R_Breazy
JF-Expert Member
- Aug 28, 2025
- 281
- 562
Wakuu habari za wakati huu
Jobless Mimi Nina kipengele kimoja ili kukidhi matakwa ya hizi nafasi za ajira TAKUKURU. Advance nimesoma private mpaka namaliza nilikuwa nadaiwa 1m+ hivyo sikuchukua CHETI.
Wakuu nafikiria namna ili niweze kupata CHETI niweze kuapply PESA YA KULIPA NACHODAIWA SINA kichwa kinauma kutafuta solution.
NAOMBENI MAWAZO YENU ili nifanikishe kukipata CHETI Kwa wakati, BODLY.
Jobless Mimi Nina kipengele kimoja ili kukidhi matakwa ya hizi nafasi za ajira TAKUKURU. Advance nimesoma private mpaka namaliza nilikuwa nadaiwa 1m+ hivyo sikuchukua CHETI.
Wakuu nafikiria namna ili niweze kupata CHETI niweze kuapply PESA YA KULIPA NACHODAIWA SINA kichwa kinauma kutafuta solution.
NAOMBENI MAWAZO YENU ili nifanikishe kukipata CHETI Kwa wakati, BODLY.