Wakuu salama!
Najaribu kutafakari wazo la Biashara ambayo nitakuwa natoa huduma kwa wenye maduka ya reja reja.
Naomba mwenye uzoefu anisaidie wazo au kudadavua ni huduma gani hapo ulipo ambayo...
Ningependa kujua gharama ya kuanzisha mashine za kukoboa na kusaga nafaka
+kinu cha kusaga na motor ake hp
+kinu cha kukoboa na motor ake 24hp
+gharama zake inakuwaje na zinapatikana wapi kwa bei...
Habari wana bodi!
Leo naomba tuangalie miongoni mwa sababu za kwa nini biashara nyingi kushindwa kubaki sokoni kwa ndani ya miaka mitano japo biashara nyingi huenda hata hii miaka mitano ikawa...
ndug naomba msaada katika hili, niko na account yangu ya kawaida tu nimefungua crdb ila siku za karibuni nimepata wageni wangu wa njee ya nchii wamenipatia usd kias kama usd 2000. Sasa naomba...
Viazi lishe ni aina ya viazi vitamu vyenye very high carotene na fibres with Vitamin A
Vinasaidia mtoto kutokudumaa . pia huongeza uwezo wa nguvu za kiume yaani more fire kurudisha heshima...
Hii habari Nimeisoma zaidi ya mara tatu bila kuchoka kwani mahudhui yake yamekonga sana moyo wangu. Huyu ni kijana mwenzetu ambaye tumebahatika kumuona (aidha kwa macho,au hata kumsikia) kwa namna...
Waungwana habari zenuu..... Najua jambo likiletwa huku hakiharibiki kitu maana huku wapo watu wakila namna....
Niende moja kwa moja kwenye key point...
Nataka kuanza kuafanya biashara ya dagaa...
Habari za majukumu wakubwa na wadogo..
Niliwahi kuishi Kigoma karibia miaka miwili,.. Kwa bahati nzuri kipindi nahama niliuza vitu vyangu vyote vya ndani ispokua kitanda na godoro tu.
Lakini...
UNDP inaendelea na tafsiri kwamba maendeleo ya watu ni kutanuka kwa machaguo. Uhuru na uwezo ni maeneo yenye tafsiri pana kuliko mahitaji ya lazima. Hapo maana yake ni kwamba maendeleo ya watu...
Napata wakati mgumu kuelewa, hizi bank ukienda kuuliza riba ya mkop wa kias flan ni sh ngap.. Wanakujibu kwamba ukichukua kiasi flan let say 13m rejesho lake ni kiasi flan.... Bila kukuambia...
[emoji666]Ipo mahungu-jijini dodoma
[emoji666]kiwanja chake kimepimwa(ukubwa wa square metres 450)
[emoji666]Ina vyumba vitatu vya kulala,kimoja kikiwa ni master.
[emoji666]Ina...
Kwema Vijana Wenzangu ?
Unajua kuna wakati ni lazima tukubaliane na ukweli kuwa Vijana wa Tanzania tumetelelekezwa na viongozi wetu, na itakuwa ni jambo baya zaidi kama tutatelekezana wenyewe pia...
Habari wakuu je ni wapi naweza kupata mkopo wa haraka wa million moja na nusu m1.5 kwa dhamana ya million 3 msaada wenu tafadhali
Locatio:Dar es salaam
Vitu vya dhamana
1.washing machine...
Kuna mobile application nataka kutengengeza. Nahitaji developer mwenye uzoefu kwa ajili ya kushirikiana nae. Awe na muda na yuko based dar es salaam. Please pm ili tuwasiliane.
Milk and honey nourishing gold sugar scrub
-Hii ni scrub maalumu yenye mchanganyiko wa maziwa na asali.
-hii ni body scrub na kazi yake ni kuondoa seli za ngozi zilikufa na kuucha mwili wako ukiwa...
Assalam wana jukwaa
kichwa chajieleza, nina mzigo mkavu/cargo upo DSM lengo ni kuusafirisha hadi mikoani hivyo nahitaji magari makubwa yanisafirishie. magari yawe na sifa zifuatazo
i/makubwa yenye...
habari wanabodi napenda kukaribisha madalali na wamiliki wa vyumba na wengineo wote ili nipate chumba , eneo ninalotaka
mikocheni, oysterbay au kinondoni ili niwe karibu na eneo la kazi , chumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.