Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Wakuu Hili leo lazima tujiulize, Trump kasema Afrika kuna fursa nyingi za biashara na rafiki zake wengi wanakuja huku na kutajirika. Lakini humu tu kuna thread nyingi za kushauriana jinsi ya...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Mkuu wa Kitengo cha wateja wa Reja Reja wa Ecobank Ndabu Lilian akizungumza wakati wa Uzinduzi Dar es Salaam. Ecobank imeboresha aplikesheni yake ya simu za mkoni kwa kuanzisha utaratibu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Its just curiosity; Kwamba BOT wanajua kwa sasa kuna jumla ya Shilingi ngapi kwenye mzunguko nchini? Kama ndio. Wanajuaje? Au wana hesabu tu ya walizoprint. Tupeni elimu wajuzi.
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu salam. Hoja kubwa ni serikali ilisema imefuta kodi kwenye mbolea, sasa kwa nini bei iko juu bado afadhali enzi ya jk kuliko sasa, mnatuwazia nini sisi watanzania wakulima?
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Mwenye ufahamu anisaidie utaratibu wa kuwa wakala wa sports betting Bila kujali ni kampuni ipi Kuna fursa nimeona hapa mtaa naona watu wengi ikifika wkend wanajazana kupiga Ramli tu, Sent using...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habarini wapendwa, Naomba kuwajulisha fursa ya ujasiriamali wa huduma ya chakula pale ubungo external. Wafanyakazi wengi wa BENJAMIN MKAPA PROCESSING ZONE huwa wanatoka nje muda wa chakula kwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
BIASHARA YA TAX DAR NI GARI GANI INAFAA ZAIDI? Wadau wa hiyo biashara hapo juu, Naomba kupata ushauri kwa aina ya gari inayofaa ili kukuwezesha kupata faida kama mmiliki na kuwakabidhi madereva...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Inaaminika kwamba mishahara watu wanayo lipwa ni hongo ya kuwafanya watelekeze Ndoto zao na waanze kutekeleza ndoto za wale wanao wapatia mishahara. Hii inapata Nguvu kwa sababu Msomi au mtu...
15 Reactions
81 Replies
8K Views
Mimi ni mteja wa benki inayotoa card za Tembo card VISA na Master Card. Nimekuwa mteja wa benki hiyo kwa kipindi kirefu tangu enzi hizo tukiwa tunatumia tembo card ya kawaida. Baada ya...
1 Reactions
25 Replies
20K Views
Tanzania sasa imekua si sehemu salama kibiashara kwa upande wangu, tangu mwaka jana November sijawahi kuona faida ya biashara, matumizi yamekua makubwa kuliko faida, yes nikaona isiwe shida...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Dalili zinaonesha upatikanaji wa mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ni changamoto. Mitazamo ya nje ya box yamkini itasaidia.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kipindi cha nyuma kulikuwa na taarifa ya kujengwa kwa bandari mpya ya mwambani. je ule mpango bado upo au ujio wa bandari ya kusafirisha mafuta ya chongoleani umekwamisha.. pia napenda kufahamu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu. Wanasema wahenga wa kizungu "Ukishindwa kupanga, umepanga kushindwa''. Hivyo Andaa mpango wa biashara yako kwa kuzingatia maeneo yafuatayo kama nilivyofanya kwa mpango huu wa mafuta...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Jeffrey Jessey ni kijana wa Kitanzania ambaye baada ya kumaliza masomo yake aliajiriwa na Benki ya Dunia nchini Tanzania lakini aliacha kazi na kuanza kushona nguo akisema alipenda kushona nguo...
12 Reactions
55 Replies
8K Views
Habari, Mimi naishi Marekani nataka kuanza biashara ya kusaidia kununua na kusafirisha chochote kile kutoka marekani. Unachotakiwa ni kwenda online kisha unaamua nini cha kununua unanitumia link...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Habarini wana jamii Kwa yeyote anaefahamu soko la mayai wa kuku wa kienyeji pamoja na bei kwa Moshi naomba anifahamishe
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari za asubuhi ndugu wana JamiiForums, Ninaomba kwa yeyote anayefahamu bei ya mayai ya kienyeji kwa mkoa tajwa hapo juu anijuze au atujuze wenye uhitaji wa kujua kama mimi pamoja na masoko...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
MAADUI WA VITA YA UCHUMI Waraka wa BASHIR YAKUB. +255784482959. SIKILIZA Radio CHANYA Tumegusa uchumi wa bepari. Mara zote, na kote duniani bepari alipoguswa kwenye uchumi wake basi ametumia...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu Kama watanzania na watanganyika mnaona je. Nini kinatakiwa kufanyika? au tunashindwa nini kuwa a infunce kubwazaidi ya usafirisha bidhaa za Rwanda na Burudi kupitia tanzania na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
waungwana naomba mnijuze eti foil za kuwekea chakula zinauzwa sh ngap kwa jumla na rejareja
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Back
Top Bottom