Habari,
Hivi karibuni nimekua najipanga kuingia kibiashara ya usafirishaji kwa maana kununua Noah na kuitumia kutengeneza kipato cha ziada pamoja na kumtoa dogo mtaani bila ya lakufanya...
Baba aliniambia "Money comes from offering bogus trading classes/course from desperate middle class people who want to be rich without working very hard". Mwisho wa kunukuu
Leo nimeshuhudia A boy...
Wana Jf ugonile.
Kwanza natanguliza shukrani zangu za dhati kwa walimu wangu walionifundisha kwa kufika hapa nilipo bila wao ingeniwia vigumu kufika hapa.Nawashukuru sana Allah awajalie
Niende...
Wadau kwa muda sasa nimekuwa nikitaka kufanyia kazi hili wazo ila noana kila mara naliahirisha nafikiri na changamoto za maisha zinachangia pia.Wazo lenyewe ni hili:
Nimekuwa nikiona jinsi...
wana body
kuna taasisi moja inajiita kwa jina la STEP UP LOANS kwa maelezo inajihusisha na kutoa mikopo kwa wajasiriamali wadgo online tena ndani ya dk45... ila vigezo lazima uweke akiba ndo...
Habarini za muda huu?
Poleni sana na majukumu ya kila siku,
Leo nimekuja na swali ndugu zangu, kwa atakayekuwa mjuzi basi atatusaidia kutuelewesha sote tunao hitaji uelewa juu ya hili.
Kima cha...
Wakuu
Nafrkri mko Poa kwa wenye matatizo polen. Naomba tupeane ujuzihapa nibiashara gani ambayo naweza toa Uganda nikaleta Tz ikanipa Faida hasa solo lake Liwe ktk mkoa wa mwanza Na...
Watu wengi sana tumekuwa tukijikuta tunashindwa kufanya maaamuzi muhimu Katika Maisha tu Kwa kuogopa "WATU WATANIONAJE "
hii Watanionaje Syndrome ni ugonjwa mmbaya sana sababu ni Kitu ambacho ni...
Ili uchumi wa Tanzania ukue na kuendelea tunahitaji kuwa na vijana wenye nguvu, na akili timamu na wanaomcha Mungu, sasa vijana wengi wa Tanzania wenyewe kazi yao ni umbeya tu kusikiliza habari za...
Habari wakuu, jana majira ya mchana nilipita maenea ya njiro palipo na kiwanda kilichowahi kujulikana kwa jina la general tyre...
Nilichokuona sikukielewa, kulikuwa na harufu kali kama ya kuchoma...
Heshima kwenu wanajamvi,
Wakuu General Tyre inafanyiwa ukarabati mkubwa wa majengo na mashine/mitambo kwaajili ya kuanza uzalishaji mwakani Mungu akipenda.NDC wamekabidhiwa kazi ya kuifufua...
Huwa kuna ufanano fulani kati ya Ujasiriamali na Mapenzi, ufanano wao ni kwamba Mapenzi hayafundishwi, hakuna chuo Duniani cha kufundisha mtu kupenda mtu.
Kwamna unaingia Darasani kufundishwa...
Great thinkers,
Habari za asubuhi.
Ninaomba kusaidiwa kuelimishwa namna biashara kwa njia ya mitandao inavyofanywa.
Nitafafanua ili nipate ushauri unaokidhi shauku yangu. Mfano nataka...
Habari wana jamii wote,
Nina eneo Arusha linakaribia kufika heka moja, je napataje muwekezaji wa kujenga lodges ila kabla ya ujenzi tutaingia makubaliano maalumu na namna ya kulipana huko...
Wakuu hapa tuwe tunapeana bei za madafu za kila siku kwa kutumia bei zilizotundikwa kwenye bureau de change mbalimbali hapa Tanzania.
Imebidi nianzishe uzi huu baada ya kushindwa kujua gharama za...
Unavyosikia kwamba hela ni wazo ina maana chimbuko lake ni kwenye akili lakini swali kubwa ni akili zetu zina nini?
Hilo ndiyo swali kubwa haswa. Ukiona hela hauwezi kuipata angalia kwanza kwenye...
“If there were a cornerstone to trading it would be the ability not only to be resilient when in drawdown but also to accept that we get things wrong. Sometimes there is a flaw in our methodology...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.