosa
👉 Fahamu kuwa umefanya dhambi mbele ya Allah.
2. Jutie kosa hilo kwa moyo wa kweli
💔 Usifurahie dhambi uliyoifanya, jihisi...
Gm GTs...
I have chosen opening this thread because I want sophiticating my English writing muscles, along side speaking that in a way I can speak though in no way I want be, but I got ways am...
Habari zenu wakuu,
Hii ni special thread kwa wale wanaorudia mitihani ya CSEE au ACSEE yaani Watahaniwa binafsi waliowahi kufanya mtihan wa Necta na wa Maarifa Qt watupe mrejesho yaani
1.Mbinu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.