Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Salaam wanajamvi, Jamani naomba mnipe ushauri kutoka kwenu hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha. Kwanza naweza sema hapa Tanzania kusoma sana ndo kuukaribisha umasikini tu. Kijana mimi wa...
47 Reactions
231 Replies
32K Views
Habari wanajamvi, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 33,mwanafunzi wa chuo kikuu huria mwaka wa pili (BED P&M), ninayo familia ya watoto watatu,nimebahatika kujenga na ninaishi kwangu (Dar) japo...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
DON'T BE ASHAMED TO START SMALL. Dont wait till you have so much to start. Remove your pride,start where you can & be passionate & patient with it. Just because you start small does not mean you...
6 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati fulani dunia hii ilikuwa karibu nusu ya simu zote za mikononi ni NOKIA...walilishika soko la dunia nzima Hata Iphone zilipoanza ilikuwa inasemwa Iphone wanauza simu za mwaka mzima ambazo...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau nipo kwenye biashara ya Hardware mwaka wa pili sasa, mwanzo biashara ilikuwa poa mpaka nikawa najisemea biashara ndiyo hii! Hali imechange sana mwaka huu japo mwaka jana hali ilianza...
7 Reactions
51 Replies
5K Views
Habar wana Jf Zikiwa zimebakia siku chache tuuage mwaka 2017 naomba ni-share Move kali na nyinyi ambayo nimeitizama bila kuchoka mwaka 2017 THE BOURNE IDENTITY Hii move imeelezea uhalisi...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wiki lililopita kunekuwepo na trend ya habari kwenye media kuwepo na msururu mkubwa wa magari yakitikea sehemu mbalimbali kurejea arusha na Kilimanjaro Watanzania walio na fikra ya kuona...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wadau napenda kuja mbele yenu kuomba msaada wa namna ya KUINGIZA simu used na mpya toka nje ya nchi km China na Korea .Mtaji ninao wa kutosha ila sijui km makadirio ya TRA yanakuaje kwa simu used...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania has recorded a sharp decline of fish stocks in the Indian Ocean, blamed on the use of dynamite fishing and overfishing.
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Habari wakuu nilikuwa na tatizo kuhusu paypal yangu mara kwa mara na-receive refunds kutoka kwa sellers lakini endapo nikienda kuangalia hiyo pesa kwenye Bank account yangu sioni kitu naombeni...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu kama uzi unavyojieleza apo vipi zanzibar Kuna Lipa? Kama una uzoefu na mazingira ya zanzibar kuhusu biashara tupeane news asanteni
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Sijui nilireport hili kwa kwa nani ila naamini wapo wasafiri wengi wana weza kunisaidia; Kwa wasio jua Swisport, hili nishirika kubwa sana duniani la kutoa huduma mbalimbali kwenye viwanja vya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Shost alinipa hii kuwa kufanya biashara na wake wa wachungaji ni bingo, kwanza si wababaishaji pesa yako wa kikuahidi J5 itakuwa tayari huwa ndiyo ukweli. Shost alinunua vitu on line kutoka Amzon...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
Katika dunia ya sasa utengenezaji wa mpango wa biashara umekuwa ni lazima na kwa biashara yoyote unayoifanya bila kuitengenezea mipango haiwezi kufanikiwa, leo nimeamua kuanza na baadhi ya mambo...
4 Reactions
17 Replies
16K Views
Wakuu kama muonavyo pichani, kwa wale wataalamu hayo ni madini gani? Ni kama jiwe hivi (gem) ina rangi kama gold hivi au brass inayong'aa sana. lina uzito wa zaidi ya 60gms.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Heri ya sikukuu wadau, Kwa kuwa mwaka unaisha na kwa kuwa naamini katika kutengeneza fursa naona ni washirikishe moja ya mipango yangu kwa mwaka 2018 tushauriane. Kwanza kibasa mfahamu hili swala...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair is bullish in the short-term, but neutral in the long-term. Price rose from the support line at 1.1750 and...
2 Reactions
7 Replies
720 Views
Wadau wa Jf Baada ya hali ya maisha kuwa ngumu kwa wengi wetu nimeona ni vyema nianzishe Uzi huu wa kupeana mawazo chanya ya kibiashara kwa maana humu JF ni sehemu ambayo nondo zote makini huwa...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Huu mchezo wa Biko uchezeshwaji wake wanipa utata kidogo hauko wazi kama TATU MZUKA. Kura za Biko hufungwa siku moja kabla ya droo, na hata wakati kina rushwa kwenye TV, kinaendeshwa haraka...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish This pair is bullish in the short-term, but neutral in the long-term. Price rose from the support line at 1.1750 and...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
Back
Top Bottom