Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Kwa welewa wangu mdogo katika kile ninachokifahafu, Chombo kimojawapo cha kuendesha uchumi wowote duniani ni the use of Budgets. Nitaongelea aina tatu za Budget na madhara yake. 1. Surplus Budget...
2 Reactions
2 Replies
935 Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bullish There is a Bullish Confirmation Pattern on the market. Price went upwards by 170 pips last week, almost managing to...
2 Reactions
1 Replies
772 Views
Habari wakuu? Naamini Jf ni familia moja,nimepata dharura hivyo nahitaji milioni 6 tu nitatue tatizo langu,dhamana ni gari yangu mwenyewe...gari ni Toyota Wish,utabaki na gari mpaka...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wanabodi. Kabla sijafika mbaki napenda kuwashukuru wote mliotoa michango yenu kuhusu manunuzi kwa njia ya mtandao. Kweli mimi binafsi nimefaidika sana na michango na nyuzi zenu Mungu...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wahenga walisema kwenye miti hakuna wajenzi... Tusiwe ivo...nina wazo la saccos nitaliweka hapa...... Wenye mawazo wanakaribishwa.
4 Reactions
100 Replies
8K Views
Habari wana jf Mimi nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mtandao wa Jamii forum Nimekuwa miongoni mwa watu wanaojivuania ushauri pamoja na mawazo yanayoambatana na fulsa kadha wa kadha zinazotolewa na...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Hivi kwa nini serikali haiwi open kuhusu huu mgogoro kati ya TAN JET na KIA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama title inavyojieleza wadau, nataka kufungua maabara ya vipimo vya afya kwa kigamboni kimbiji. Je kuna anayefahamu sehemu yenye uhitaji wa huduma hii?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimatumain yangu mungu ametufikisha salama kwamara nyingine tena siku yaleo tunaendelea namajukumu kama kawaida.wakuu ninalo eneo lenye madini aina yadhababu tayari limeshalifanyia hatua za...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Wadau nimekopa ela bank nikaamua kujifungulia biashara zangu, ya kwanza nlikuwa natoa ndizi mikoani naleta Dar kwa kiasi flani nilifanikiwa lakini mwishoni nikakutana na madalali feki...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu, Hizi ni baadhi ya njia ambazo unaweza kuzifuata ili uondokane na madeni mwaka 2018. Madeni ni chanzo cha umaskini na kuua biashara za vijana wengi. Pia athari kama magonjwa ya moyo...
5 Reactions
2 Replies
5K Views
Hello waungwana. Natamani sana kujiajiri hususani kufanya biashara ya kutengeneza juisi na vyakula... Napenda mwaka 2018 nisajili biashara yangu na Kumiliki brand yangu binafsi ila bado sina...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Salama wakuu? Mitaani kuna mazungumzo kibao kuhusu fursa zilizo wazi mjini au nje ya mji wa Dodoma. Napenda kunufaika na mojawapo ya fursa hizo mjini au nje ya mji. Napenda kuzijua na pia kuteua...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba ushauri watanzania wenzangu Mimi.nafanya biashara ndogo ndogo. Kama kuuza matunda,mbogamboga,lakini mtaji wangu haukui naona kipato ninacho pata kinaishia kununulia vitu vya kigenge...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama uzi unavyojieleza vitabu vinavyowabadilisha watu na maisha Yao hi hivi, think and grow rich,, retire young retire rich, the millionaire, rich Dad poor dad. Kama na wewe una vitabu...
8 Reactions
42 Replies
8K Views
Mfinyo wa upatikanaji wa hela na mzunguko wa hela ukiwa mdogo husaidia kundi la watu wengi kutafuta pesa kwa bidii na kujituma
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Mwenye full details za hawa jamaa aniandikie tafadhali. Kuna jamaa yangu kajitosa huko eti unawatumia hela kiasi kama yeye kawatumia laki mbili km mtaji then baada ya wiki wamlipe laki moja, wiki...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
The Rt. Rev. Benson K. Bagonza, bishop of the Karagwe Diocese, Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT), shared stories of impoverished people in Africa with more than 25 Christian, Jewish...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom