Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

waungwana naomba mnijuze eti foil za kuwekea chakula zinauzwa sh ngap kwa jumla na rejareja
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Habarini Wadau, Nimekuwa nikitembelea mara kadhaa jiji la Mwanza kikazi na kuvutiwa mno na huduma ya chakula inayotolewa pale Malikusema, naamini wadau wengi humu waliofika mwanza wanapafahamu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu, Nina kiwanja kipo Kijenge juu -Arusha. Kiwanje hiki hakina hati ila kima offer tu. Je, ninaweza kupata mkopo kutoka kwenye taasisi za fedha? Kama ndio ni zipi, Na masharti yakoje? Naweza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Humu ndani ni ukweli kwamba kila mtu ana ndugu na jamaa na marafiki ambao kwa sasa wako kitaa hawana kazi na wengine wamepiga hada Masters na wako mtaani. Kizazi cha kuto dhubutu kilianza enzi za...
9 Reactions
22 Replies
2K Views
Here’s the market outlook for the week: EURUSD Dominant bias: Neutral The market is bullish in the long-term and neutral in the short-term. There was a slight bearish movement last week...
0 Reactions
0 Replies
462 Views
Wasalamu, Wakuu maisha yamebana sana na kila mtu anatakiwa kujiongeza ili mambo yaende. Mimi nina kautalaam kidogo ka silaha za jadi ie: upinde, mishale, mikuki na kadhalika. Nilipata kuletewa...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Kipindi cha nyuma kulikuwaga na mijadala migumu sana humu, Kulikuwa na hamasa sana, watu nakumbuka walikuwa hadi wanakutana kwa Chai day na wana discus Biashara hasa kilimo, Idea ya Jamii Saccos...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Heshima mbele wadau, Kama mjuavyo nimekuja kwa fuso la njegere hapa jijini juzi tuu, nikatokea hukoooo kijijini Madeke kwa wala Mbwa. Back to the point ya msingi. Baada ya kushuka tuu nilikutana...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Salaam kwenu, Napenda kushauri wafanyabiashara kua Tanzania ya sasa inaua mitaji ya wafanyabiashara kodi sio rafiki ni kodi kubwa kuliko mitaji yenyewe nashauri watu wakawekeze Uganda au DRC au...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Pengine umekuwa ukiwaza sana nini ufanye ili uweze kufanikiwa na kuondokana na adha za umaskini. Yako mambo mengi ya kufanya mimi nataka kukufungua macho kwa jambo moja tu tena kwa uchache. Jambo...
13 Reactions
27 Replies
10K Views
Mkazi mmoja wa wilayani Serengeti amedai kugundua eneo lenye madini aina mbalimbali ambayo anataka kuyakabidhi serikalini ili yachimbwe kwa manufaa ya taifa. Source: ITV HABARI
0 Reactions
8 Replies
871 Views
  • Poll Poll
Vitabu vya sauti (Audio Books) nitakavyokupa mwisho wa hii thread vitakusaidia sana kwenye Biashara na maisha leo leo na utasimulia mwenyewe. Wengi ni wavivu sana kusoma vitabu,sana sana...
3 Reactions
3 Replies
4K Views
Kuna watu nazani huwa wanaumia sana tena mno wanapo kutana na post mbali mbali za wadau mbali mbali zinazo sisitiza watu kuwa waajiri na sio waajiriwa Nazani wanao umia huwa wanapotea njia kwa...
4 Reactions
31 Replies
4K Views
Habaru wakuu... Kuna fursa mbili hapa naziona hapa kwa Mimi kijana ambaye kwa sasa nimeamua kujikita katika masuala ya biashara ila Mara nyingi kabla sijaanza biashara uwa nakuja jf kwa ajili ya...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, Napenda kuingia katika hii biashara ya mchele kati ya Morogoro na Shinyanga wapi kuna mchele mzuri na wapi kuna unafuu wa bei kipindi cha mavuno? Bei kwa gunia inakuwaje muda...
2 Reactions
109 Replies
37K Views
Waliomaliza kilimo(sua),wpewe ardhi kwenye vikundi, kandokando ya mito mf moro! Waaanze kilimo cha umwagiliji,eg apple,tunanunua s,afrika,mpunga nk,wanachokosa vijana ni mitaji tu ,wapo walioitimu...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni mwanachuo mwaka wa tatu (BscCIM) pia Mfanyabiashara nmejitahidi kupambana na maisha nikafungua ofisi yangu ninayochezesha GAMES ZA WATOTO JAPO HATA WAKUBWA UNACHEZA TU (PLAYSATION 4) ila...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wana jamvini? Katika hangaika yangu nimepata wateja wa mafuta ya alizeti, nimesikia yanapatikana Singida, tatizo sijui pa kuanzia ili kuyapata na kuyaleta Dar ili kusupply. Naomba msaada...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu kwa anayejua ufanyaji kazi wa hii visacard atusaidie ambao hatufahamu.Nimeiona sehemu lakini sijaambulia chochote kwa undani zaidi. Msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za mchana nyote. Naomba niende kwenye topic yangu ipo hivi, nina kijibiashara changu kidogo nakifanya kujikimu kimaisha sasa nina mashine ya Efd na ni kawaida yangu kutoa risiti kulingana...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom