Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu nauliza kama una basi moja la yutong linaenda safari za dar to songea faida yake kwa siku ni shilingi ngapi ukitoa pesa ya mafuta na matumizi mengine...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Serikali imeonyesha kufaulu kwenye kuidhibiti dola ya marekani lakini tunaona uchawi wetu wa kiafrika bado upo. Kuna taasisi nchini tena wapo chini ya serikali bado wana rate kwa dola na wana...
1 Reactions
3 Replies
942 Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral On September 18 and 19, this pair made a faint bullish attempt, only to come down on September 20 (and then went...
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Shida inayo tukabili wengi sio kukosa Idea bali ni je hiyo Idea unaitekeleza vipi? Idea zote ni nzuri iwe ni kufuga Nguruwe, iwe ni kuchoma.mahindi, iwe ni kuuza maji Barabarani, iwe ni kuwa na...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Moja ya kanuni kubwa ya kimafanikio ambayo unatakiwa kuanza kuitumia ni KUKATAA KUTOA SABABU YOYOTE. Kama kuna kitu unakifanya, kifanye. Kama kuna kitu umeshindwa kukifanya huna haja ya kuendelea...
7 Reactions
12 Replies
7K Views
Habar ! Ninajishughulisha na uuzaji wa dawa za asili. Naomba ushauri namna ya kuiboresha biasbara ya dawa za asili hasa katika vifungashio (package) na uhifadhi ama usindikaji kwa wanaofaham zaidi
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Habari wana JF. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Lengo kuu la kuanzisha Uzi huu nikuomba ushauri na elimu juu ya mradi huu wa...
7 Reactions
12 Replies
7K Views
Nina Mchangamanuo wa Kibiashara ambao umekwisha shinda kumi-bora katika mashindano matatu tofauti ya kitaifa. Japo mtaji unaohitajika si mkubwa, lakini umeshindikana kupatikana kupitia Benki. Hii...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari za weekend naomba niende moja kwa moja kwenye kichwa cha ulizo langu Kuna site hii jmoney.site hii site inamatangazo ambapo ukiingiza code flani wanazokupa wabakulipa mpaka sasa...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
natafuta kampuni,credit one ambayo naweza kukopa kupitia mfumo wa kuacha atm card ya akaunti ya mshahara.kwa maana hicho ndicho nilichonacho.sifa zingine kibenki sina.nipo dar
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba wenye fursa mbali mbali za biashara mzitoe hapa na jinsi gani ya kuzifanikisha. Toa fursa ukizingatia mtaji wa kuanzia million 1-5 Asanten#
1 Reactions
5 Replies
7K Views
1. Think & Grow Rich by Napoleon Hill A must for anyone wanting to improve their lives and their positive thinking. There have been more millionaires and indeed, billionaires, who have made their...
2 Reactions
19 Replies
6K Views
Vitabu madhubuti na makini sana kwa ajili ya matengenezo ya afya yako, afya mkeo na afya ya Mtoto tangu akiwa tumbon mpaka anazaliwa, kwa bei nzuri. Tupo dar Es salaam, Dodoma, mwanza, Arusha na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wajasiriamali wenzangu, Hivi karibuni nafikiria kijiunga na wenzangu katika kuajiri. Ipo hivi; Ninunue gari Aina ya Toyota Noah kisha dogo akafanye biashara ya kubeba abiria kutoka...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari za majukumu wana Jamvi. Naomba niulize kwa mwenye kufahamu jinsi ya kuwasiliana na wakala anaetambulika na DSE yaani Dar es Salaam Stock exchange kwa jinsi ya namna ya kununua hisa. Asanteni!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Click link hiyo hapo Grand Giveaway 2017
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Mzungu aliwahi kusema "scarcity is expensive: uhaba wa kitu unaongeza thamani, Ndivyo ilivyo katika soko la ajira, Hapo zamani uhaba wa watu wenye degree uliwapa soko kubwa na walilipwa vizuri na...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu Hili leo lazima tujiulize, Trump kasema Afrika kuna fursa nyingi za biashara na rafiki zake wengi wanakuja huku na kutajirika. Lakini humu tu kuna thread nyingi za kushauriana jinsi ya...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Mkuu wa Kitengo cha wateja wa Reja Reja wa Ecobank Ndabu Lilian akizungumza wakati wa Uzinduzi Dar es Salaam. Ecobank imeboresha aplikesheni yake ya simu za mkoni kwa kuanzisha utaratibu...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Its just curiosity; Kwamba BOT wanajua kwa sasa kuna jumla ya Shilingi ngapi kwenye mzunguko nchini? Kama ndio. Wanajuaje? Au wana hesabu tu ya walizoprint. Tupeni elimu wajuzi.
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom