Hello, JamiiForums!
Hongera kwa kuwa forum iliyojikita kusaidia jamii na kujenga Serikali inayowajibika kwa wananchi.
Kero yangu ni hii:
Kumekuwepo na tabia ya Wakuu wa Shule za Sekondari za...
Ndugu zangu ,
Naitwa BOAZ SIMON BIGARAGU
Niko iringa kwa sasa naomba kushare ujuzi wangu kwenu juu ya biashara ninayoifanya ya kuuza mifumo simamizi ya uendeshaji wa shule.
Nina mifumo ya...
Sababu za kutokumaliza kwa wakati wanafunzi wa masters na PhD ?
1. Ugonjwa
2. Uhaba wa walimu
3. Mwanafunzi mwenyewe
4. Mazingira ya kufanya tafiti ( vifaa na mifumo kwa ujumla)
5. Mindset ya...
Ni msimu wa shule kuanza muhula mpya wa masomo ila huu mwenendo wa Shule ya Sekondari Nakake iliyopo Wilayani Kyerwa Kagera sio mzuri, kuna utitiri wa michango kibao kama private, juzi tumempeleka...
Shule ya Msingi Uwanja wa Ndege iliyopo Kata ya Yombo Vituka, Wilaya ya Temeke michango imezidi sana mtoto kila siku mia tano ya tuition lazima aende nayo na sio darasa la mitihani na asipoenda...
Nina dukuduku kuhusu Walimu wa Shule ya Secondary Kijichi, Wilaya ya Temeke... kumekuwa na michango ya kila siku inatuumiza sisi Wazazi maskini hasa Wanafunzi wa Science kufanya practical mpaka...
Nikiwa naperuzi mtandaoni nimeikuta hii orodha ya mikoa
SAT ni idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani
Nimeshangaa sana kuona kuna mikoa ambayo hatuizungumzii sana imefanya vizuri na kuna mikoa...
Wanafunzi tuliomaliza Chuo cha Mipango Dodoma mwaka jana (2025) mpaka leo hatujalipwa refunds zetu kwa waliozidisha ada na taratibu zote za kuhakiki account na majina tayari tangu tarehe 9 Januari...
Tunaomba tusaidiwe wanachuo tuliomaliza Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Kampala kilichopo Gongo la Mboto toka mwezi wa saba mwaka jana mpaka leo tarehe 28.01.2026 hatujapewa vyeti kwa course...
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha Nne uliofanyika kuanzia Novemba 11 hadi Novemba 29, 2024.
Matokeo hayo yametolewa rasmi leo...
Wakuu kwema?
Ninamwombea mdogo wangu mkopo wa HESLB. Naomba kujua kama Kuna mtu ambaye amefanikiwa katika kipengele cha Preliminary Information kujaza RITA VERIFICATION NUMBER ya DEATH.
RITA...
Napenda kutoa taarifa hii ili kufichua vitendo vya urasimu na ukiukwaji wa taratibu katika zoezi la utoaji wa nafasi za kujiunga na Shule ya Nyanza English Medium kwa Mwaka wa masomo 2026, hususan...
https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/results/s5380.htm
Moja ya shule za Kiislamu. Zipo nyingi sana kuliko haya
Angalia na haya
https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/csee/results/s0326.htm
Zamani div 1 F4 zolikua kwa st tu.
Utakuta st wanafunzi 90 wote Div 1.
Lkn hivi hata Zanzibar zinapatikana.
NECTA ya ndalichako ni tofauti na hii ktk swala la ufaulu. Sijaangalia islamic school...
Watanzania tumerogwa; yaani tunafurahia matokeo feki huku elimu yetu ikizidi kushuka kila mwaka. Aliyeturoga kafa. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya matokeo ya darasa la nne (SFNA), kidato cha...
Wazazi na wanajamii wa shule ya sekondari Fulwe iliyopo Morogoro vijijini tunapata tabu sana na Mkuu wa shule Ndugu David Nduye. Mwalimu huyu ameanzisha michango lukuki hapo shuleni kiasi kwamba...
Serikali itambue kinachoendelea UDOM kuwa si haki, yaani gharama za kulipia Carryovers na SUP ni kubwa kuliko hata ada yenyewe.
Imagine ma-lecture wanatucarrisha makusudi ili chuo kipate pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.