Wakuu
Hili leo lazima tujiulize, Trump kasema Afrika kuna fursa nyingi za biashara na rafiki zake wengi wanakuja huku na kutajirika.
Lakini humu tu kuna thread nyingi za kushauriana jinsi ya...
Mkuu wa Kitengo cha wateja wa Reja Reja wa Ecobank Ndabu Lilian akizungumza wakati wa Uzinduzi
Dar es Salaam.
Ecobank imeboresha aplikesheni yake ya simu za mkoni kwa kuanzisha utaratibu...
Its just curiosity;
Kwamba BOT wanajua kwa sasa kuna jumla ya Shilingi ngapi kwenye mzunguko nchini?
Kama ndio. Wanajuaje? Au wana hesabu tu ya walizoprint.
Tupeni elimu wajuzi.
Wakuu salam.
Hoja kubwa ni serikali ilisema imefuta kodi kwenye mbolea, sasa kwa nini bei iko juu bado afadhali enzi ya jk kuliko sasa, mnatuwazia nini sisi watanzania wakulima?
Mwenye ufahamu anisaidie utaratibu wa kuwa wakala wa sports betting Bila kujali ni kampuni ipi Kuna fursa nimeona hapa mtaa naona watu wengi ikifika wkend wanajazana kupiga Ramli tu,
Sent using...
Habarini wapendwa,
Naomba kuwajulisha fursa ya ujasiriamali wa huduma ya chakula pale ubungo external. Wafanyakazi wengi wa BENJAMIN MKAPA PROCESSING ZONE huwa wanatoka nje muda wa chakula kwa...
BIASHARA YA TAX DAR NI GARI GANI INAFAA ZAIDI?
Wadau wa hiyo biashara hapo juu,
Naomba kupata ushauri kwa aina ya gari inayofaa ili kukuwezesha kupata faida kama mmiliki na kuwakabidhi madereva...
Inaaminika kwamba mishahara watu wanayo lipwa ni hongo ya kuwafanya watelekeze Ndoto zao na waanze kutekeleza ndoto za wale wanao wapatia mishahara.
Hii inapata Nguvu kwa sababu Msomi au mtu...
Mimi ni mteja wa benki inayotoa card za Tembo card VISA na Master Card.
Nimekuwa mteja wa benki hiyo kwa kipindi kirefu tangu enzi hizo tukiwa tunatumia tembo card ya kawaida.
Baada ya...
Tanzania sasa imekua si sehemu salama kibiashara kwa upande wangu, tangu mwaka jana November sijawahi kuona faida ya biashara, matumizi yamekua makubwa kuliko faida, yes nikaona isiwe shida...
Kipindi cha nyuma kulikuwa na taarifa ya kujengwa kwa bandari mpya ya mwambani. je ule mpango bado upo au ujio wa bandari ya kusafirisha mafuta ya chongoleani umekwamisha.. pia napenda kufahamu...
Habari wakuu.
Wanasema wahenga wa kizungu "Ukishindwa kupanga, umepanga kushindwa''.
Hivyo Andaa mpango wa biashara yako kwa kuzingatia maeneo yafuatayo kama nilivyofanya kwa mpango huu wa mafuta...
Jeffrey Jessey ni kijana wa Kitanzania ambaye baada ya kumaliza masomo yake aliajiriwa na Benki ya Dunia nchini Tanzania lakini aliacha kazi na kuanza kushona nguo akisema alipenda kushona nguo...
Habari,
Mimi naishi Marekani nataka kuanza biashara ya kusaidia kununua na kusafirisha chochote kile kutoka marekani.
Unachotakiwa ni kwenda online kisha unaamua nini cha kununua unanitumia link...
Habari za asubuhi ndugu wana JamiiForums,
Ninaomba kwa yeyote anayefahamu bei ya mayai ya kienyeji kwa mkoa tajwa hapo juu anijuze au atujuze wenye uhitaji wa kujua kama mimi pamoja na masoko...
MAADUI WA VITA YA UCHUMI
Waraka wa BASHIR YAKUB.
+255784482959.
SIKILIZA Radio CHANYA
Tumegusa uchumi wa bepari. Mara zote, na kote duniani bepari alipoguswa kwenye uchumi wake basi ametumia...
Wakuu
Kama watanzania na watanganyika mnaona je. Nini kinatakiwa kufanyika? au tunashindwa nini kuwa a infunce kubwazaidi ya usafirisha bidhaa za Rwanda na Burudi kupitia tanzania na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.