Manfighter
Member
- Jun 22, 2017
- 88
- 43
Kipindi cha nyuma kulikuwa na taarifa ya kujengwa kwa bandari mpya ya mwambani. je ule mpango bado upo au ujio wa bandari ya kusafirisha mafuta ya chongoleani umekwamisha.. pia napenda kufahamu kuhusu ule ujenzi wa kiwanda kikubwa cha saruji amboni tanga umeanza au laa..