Waslaamu,
Naomba maelekezo kwa aliyewahiq kukopa katika mabank hapa nchini,kwa miradi ya kilimo cha kumwagilia na greenhouse.
Nitashukuru kupata maelekezo yenu.
Siku njema.
1.Mfumo wa kutokupeda kujifunza,sio wengi wetu wanao penda kujifunza wengi wetu tunapeda kufanya mambo bila hata kufikiria namna ya kupata maarifa ya kutosha kuhusiana nalo.
Tanzania tunayo...
Habari za kuamka
Wanahitajika wabia wanne wenye uwezo wa kuwekeza katia ya milioni 1.5 hadi 7 katika biashara inayohusu elimu.Matarajio ya faida ni kati ya shilingi 300,000 hadi 750,000 kwa miezi...
Wakuu nilikuwa na mpango wa Kuagiza mashine kutoka China na nisha pata hadi Proformal Invoice, Ila baada ya kuwasiliana na Ma agent walinipigia ghalama za kufa mtu ikiwemo kodi, Ikabidi nifuatilie...
Salaam Wakuu,
Ni dhahir shair bila chembe ya kumung'unya kuwa uchumi umedorora, biashara zinafungwa na hali ya uchumi imekuwa ngumu kuitabiri
Sabab mjasiriamali sio mwanasiasa ayo mengine...
Hivi ni nani ana mamlaka ya kuprint hela???? Kampumi gani ina print hela? Na wanafuata principles zipi,??? Kuna uhusiamo gani kati ya b.o.t na hao wanaoprint hela?
Habari wadau,
Nimepata fursa ya kupeleka USA baadhi ya bidhaa ambazo ni Matembele, Mchunga, Mbegu za mronge na Shanga za kimasai. Hivyo naomba kujua procedures za kufuata ili niweze kusafirisha...
Hi wanabodi,
Kipi kinamfaa mstaaf wa kitz afanye ili asitegemee watu kumsaidia,
Nina mstaafu, kaanzisha biashara mara tatu kashindwa, nilimtrain awe na consistency ktk biashara, lakini kashindwa...
Here’s the market outlook for the week:
EURUSD
Dominant bias: Bearish
The market is bearish, and the bearishness has been in place since February 16. Last week, price moved briefly below...
Wakuu heshima kwenu. Kwa yeyote anaejua utaratibu wa kubadilisha pesa chakavu (sio wale wanaonunua mtaani) naomba kujuzwa tafadhali.
a) niende wapi?
b) kuna kiasi cha kuanzia?
c) ziwe katika...
Ndugu wana JF,
Mimi ni mtanzania ninaye tafuta fursa za kibiashara nje ya Tanzania.. Hususani nchi ya zilizoko ndani ya africa..
Tafadhali. Kama wewe unauzoefu wa biasha nje ya tanzania...
Wadau nimekuja na wazo la kuanzisha mobile toilets pembezoni mwa barabara zenye foleni sana hapa Dar maana nimefanya uchunguzi nimegundua kuna uhitaji mkubwa. Hasa mida ya jioni kuanzia saa 9 k...
Heshima kwenu wakuu,
Mwenye uzoefu na biashara ya kuagiza mchele kutoka kwa wakulima huko Mbeya na kuusafirisha kuuleta hadi Dar.
Naomba uzoefu na msaada wenu hapa.
WHY ONLY SORBONNE-EDUCATED, LITERATURE PH.D.S SHOULD CUT YOUR HAIR
You get a haircut every few weeks. Everyone does. Men, women, children. Even balding men need a trim occasionally (as I’m...
Hii biashara ilivuma sana hasa ikihusisha na nguvu za kiume na watu walipiga hela sana kwa kuanzisha ufugaji wa kware na kuuza mayai yake lakini sasa naona kimyaa. Watu wakianza kuvumisha kitu...
GOLD (XAUUSD)
Dominant Bias: Bearish
The market has been showing weakness since last week (price dropped more than 1200 pips last week alone). A bullish attempt was made on February 26, but...
“ Serikali inafikiria kuweka akiba yake Benki Kuu kwa kutumia madini ya Tanzanite.”
Hayo ni maneno ya Waziri mwenye dhamana ya fedha Dkt Philipo Isdor Mpango aliyoyatoa Novemba 2016, ikiwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.