Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

Habarini wakuu Nimewaza kuanzisha biashara ya vipodozi wakati naendelea kuitafakari na kuzungukazunguka hapa mjini nimewaza kupanga frame then niikate katikat upande mmoja niweke urembo na...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Chuma kinawekwa katika moto mpaka kinaiva kisha anabandikwa mnyama kwenye ngozi. Mifugo ingeweza kutamka maneno nadhani matusi yake yasingevumilika. Watu wa haki za wanyama-TSPCA mpo wapi? Hakuna...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Kama ume plan kufanya biashara Fulani then ukafanya hesabu ukakuta inahitaji 1milioni na wewe unakihasi hicho cha Pesa usianze na mtaji kamili cha kufanya chukua laki tano anza hivyo hivyo kwa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
habari wadau ningependa kujua tra watantoza sh ngapi,shipping line na port charges assume no stored,verossa 2001 engine 2.0
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wana jamii Kama kichwa cha somo kinavyo eleza hapo juu, tafadhali mwenye ujuzi na uzoefu wa mashine za kutoa nakala yaani photocopy machine anisaidie ushauri. Je ni aina gani ya photocopy...
2 Reactions
34 Replies
22K Views
Habari Wakuu Nataka kufungua kampuni ya usafi, ambayo itakuwa inafanya usafi katika maofisi, manispaa, mashuleni, majengo ya biashara nk. Naomba mwenye details za kutosha za jinsi ya kusajiri...
1 Reactions
18 Replies
21K Views
Nimepata wateja wa kununua unga wa mahindi nje ya Nchi,naomba kwa wale wanaofanya biashara hiyo,wanijuze utaratibu,hasa vibali ninavyotakiwa kuwa navyo,upatikanaji wake,wapi vinapatikana, wakati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini jamvini, Leo ningependa tuongelee kidogo umuhimu wa blogs, websites na mobile apps kwenye biashara. Biashara nyingi ndogo na za kati hufa ndani ya mwaka wa kwanza hadi mwaka wa tatu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wana JF naombeni ushauri, Nataka kufungua account ya kuweka hela benki. Je ni account na benki gani iko vizuri? Ahsante
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Bearish The market is bearish in the short-term, for price went southwards throughout last week, moving briefly below the...
1 Reactions
4 Replies
940 Views
Habari wana jf,Leo nakuletea utengenezaji wa dawa ya kuondoa madoa kwenye vyoo{stain remover} Vyoo vingi huwa na madoa yanayoleta uchafu wa rangi za njano ,kijani.Huwa vigumu kuondoa kwa...
3 Reactions
23 Replies
9K Views
Kuna tofauti kubwa Kati ya kuanzisha biashara na kujiajiri.. Watu wengi wamekua wakijiajiri na kuzani ni wafanya biashara... Kuunda biashara ni kazi ya muda mrefu na inahitaji umakini...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Wanajamvi salam kwenu. Naomba kuuliza kuwa je kama nimetumiwa zawadi ya vitu kutoka nje, je napaswa kulipia kodi TRA? Mfano nimetumiwa nguo kadhaa na Viatu, je ni Kiwango gani kinapaswa kulipiwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau ni apps gani inayoweza kutoa mkopo kwa njia rahisi na uhakika? Branch na tala hawa hawaeleweki wameweka hizo app watu wadownload ili tu wapige hela.
1 Reactions
41 Replies
71K Views
Kwenye mwezi wa tatu mwaka huu baada ya kujimeki sana niliamua kufungua biashara fulani baada ya vyuma kukaza sana. Ila changamoto ikaja baada ya kuanza bishara eneo nililopo ikawa tra kila...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nimekua nikifatilia hii kazi na naona imepata wafuasi wengi wanaotoa mrejesho mzuri,bila wasi inafuta ile hofu ya wanaohoji uhalali wake. Serikali ya Kenya kupitia Capital Markets Authority(CMA)...
3 Reactions
54 Replies
7K Views
Kwanza napenda kumshukuru Mungu kwa kwa kunipa nguvu na afya kama kichwa cha habari hapo juu kilivyo eleza najua wengi sana huku tunamalengo yetu kuna watu malengo yao yameshatimia na kuna bado...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu. Kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Nataka nipate mchango wenu ambao tayari wa uelewa wa mambo haya. Kutoka Tanzania mpaka Uganda inaweza kukost kiasi gani...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Back
Top Bottom