Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

Anonymous
Hello, JamiiForums! Hongera kwa kuwa forum iliyojikita kusaidia jamii na kujenga Serikali inayowajibika kwa wananchi. Kero yangu ni hii: Kumekuwepo na tabia ya Wakuu wa Shule za Sekondari za...
1 Reactions
1 Replies
181 Views
Ndugu zangu , Naitwa BOAZ SIMON BIGARAGU Niko iringa kwa sasa naomba kushare ujuzi wangu kwenu juu ya biashara ninayoifanya ya kuuza mifumo simamizi ya uendeshaji wa shule. Nina mifumo ya...
1 Reactions
2 Replies
741 Views
Sababu za kutokumaliza kwa wakati wanafunzi wa masters na PhD ? 1. Ugonjwa 2. Uhaba wa walimu 3. Mwanafunzi mwenyewe 4. Mazingira ya kufanya tafiti ( vifaa na mifumo kwa ujumla) 5. Mindset ya...
0 Reactions
3 Replies
168 Views
Anonymous
Ni msimu wa shule kuanza muhula mpya wa masomo ila huu mwenendo wa Shule ya Sekondari Nakake iliyopo Wilayani Kyerwa Kagera sio mzuri, kuna utitiri wa michango kibao kama private, juzi tumempeleka...
1 Reactions
0 Replies
175 Views
Anonymous
Shule ya Msingi Uwanja wa Ndege iliyopo Kata ya Yombo Vituka, Wilaya ya Temeke michango imezidi sana mtoto kila siku mia tano ya tuition lazima aende nayo na sio darasa la mitihani na asipoenda...
2 Reactions
4 Replies
202 Views
Hivi kupanda kwa ufaulu kitaifa kila mwaka kwa CSEE au ACSEE unaashiria nini? Mada mezani wadau wa elimu?
0 Reactions
2 Replies
135 Views
Anonymous
Nina dukuduku kuhusu Walimu wa Shule ya Secondary Kijichi, Wilaya ya Temeke... kumekuwa na michango ya kila siku inatuumiza sisi Wazazi maskini hasa Wanafunzi wa Science kufanya practical mpaka...
0 Reactions
1 Replies
208 Views
Nikiwa naperuzi mtandaoni nimeikuta hii orodha ya mikoa SAT ni idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani Nimeshangaa sana kuona kuna mikoa ambayo hatuizungumzii sana imefanya vizuri na kuna mikoa...
6 Reactions
45 Replies
1K Views
Anonymous
Wanafunzi tuliomaliza Chuo cha Mipango Dodoma mwaka jana (2025) mpaka leo hatujalipwa refunds zetu kwa waliozidisha ada na taratibu zote za kuhakiki account na majina tayari tangu tarehe 9 Januari...
0 Reactions
1 Replies
154 Views
Anonymous
Tunaomba tusaidiwe wanachuo tuliomaliza Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala kilichopo Gongo la Mboto toka mwezi wa saba mwaka jana mpaka leo tarehe 28.01.2026 hatujapewa vyeti kwa course...
1 Reactions
4 Replies
294 Views
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi Novemba 29, 2024. Matokeo hayo yametolewa rasmi leo...
14 Reactions
196 Replies
229K Views
Wakuu kwema? Ninamwombea mdogo wangu mkopo wa HESLB. Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye amefanikiwa katika kipengele cha Preliminary Information kujaza RITA VERIFICATION NUMBER ya DEATH. RITA...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Akili za baada ya kushiba: UDOM au UDSM kimoja wapo kibadilishwe jina kuwa University of Tanganyika au University of Tanzania. 🥱🥱😌😌
3 Reactions
10 Replies
292 Views
Napenda kutoa taarifa hii ili kufichua vitendo vya urasimu na ukiukwaji wa taratibu katika zoezi la utoaji wa nafasi za kujiunga na Shule ya Nyanza English Medium kwa Mwaka wa masomo 2026, hususan...
3 Reactions
18 Replies
652 Views
  • Redirect
https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/results/s5380.htm Moja ya shule za Kiislamu. Zipo nyingi sana kuliko haya Angalia na haya https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/results/s0326.htm
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Zamani div 1 F4 zolikua kwa st tu. Utakuta st wanafunzi 90 wote Div 1. Lkn hivi hata Zanzibar zinapatikana. NECTA ya ndalichako ni tofauti na hii ktk swala la ufaulu. Sijaangalia islamic school...
0 Reactions
Replies
Views
Watanzania tumerogwa; yaani tunafurahia matokeo feki huku elimu yetu ikizidi kushuka kila mwaka. Aliyeturoga kafa. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya matokeo ya darasa la nne (SFNA), kidato cha...
10 Reactions
51 Replies
7K Views
Nina Imani kuwa humu jf Kuna watumishi wa Baraza la mitihani. Matokeo ya kidato Cha nne yanatoka lini?
2 Reactions
5 Replies
774 Views
Wazazi na wanajamii wa shule ya sekondari Fulwe iliyopo Morogoro vijijini tunapata tabu sana na Mkuu wa shule Ndugu David Nduye. Mwalimu huyu ameanzisha michango lukuki hapo shuleni kiasi kwamba...
0 Reactions
4 Replies
211 Views
Anonymous
Serikali itambue kinachoendelea UDOM kuwa si haki, yaani gharama za kulipia Carryovers na SUP ni kubwa kuliko hata ada yenyewe. Imagine ma-lecture wanatucarrisha makusudi ili chuo kipate pesa...
1 Reactions
4 Replies
232 Views
Back
Top Bottom