Ahsante kwa ushauri mkulu ila chuo nilichosoma hawataki kuniombea cheti wanalazimisha nimalizieWewe ni assistant wa clinical officer,malizia huo mwaka 1 upate diploma kama hutaki kachukue cheti ingia MCT uombe leseni ya CA
Bora umalize tu umebakiza mwaka mmoja! kama changamoto ni ada nenda ofisi za nacte waambie hautaki kuendelea na diploma wakupe cheti cha CA,wanakuondoa kwenye mfumo level 6 unapata cheti level 5Ahsante kwa ushauri mkulu ila chuo nilichosoma hawataki kuniombea cheti wanalazimisha nimalizie